Tuna judge kwa Avatar?

Tuna judge kwa Avatar?

Watu ni kweli wanatumia avatar kuficha ID. Lakini wanafanya hivyo wakiwa wanajitambua meaning they made choice. Kwa hiyo watu wa saikolojia wanaweza kujua tabia yako tokana na picha uliyochagua. Nina hakika kila mtu ana sababu iliyomfanya achague avatar alonayo. Na haina maana kuwa unatabia mbaya au nzuri kwa sababu ya uchaguzi wako, but you must have a story behind your choice and that relates to your personality traits.


kwa mchango wa ukweli kama huu watu sasa watajua mtoa mada hakukurupuka.
 
Mtoa mada mbona hujiamini hivyo? Hebu tetea hoja yako bana acha mambo ya kutuvuruga akili.. mara sijui unatania.. mara sijui nini.. kama ni utani una jukwaa lake au sio..

sasa hapa inapotokea watu wakachukulia serious ndo anaanza kujiamini hali toka mwanzo mada ilikua imesimama. sad.

Mnajua nini Mayasa na Romance... Sio kwaba najaribu kuidisqualify hii thread, bali ni namna ya kuproove kuwa watu wanaamini katika falsafa ya 'what you see, what you get'...
 
sio kabisa ajabu kua unaaga mana avata yako inanipa picha ni mpole na hupendi sengenya but uzuri wa hapa ni kua hatusemi kwa nia mbayaila kwa kuelimishana ndio mana hatujatumia pm.
MmhhBibie ningependa kukwambiaHumu ndani ni kosa kum judge mtu kwa Avatar .. kwanza naomba ni kwambie kunaWana account zaidi ya moja za kike na za kiume kuna kadhaa ambao nawajua ni wanaume Avatar za kike na majina ya kike .. Kwa hiyo ni rahisi sana mtu kujiprotend kuwaMtu asiye. Mfano.. mtu aweza onyesha hasira' upole, ku Onyesha busara au la, ... ni internet tu..Si kitu kinacho wanyima chakula ..
 
huuu uzi umekaa mkao wa kusubiri muda wa kazi uishe weekend ianze...kikao kitakkuwa wapi mkuu Tuko ili ukipata mombe usiriaz uishe.

Front view mzee, Msamvu...
 
MmhhBibie ningependa kukwambiaHumu ndani ni kosa kum judge mtu kwa Avatar .. kwanza naomba ni kwambie kunaWana account zaidi ya moja za kike na za kiume kuna kadhaa ambao nawajua ni wanaume Avatar za kike na majina ya kike .. Kwa hiyo ni rahisi sana mtu kujiprotend kuwaMtu asiye. Mfano.. mtu aweza onyesha hasira' upole, ku Onyesha busara au la, ... ni internet tu..Si kitu kinacho wanyima chakula ..

Hii inakuwa mbaya pale mtu anaposema ...sisi wanaume.... kumbe yeye ni mwanamke, au vice versa...
 
Mnajua nini Mayasa na Romance... Sio kwaba najaribu kuidisqualify hii thread, bali ni namna ya kuproove kuwa watu wanaamini katika falsafa ya 'what you see, what you get'...


sawa bwana naona unaogopa ndo mana mimi imenigusa na nimeisimamia.
 
MmhhBibie ningependa kukwambiaHumu ndani ni kosa kum judge mtu kwa Avatar .. kwanza naomba ni kwambie kunaWana account zaidi ya moja za kike na za kiume kuna kadhaa ambao nawajua ni wanaume Avatar za kike na majina ya kike .. Kwa hiyo ni rahisi sana mtu kujiprotend kuwaMtu asiye. Mfano.. mtu aweza onyesha hasira' upole, ku Onyesha busara au la, ... ni internet tu..Si kitu kinacho wanyima chakula ..



hayo yote naelewa lakini ujue kua katika hizi id zote kuna zile zana run sana mimi hapa zizungumzi zile zina miaka 3 post 150 nazungumzia id kama

za akina afrodenzi, lizzy, mwanakijiji, n.k. na hii ya name calling isha wahi nipa burn mara mbili bahati mbaya sana i speak my mind.
 
naweza kua nilikua burn lakini ni mfuatiliaji mzuri na michango yako mara nyingi imesimama hivyo pale wewe ukisema tu crap mwenye uzi anaishiwa \nguvu kabisa hata kama uzi wa mana mfano mzuri tuko kaanza kuomba msamaha kwamba alikua anatania sijui mmu imekua jukwa la jokes lini,
Hahhhaha...mmmh inawezekana!Asante!Hehehehe..€Tuko sio mpiganaji....anaachia alichotosa baharini haraka sana!
 
sawa bwana naona unaogopa ndo mana mimi imenigusa na nimeisimamia.

Ha ha haaa. Ila we c umeona avatar ya Lizzy ilivyokaa siriaz? nisiogope kweli?. Sema ya kwako wewe hata siiogopi... lol
 
Hahhhaha...mmmh inawezekana!Asante!Hehehehe..€Tuko sio mpiganaji....anaachia alichotosa baharini haraka sana!


sasa hii statement ulotoa utaona jinsi nguvu zitakuja hapa na kama ningemwachia huu uzi ungeishia page ya kwanza.
 
Ha ha haaa. Ila we c umeona avatar ya Lizzy ilivyokaa siriaz? nisiogope kweli?. Sema ya kwako wewe hata siiogopi... lol


acha avata maneno yake tu makali alafu bahati mbaya tayari unamgwaya.
 
Hahhhaha...mmmh inawezekana!Asante!Hehehehe..€Tuko sio mpiganaji....anaachia alichotosa baharini haraka sana!


Avatar yako banaaa... too siriaz!
 
Mnajua nini Mayasa na Romance... Sio kwaba najaribu kuidisqualify hii thread, bali ni namna ya kuproove kuwa watu wanaamini katika falsafa ya 'what you see, what you get'...

Sasa wewe mwenyewe umeshasema uko serious halafu unaanza kuogopa ovyo.. tena unayemwogopa lizzy.. hebu jiamini bana acha kujitetea..
 
Hii inakuwa mbaya pale mtu anaposema ...sisi wanaume.... kumbe yeye ni mwanamke, au vice versa...

Hapo huwa pana boa sana!. Guyz Be proud as you are either male or female
 
acha avata maneno yake tu makali alafu bahati mbaya tayari unamgwaya.

Unajua kwa avatar niliyovaa leo, nikijibizana na mtu tayari naonekana kama nagomba...
 
Ni kweli huwa napenda kucheka ..................weekend njema.
 
Unajua kwa avatar niliyovaa leo, nikijibizana na mtu tayari naonekana kama nagomba...



unaniboa unavyo jitetea ujinga mbaya zaidi haiendani na avata uwezi toa waka kama ya gagurito.
 
Yaani we umenichekesha sana, umenifanya nirudie kuangalia avetar za hao uliowataja na wengineo, sasa sisi tusio na avetar tunachukuliwaje? hebu nisaidie hapo
 
Hapo huwa pana boa sana!. Guyz Be proud as you are either male or female

Ila mkuu ukisoma sentensi mbili tu unajua kuwa huyu mtu anapretend gender...
 
Back
Top Bottom