Tuna miaka miwili na Mwanaume wangu ila hana anachonipa

Tuna miaka miwili na Mwanaume wangu ila hana anachonipa

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Kila kitu ninachomuomba hana!!! Nitumie basi vocha sina,utamsikia akijibu unakufaham huku kulivyo maduka yako mbali, kila siku maduka yako mbali, na siku akishuka huko kwenye maduka ukimuuliza mbona leo umeshuka huko madukani ujanitumia?

Utasikia uwe unanikumbusha mimi siwezi kukumbuka kila kitu! Guys Mimi nafanya kazi sio kama sina ela ya vocha, lakini Luna mda namiss upendo wake anifanyie chochote, lakini siku zinakatika, Masaa yanakatika,mwaka unaisha Hanna chochote anachonipa ata vocha tu kuniwekea Sikh moja moja anashindwa?

Ah nishamchoka nimemtambulisha kwa mdogo angu mmoja tu, familia yangu bado haimjui,japo Mimi kwao wananijua wengi kidogo akiwemo Dada ake, kaka ake na marafiki zake baadhi na mama ake ananijua,Hapa nimewaza kumtafuta mwanachuo mmoja tulosomanae chuo kimoja nianzishe nae mahusiano nianze upya .

Tuna miaka miwili yeye ni dereva jobless yupo kwa mama ake,alinidanganya umri yani aah kama nimechoka Fulani ivi, leo nimemwambia naumwa nitumie japo ela ya soda,kanambia tunakokaa hamna maduka, kwasababu uko aliko nakufaham na ninafaham fikra kuna watu anafahamiananao basi angewatuma, kwanza before akanijibu Mimi nikikuambiaga naumwa unanitumiaga ela? Mwanaume uyo ananjibu Mimi ivo, MTU mwenyewe ajasoma ananisumbua sumbua Mimi. Kuna siku nilipata hasira hadi nikamjibu izo message hapo.

Screenshot_20240804-180055.jpg
 
Kila kitu ninachomuomba hana!!! Hapa nimewaza kumtafuta mwanachuo mmoja tulosoma chuo kimoja nianzishe nae mahusiano nianze upya .Tuna miaka miwili yeye ni dereva jobless yupo kwa mama ake,alinidanganya umri yani aah kama nimechoka Fulani ivi,Leo nimemwambia naumwa nitumie japo ela ya soda,kanambia tunakokaa hamna maduka,kwasababu uko aliko nakufaham na ninafaham fikra kuna watu anafahamiananao basi angewatuma,kwanza before akanijibu Mimi nikikuambiaga naumwa unanitumiaga ela? Mwanaume uyo ananjibu Mimi ivo,MTU mwenyewe ajasoma ananisumbua sumbua Mimi.
wee uliesoma umepata nini?kwanza umesoma nini?
 
Sasaaa unatakaje madam ,tuchukue fimbo tukamchape au tumseme Kwa mama yake kwamba akupi helaa au unataka bwana mpya uku JF ....uku utaliwa kimasihara Hadi ww mwenyewe kuja kushtuka unakuta unachekaa mwenyewe badala ya kuhuzunika ....
 
"Mpenzi wangu wa kwanza Kama mchezaji wa soka ya kulipwa aliwahi kuomba nimmpe pesa €100 000 , na lengo la pesa hizo alisema kua anahitaji kuhudhuria sherehe huko Nchini Marekani.

Nilimjibu : « skiza mrembo wangu mzuri. Wewe hata ukini cheat sio shida mtafute mwanaume mjinga ambae atakaekupea pesa kama hizo ili usafiri maeneo tafauti duniani ila sio Mimi ! »

Mfano kwa sasa yeye ndio mpenzi, yeye ndiye angekua mwanamke tajiri duniani na wakati Hana Kazi yeyote yeye ahongwe huku Mimi niteseke uwanjani
!
Mwisho kabisa nilimwambia « kua makini sana linapokuja swala la kuniomba pesa. Mimi Ndio naamua nikupe pesa ila sio wewe unadhani pesa ni kutoa tuu. Sasa ikiwa hutovumilia nenda wewe sio chaguo sahihi kwangu . »
 
Kila kitu ninachomuomba hana!!! Nitumie basi vocha sina,utamsikia akijibu unakufaham huku kulivyo maduka yako mbali,kila siku maduka yako mbali,na siku akishuka huko kwenye maduka ukimuuliza mbona leo umeshuka huko madukani ujanitumia? Utasikia uwe unanikumbusha mi siwezi kukumbuka kila kitu!!! Guys Mimi nafanya kazi sio kama sina ela ya vocha,lakini Luna mda namiss upendo wake anifanyie chochote,lakini siku zinakatika,Masaa yanakatika,mwaka unaisha Hanna chochote anachonipa ata vocha tu kuniwekea Sikh moja moja anashindwa? Ah nishamchoka nimemtambulisha kwa mdogo angu mmoja tu,familia yangu bado haimjui,japo Mimi kwao wananijua wengi kidogo akiwemo Dada ake, kaka ake na marafiki zake baadhi na mama ake ananijua,Hapa nimewaza kumtafuta mwanachuo mmoja tulosomanae chuo kimoja nianzishe nae mahusiano nianze upya .Tuna miaka miwili yeye ni dereva jobless yupo kwa mama ake,alinidanganya umri yani aah kama nimechoka Fulani ivi,Leo nimemwambia naumwa nitumie japo ela ya soda,kanambia tunakokaa hamna maduka,kwasababu uko aliko nakufaham na ninafaham fikra kuna watu anafahamiananao basi angewatuma,kwanza before akanijibu Mimi nikikuambiaga naumwa unanitumiaga ela? Mwanaume uyo ananjibu Mimi ivo,MTU mwenyewe ajasoma ananisumbua sumbua Mimi.
Upendo unauhesabu kwa vocha?
 
Back
Top Bottom