Tuna mtoto wa miezi saba, mke wangu mjamzito. Ushauri pliiiz!

Naomba MUNGU msipate mawazo ya kuitoa tu...maana ni dhambi kubwa sana....fuata ushauri wa wadau na mambo itakuwa poa tu........
 

Ilovo;
Ni kanisa gani tena hilo?? Jamani, sasa mtamwambia huyo Mungu awape sababu za kuwa wanawake au?? Umeenda kulia shida unaongezewa shida! Unajua hakuna shida kubwa kama kipigwa mti huku huutaki?? Poleni mliofikwa.
Back to the topic;
Hilo wazo la kukung'uta mapema unapata nafasi ya kupumzika mapemaaaa. Mama anabaki na shape yake ya usichana kabisa. Wangu is now 50 lakini akisimama na watoto wake, wao ndo wanapewa shkwamoo
 
mtoto aendelee kunyonya tu bla tatz mpka mama atakapo tmza miez 9 haina shaka
 

Malezi dabo sio kesi, fanya km mapacha.. Kamabmapacha wanaleleka poa haya hao sio kesi
 
pamoja na yote uliyoshauriwa pia usirudie tena hilo kosa
 
Wanaume mkiambiwa Condom kupanga uzazi HAMTAKI eti nitatumiaje condom kwa mke wangu, kwani ni kila siku??????

Hapo mlee mimba tu mtoto azaliwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…