KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Naomba MUNGU msipate mawazo ya kuitoa tu...maana ni dhambi kubwa sana....fuata ushauri wa wadau na mambo itakuwa poa tu........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Illovo
Kanisani wamegeuka madaktari, hospitali hakuna kilombero? Hawa wamama ndio maana wanapigwa miti hovyo na viongozi wa makanisa👿 matatizo ya ndani kwako unampeleka kanisani ili iweje?
Nirudi kwenye mada. Hili sio tatizo lingekua kwangu ningefurahi maana watoto watakua pamoja. Biashara ya kuzaa na kukaa mpaka mtoto aombe mdogo wake haipendezi. Mtoto anyonye tu hakuna madhara, doctor atawashauri lini aache kunyonya.
Mama ale vyakula vya kumpa nguvu, doctor pia anaweza kuwashauri. Hamna sababu ya ku panic.
Mkuu,
Usiumize kichwa, acha stori za mtaani. Mimi ni shuhuda namba moja wa hiyo kitu, wakati mwanangu wa kwanza akiwa na miezi 6,waifu alishika ujauzito wa mwanetu wa pili. Tulichanganyikiwa kidogo lakini baaada ya kupata ushauri wa wataalam na kuufuata, leo hii tuna watoto wawili, yule wa kwanza wa kiume na huyu wa pili wa kike.
Mwanetu wa kwanza alinyonya kama kawaida hadi alipofikisha umri wa mwaka mmoja ndio tukamuachisha. Kitaalamu ni kwamba atleast huyo wa pili aachiwe ziwa miezi mitatu kabla. So,wanetu wapo na wana afya sana. Tatizo ni kwamba tu mimba imekuja pasipo matarajio hivyo mjiandae na malezi dabo dabo,lakini mengineyo yote shwari kabisa.