Tuna akiba ya pesa dollar bilion 5.3

Tuna akiba ya pesa dollar bilion 5.3

Mkuu technically punguza chuki kwa mheshimiwa Rais, wewe ni mwanajamii wa kipekee kabisa uliyewahi kuanzisha uzi wa kuiombea nchi ya Tanzani ifikiwe na corona haraka huku ukitamani uone Rais akihangaika nao. Maombi yako yameshajibiwa so mwache mheshimiwa Rais apambane kwa namna anavyoona inafaa.

Mwanzoni nilifikiri huenda wewe siyo mwenzetu na hata sasa bado kwa kiasi naamini hivyo, na kama wewe ni mtanzania Basi ni miongoni mwa watu wenye roho mbaya sana kuwahi kutokea vinginevyo uwe na mtindio wa ubongo hapo litakuwa siyo kosa lako.

Nachoweza kukushauri, najua huenda ni wivu wa kisiasa una kusukuma kuona kila linalofanyika kwako ni baya. Urais ni position ambayo siyo ya milele. Vumilia tu ipo siku kama kweli Mungu amepanga kukuweka kwenye position flani utafika.
Pengine uliyekuwa unategemea awe Rais ili akuteue kuwa mtu flani hakupata. Si vibaya, ni mipango ya Mungu, so you have to swallow the bitter pills.

Uongozi kwenye Position za kisiasa ni kama mbio za vijiti, ni kupokezana. Ipo siku timu yako nayo itapokea kijiti japo mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa ninayejitambua siwezi nikaombea hilo litokee. Si kwamba nakuchukia no, ni vile tu moyo wangu hauoni kama wewe na timu yako kama wana akili kama za kwako basi hamfai hata kuwa viongozi wa Kijiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
AnaloliwezA huyo ni kulala kwenye mawe tu kama kenge.
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
Mkuu lengo ni kuwafanya watu waishi Kama mashetani ili tuanze kumuabudu yeye anapokuwa anatugawia msosi na ajira so hii corona ni catalyst katika kutimiza malengo yake ndo maana yupo zake likizo akizikilizia kelele zenu,ukilia tu anajua tayari
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
WB na IMF wamemnyima kwa sababu wanataka mtu awe na mpango wa kusaidia walalahoi na kuinua uchumi.

Sasa magufuli makonda hana mpango.
Yeye anaomba tu pesa.. watampa ila kwa masimango sana japo mpaka sasa hivi ni bila bila
 
Una njia ya kupata fedha,why ufumue akiba yako na ukizingatia hali ya uchumi kipindi hiki?

Una njia ya kupata fedha kisha kipimo cha corona kiwe kimoja tu nchi nzima? Kungekuwa na njia nyingine ya kupata fedha maagizo isingekuwa kutaka watu wasali siku tatu, bali ingetolewa hela Kiasi fulani na kununua vipimo wangalau kwa ratio ya kila mikoa mitatu kipimo kimoja.
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
Makosa ya Kikwete ya mwaka 2015 yayaendelea kutugharimu milele. WALIKOSEA sana kumuachia nchi huyu mtu mwenye hasira, kisasi, chuki na MWONGO.
 
Kwa hiki kilichoandikwa aibu nimeona mimi. Unaidhalilisha akili yako kamanda.

Je, Corona imefikia kuwa janga linalohitaji akiba nzima itumike?
Kweli aisee. Kuna post nyingine ukisoma aibu unaona wewe msomaji. Hiyo akiba kwetu huwekwa katika dollars na huwa na lengo la kuukimu uchumi kuagiza bidhaa nje ambazo ni lazima kulipa kwa pesa hizo za kigeni.

Hivyo hao ndugu watoa maoni kuwa hazina itumike wakati huu ambapo hatujui hata mwelekeo halisi wa tatizo hili, ndio wale ambao huendaga shule kusomea ujinga.

Wanaposikia Marekani inatoa $tr. 2 kuutibu uchumi wao wanadhani na sisi pia tuna uwezo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu technically punguza chuki kwa mheshimiwa Rais, wewe ni mwanajamii wa kipekee kabisa uliyewahi kuanzisha uzi wa kuiombea nchi ya Tanzani ifikiwe na corona haraka huku ukitamani uone Rais akihangaika nao. Maombi yako yameshajibiwa so mwache mheshimiwa Rais apambane kwa namna anavyoona inafaa.

Mwanzoni nilifikiri huenda wewe siyo mwenzetu na hata sasa bado kwa kiasi naamini hivyo, na kama wewe ni mtanzania Basi ni miongoni mwa watu wenye roho mbaya sana kuwahi kutokea vinginevyo uwe na mtindio wa ubongo hapo litakuwa siyo kosa lako.

Nachoweza kukushauri, najua huenda ni wivu wa kisiasa una kusukuma kuona kila linalofanyika kwako ni baya. Urais ni position ambayo siyo ya milele. Vumilia tu ipo siku kama kweli Mungu amepanga kukuweka kwenye position flani utafika.
Pengine uliyekuwa unategemea awe Rais ili akuteue kuwa mtu flani hakupata. Si vibaya, ni mipango ya Mungu, so you have to swallow the bitter pills.

Uongozi kwenye Position za kisiasa ni kama mbio za vijiti, ni kupokezana. Ipo siku timu yako nayo itapokea kijiti japo mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa ninayejitambua siwezi nikaombea hilo litokee. Si kwamba nakuchukia no, ni vile tu moyo wangu hauoni kama wewe na timu yako kama wana akili kama za kwako basi hamfai hata kuwa viongozi wa Kijiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Daddo. Inasikitisha kuona mtu anapaswa kuandika aya zote hizi zenye busara tele kwa kuwa tu kuna hayawani anayeliombea taifa lake kupatwa na matatizo.

Ninachofahamu ni kuwa watu kama hawa huwa wanahitaji miujiza ili kufanikiwa katika maisha yao. Ndiyo. Mungu ampe mafanikio ya nini ikiwa wewe unaombea maafa kwa wengine ilimradi tu nafsi yake isuuzike.

Kimsingi kila mtu anavyozidi kuombea wengine mabaya ndivyo anavyozidi kujilaani mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli aisee. Kuna post nyingine ukisoma aibu unaona wewe msomaji. Hiyo akiba kwetu huwekwa katika dollars na huwa na lengo la kuukimu uchumi kuagiza bidhaa nje ambazo ni lazima kulipa kwa pesa hizo za kigeni.

Hivyo hao ndugu watoa maoni kuwa hazina itumike wakati huu ambapo hatujui hata mwelekeo halisi wa tatizo hili, ndio wale ambao huendaga shule kusomea ujinga.

Wanaposikia Marekani inatoa $tr. 2 kuutibu uchumi wao wanadhani na sisi pia tuna uwezo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapana boss, hiyo fedha ya kigeni ingetolewa kiasi kidogo kama dharura, na kununua vifaa vya kupimia wagonjwa wangalau kila kanda kiwe kimoja kama ni ghali sana. Sasa unasema una akiba kisha una kipimo kimoja tu nchi nzima, je wananchi wote wakiugua na kufa hiyo akiba utaitumia kufanyia nini?
 
Una njia ya kupata fedha kisha kipimo cha corona kiwe kimoja tu nchi nzima? Kungekuwa na njia nyingine ya kupata fedha maagizo isingekuwa kutaka watu wasali siku tatu, bali ingetolewa hela Kiasi fulani na kununua vipimo wangalau kwa ratio ya kila mikoa mitatu kipimo kimoja.
Huo ndo mpango so far...hata idadi ya sample zinazopimwa zinapanda,though hatujawekwa wazi....Japo na maombi si ya kubezwa pia
 
Mkuu lengo ni kuwafanya watu waishi Kama mashetani ili tuanze kumuabudu yeye anapokuwa anatugawia msosi na ajira so hii corona ni catalyst katika kutimiza malengo yake ndo maana yupo zake likizo akizikilizia kelele zenu,ukilia tu anajua tayari
Sawa hujijui kama id yako inavyokutambulisha. Ila kimsingi raisi alisema atahakikisha mafisadi na wanyonyaji wengine ambao huishi kama malaika kwa jasho la walalahoi anawashughulikia mpaka waishi kama mashetani.

Sasa wewe unapaswa kuweka ushahidi unaoonesha kuwa alisema hivyo kwa watu wote. Ukishindwa kuleta ushaidi utathibitisha kuwa siyo tu hujijui bali pia hujielewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shida ikiikumba familia ndo tunajua akili ya baba inafanya kazi namna gani.
binafsi kuvunja kibubu kwa sasa bado, maana hatujui tatizo litadumu kwa muda gani
 
Mkuu technically punguza chuki kwa mheshimiwa Rais, wewe ni mwanajamii wa kipekee kabisa uliyewahi kuanzisha uzi wa kuiombea nchi ya Tanzani ifikiwe na corona haraka huku ukitamani uone Rais akihangaika nao. Maombi yako yameshajibiwa so mwache mheshimiwa Rais apambane kwa namna anavyoona inafaa.

Mwanzoni nilifikiri huenda wewe siyo mwenzetu na hata sasa bado kwa kiasi naamini hivyo, na kama wewe ni mtanzania Basi ni miongoni mwa watu wenye roho mbaya sana kuwahi kutokea vinginevyo uwe na mtindio wa ubongo hapo litakuwa siyo kosa lako.

Nachoweza kukushauri, najua huenda ni wivu wa kisiasa una kusukuma kuona kila linalofanyika kwako ni baya. Urais ni position ambayo siyo ya milele. Vumilia tu ipo siku kama kweli Mungu amepanga kukuweka kwenye position flani utafika.
Pengine uliyekuwa unategemea awe Rais ili akuteue kuwa mtu flani hakupata. Si vibaya, ni mipango ya Mungu, so you have to swallow the bitter pills.

Uongozi kwenye Position za kisiasa ni kama mbio za vijiti, ni kupokezana. Ipo siku timu yako nayo itapokea kijiti japo mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa ninayejitambua siwezi nikaombea hilo litokee. Si kwamba nakuchukia no, ni vile tu moyo wangu hauoni kama wewe na timu yako kama wana akili kama za kwako basi hamfai hata kuwa viongozi wa Kijiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Point.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye ile clip aitupie humu ili tusuuze roho zetu
 
Back
Top Bottom