Tuna miaka miwili na Mwanaume wangu ila hana anachonipa

Tuna miaka miwili na Mwanaume wangu ila hana anachonipa

Mi sina demu sababu sina hela ila mwamba kwa mujibu wako ni kama kazidi hv anyway muite na yeye ajielezee ili tubalace mzani
 
Kila kitu ninachomuomba hana!!! Nitumie basi vocha sina,utamsikia akijibu unakufaham huku kulivyo maduka yako mbali,kila siku maduka yako mbali,na siku akishuka huko kwenye maduka ukimuuliza mbona leo umeshuka huko madukani ujanitumia?

Utasikia uwe unanikumbusha mimi siwezi kukumbuka kila kitu!!! Guys Mimi nafanya kazi sio kama sina ela ya vocha,lakini Luna mda namiss upendo wake anifanyie chochote,lakini siku zinakatika,Masaa yanakatika,mwaka unaisha Hanna chochote anachonipa ata vocha tu kuniwekea Sikh moja moja anashindwa?

Ah nishamchoka nimemtambulisha kwa mdogo angu mmoja tu,familia yangu bado haimjui,japo Mimi kwao wananijua wengi kidogo akiwemo Dada ake, kaka ake na marafiki zake baadhi na mama ake ananijua,Hapa nimewaza kumtafuta mwanachuo mmoja tulosomanae chuo kimoja nianzishe nae mahusiano nianze upya .

Tuna miaka miwili yeye ni dereva jobless yupo kwa mama ake,alinidanganya umri yani aah kama nimechoka Fulani ivi,Leo nimemwambia naumwa nitumie japo ela ya soda,kanambia tunakokaa hamna maduka,kwasababu uko aliko nakufaham na ninafaham fikra kuna watu anafahamiananao basi angewatuma,kwanza before akanijibu Mimi nikikuambiaga naumwa unanitumiaga ela? Mwanaume uyo ananjibu Mimi ivo,MTU mwenyewe ajasoma ananisumbua sumbua Mimi.kuna siku nilipata hasira hadi nikamjibu izo message hapo.
Tafuta mwanaume mwenye pesa. Sasa hapo akikupa Mimba atakukimbia utahaha na mtoto. Huyo bado anajitafuta hakuna mapenzi bila pesa
 
Kila kitu ninachomuomba hana!!! Nitumie basi vocha sina,utamsikia akijibu unakufaham huku kulivyo maduka yako mbali,kila siku maduka yako mbali,na siku akishuka huko kwenye maduka ukimuuliza mbona leo umeshuka huko madukani ujanitumia?

Utasikia uwe unanikumbusha mimi siwezi kukumbuka kila kitu!!! Guys Mimi nafanya kazi sio kama sina ela ya vocha,lakini Luna mda namiss upendo wake anifanyie chochote,lakini siku zinakatika,Masaa yanakatika,mwaka unaisha Hanna chochote anachonipa ata vocha tu kuniwekea Sikh moja moja anashindwa?

Ah nishamchoka nimemtambulisha kwa mdogo angu mmoja tu,familia yangu bado haimjui,japo Mimi kwao wananijua wengi kidogo akiwemo Dada ake, kaka ake na marafiki zake baadhi na mama ake ananijua,Hapa nimewaza kumtafuta mwanachuo mmoja tulosomanae chuo kimoja nianzishe nae mahusiano nianze upya .

Tuna miaka miwili yeye ni dereva jobless yupo kwa mama ake,alinidanganya umri yani aah kama nimechoka Fulani ivi,Leo nimemwambia naumwa nitumie japo ela ya soda,kanambia tunakokaa hamna maduka,kwasababu uko aliko nakufaham na ninafaham fikra kuna watu anafahamiananao basi angewatuma,kwanza before akanijibu Mimi nikikuambiaga naumwa unanitumiaga ela? Mwanaume uyo ananjibu Mimi ivo,MTU mwenyewe ajasoma ananisumbua sumbua Mimi.kuna siku nilipata hasira hadi nikamjibu izo message hapo.
Ndio umekuja huku kunisimanga sio
 
Kila kitu ninachomuomba hana!!! Nitumie basi vocha sina,utamsikia akijibu unakufaham huku kulivyo maduka yako mbali,kila siku maduka yako mbali,na siku akishuka huko kwenye maduka ukimuuliza mbona leo umeshuka huko madukani ujanitumia?

Utasikia uwe unanikumbusha mimi siwezi kukumbuka kila kitu!!! Guys Mimi nafanya kazi sio kama sina ela ya vocha,lakini Luna mda namiss upendo wake anifanyie chochote,lakini siku zinakatika,Masaa yanakatika,mwaka unaisha Hanna chochote anachonipa ata vocha tu kuniwekea Sikh moja moja anashindwa?

Ah nishamchoka nimemtambulisha kwa mdogo angu mmoja tu,familia yangu bado haimjui,japo Mimi kwao wananijua wengi kidogo akiwemo Dada ake, kaka ake na marafiki zake baadhi na mama ake ananijua,Hapa nimewaza kumtafuta mwanachuo mmoja tulosomanae chuo kimoja nianzishe nae mahusiano nianze upya .

Tuna miaka miwili yeye ni dereva jobless yupo kwa mama ake,alinidanganya umri yani aah kama nimechoka Fulani ivi,Leo nimemwambia naumwa nitumie japo ela ya soda,kanambia tunakokaa hamna maduka,kwasababu uko aliko nakufaham na ninafaham fikra kuna watu anafahamiananao basi angewatuma,kwanza before akanijibu Mimi nikikuambiaga naumwa unanitumiaga ela? Mwanaume uyo ananjibu Mimi ivo,MTU mwenyewe ajasoma ananisumbua sumbua Mimi.kuna siku nilipata hasira hadi nikamjibu izo message hapo.
Ungeanza kwa kutuambia kile unachompa ili tujadili vizuri.
 
Kila kitu ninachomuomba hana!!! Nitumie basi vocha sina,utamsikia akijibu unakufaham huku kulivyo maduka yako mbali,kila siku maduka yako mbali,na siku akishuka huko kwenye maduka ukimuuliza mbona leo umeshuka huko madukani ujanitumia?

Utasikia uwe unanikumbusha mimi siwezi kukumbuka kila kitu!!! Guys Mimi nafanya kazi sio kama sina ela ya vocha,lakini Luna mda namiss upendo wake anifanyie chochote,lakini siku zinakatika,Masaa yanakatika,mwaka unaisha Hanna chochote anachonipa ata vocha tu kuniwekea Sikh moja moja anashindwa?

Ah nishamchoka nimemtambulisha kwa mdogo angu mmoja tu,familia yangu bado haimjui,japo Mimi kwao wananijua wengi kidogo akiwemo Dada ake, kaka ake na marafiki zake baadhi na mama ake ananijua,Hapa nimewaza kumtafuta mwanachuo mmoja tulosomanae chuo kimoja nianzishe nae mahusiano nianze upya .

Tuna miaka miwili yeye ni dereva jobless yupo kwa mama ake,alinidanganya umri yani aah kama nimechoka Fulani ivi,Leo nimemwambia naumwa nitumie japo ela ya soda,kanambia tunakokaa hamna maduka,kwasababu uko aliko nakufaham na ninafaham fikra kuna watu anafahamiananao basi angewatuma,kwanza before akanijibu Mimi nikikuambiaga naumwa unanitumiaga ela? Mwanaume uyo ananjibu Mimi ivo,MTU mwenyewe ajasoma ananisumbua sumbua Mimi.kuna siku nilipata hasira hadi nikamjibu izo message hapo.
Miaka miwili una-tiwa tu bure.
 
Kila kitu ninachomuomba hana!!! Nitumie basi vocha sina,utamsikia akijibu unakufaham huku kulivyo maduka yako mbali,kila siku maduka yako mbali,na siku akishuka huko kwenye maduka ukimuuliza mbona leo umeshuka huko madukani ujanitumia?

Utasikia uwe unanikumbusha mimi siwezi kukumbuka kila kitu!!! Guys Mimi nafanya kazi sio kama sina ela ya vocha,lakini Luna mda namiss upendo wake anifanyie chochote,lakini siku zinakatika,Masaa yanakatika,mwaka unaisha Hanna chochote anachonipa ata vocha tu kuniwekea Sikh moja moja anashindwa?

Ah nishamchoka nimemtambulisha kwa mdogo angu mmoja tu,familia yangu bado haimjui,japo Mimi kwao wananijua wengi kidogo akiwemo Dada ake, kaka ake na marafiki zake baadhi na mama ake ananijua,Hapa nimewaza kumtafuta mwanachuo mmoja tulosomanae chuo kimoja nianzishe nae mahusiano nianze upya .

Tuna miaka miwili yeye ni dereva jobless yupo kwa mama ake,alinidanganya umri yani aah kama nimechoka Fulani ivi,Leo nimemwambia naumwa nitumie japo ela ya soda,kanambia tunakokaa hamna maduka,kwasababu uko aliko nakufaham na ninafaham fikra kuna watu anafahamiananao basi angewatuma,kwanza before akanijibu Mimi nikikuambiaga naumwa unanitumiaga ela? Mwanaume uyo ananjibu Mimi ivo,MTU mwenyewe ajasoma ananisumbua sumbua Mimi.kuna siku nilipata hasira hadi nikamjibu izo message hapo.
Your so sweet,unaonekana unataka care tu hata ya mambo madogo madogo lakini hupati.Hali hiyo inanikuta na mimi,kuna ka demu nakapenda kweli,ila hakana time na mm kabisa.Ukikacall ulajulie hali kenyewe kako bize tu muda wote.Unaweza ukakapelekea kiepe,au juice kazini.Kapo kapo tu macho makavu hata hakatambui kwamba nakaonyesha CLASSICAL LOVE.
Kama wewe unapemda hivyo na mm huwa napenda kufanya hivyo,hebu tujaribu kulink.
 
Huyu jamaa anaonekana ni mwanachama hai wa UWABATA, Na yale tunayoyazungumza kwenye vikao ameyaelewa na anayafanyia kazi inavyostahili,

Anyway pole dada angu hapo kimbia mbio, Huyo jamaa anaonekana sio kwamba anaroho mbaya ila anaonekana yuko makini sana na hela yake, lakini pia bado hajakuamini kama kwako yuko peke yake anaogopa ku risk kuanza kukuhudumia sahv unaweza ukaja ukam'bwaga akala hasara
 
Just Drink a COLD WATER then Move On.....ME!!,Mamii,,kama hutojali lakini
 
𝑴𝒃𝒐𝒏𝒂 𝒏𝒊𝒎𝒆𝒐𝒏𝒂 𝒎𝒖𝒎𝒎𝒚 𝒏𝒂 𝒅𝒂𝒅𝒅𝒚 𝒂𝒖 𝒎𝒊𝒎𝒊 𝒏𝒅𝒐 𝒎𝒔𝒉𝒂𝒎𝒃𝒂
 
Si bora yeye anakudanganya yuko mbali na maduka je ungekutana na mimi ukiniomba hela najifanya network inakatakata sikusikii vizuri na ukituma meseji nazima simu masaa manne ungevumilia kweli?
 
Back
Top Bottom