Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana

Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana

Elimu,elimu ndo sbb kuu,aina ya elimu inayotolea,kiasi gani wanafunzi wanafaulu au pengine kufaulishwa ili kuifurahisha serikali na pia viongoz vichaa walioona kiswahili ndo kitumike kufundishia watt wetu wa nursery na primary huku wa kwao wakiwa ktk shule za english medium ndo sbb ya kuzalisha vilaza wengi,elimu yetu inahitaji mabadiliko makubwa ili kuzalisha wasomi wanaojielewa,hili haliwez kutokea kwa viongozi hawa tulionao
Tofautisha kati ya elimu na uwezo wa kufikiri. Kuna watu wana PhD ila mawazo yao na fikra ni madudu 🤣
 
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
"We live in a time when intelligent people are being silenced so that stupid people won’t be offended.”🤐🤐🤐
 
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
bora umejua siri Yesu anakaribia kuja tena jiandae. uliyoeleza ndio mtaji wa ccm kukaa madarakani taifa la ovyo sana
 
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
nadhani wewe ndo mwenyekiti wao
 
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
Mifumo ya kupata viongozi inambana MTU mwenye uwezo mkubwa kiakili
 
Mifumo ya kupata viongozi inambana MTU mwenye uwezo mkubwa kiakili
🤣
Hii mifumo na yenyewe ni ya hovyo, na ipo kinyume 🤣🤣🤣, sasa badala ya kuleta viongozi wenye uwezo mkubwa wa kufikiri inatukusanyia viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri halafu ndio wanafanya madudu kwa raha zao, bila wasiwasi 🤣
 
Karibia 70% ya watu kama taifa wana uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo na ndo kundi linalotumika sana kuifanya nchi idumae

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Karibia 70% ya watu kama taifa wana uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo na ndo kundi linalotumika sana kuifanya nchi idumae

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Utakuta mgombea ubunge anapigiwa kampeni na chama yeye mwenyewe hana Sera yeyote. Hata huko kwenye kampenu wanajaa wanamuziki na waswahili wakisikia dundo umewamaliza
 
Nadhani ni tatizo la malezi utotoni, watoto wengi hawana uhuru wa kuchallenge lolote katka femilia (Wajeuri). Pia maofisini viongozi wabaya awapendi watendaji so called Wajuaji.
Istoshe viongozi wa Dili wanaweka hao wepes ili wanakua watiifu kwa Kila agizo ama ombi la mkuu.
So wanaenjoy sana
 
Back
Top Bottom