Halafu UKIMWI wake unakimbilia kwenye Ubongo sasa, no wonder ana behave namna ileSpika mgonjwa ghali zaidi Tanzania, Africa na duniani kwa ujumla..hii record itachukua karne nyingi sana kuvunjwa...Mtu mmoja kutumia Tsh bilion 26 kwenye matibabu halafu asipone kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Prof Assad hakwepeshi,, analenga vizuri kwenye target na anapiga, anaacha kiumbe kinafurukuta."60% ya viongozi Tz uwezo wao ni mdogo" according to prof Assad
Una uwezo wa kufikiri kweli??"60% ya viongozi Tz uwezo wao ni mdogo" according to prof Assad
Jana nilipo msikia mama raia namba moja akilionya bunge na kulinyooshea kidole Tena mbele ya kadamnasi nikaona spika Ndugai kaufyata halafu msaidizi wake anapiga makofi niona IPO haja ya wahusika kusimama kama mhimili huru.Kutokana na udhaifu wa mhimili wa bunge badala ya bunge kuisimamia na kuishauri serikali sasa serikali ndiyo inalisimamia na kulishauri bunge. It's the shame of the highest order.
spika mwezi mchanga
Huo siyo mhimili ni kusanyiko la waharifu fulaniJana nilipo msikia mama raia namba moja akilionya bunge na kulinyooshea kidole Tena mbele ya kadamnasi nikaona spika Ndugai kaufyata halafu msaidizi wake anapiga makofi niona IPO haja ya wahusika kusimama kama mhimili huru.
Na toka arudi kwenye matibabu ndiyo amekuwa wa ovyo zaidi au labda ni side effects za matibabu hayo yaliyotugharimu B26.Spika mgonjwa ghali zaidi Tanzania, Africa na duniani kwa ujumla..hii record itachukua karne nyingi sana kuvunjwa...Mtu mmoja kutumia Tsh bilion 26 kwenye matibabu halafu asipone kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Well saidZao la raisi wa hovyo hupelekea kupata spika wa hovyo
Profesa Assad anapiga pale pale kwenye mshono kudadadeqProf Assad hakwepeshi,, analenga vizuri kwenye target na anapiga, anaacha kiumbe kinafurukuta.
Hilo siyo la kusema wewe mkuuHuyu mzee siyo mzima ni kichaa
🤣🤣🤣🤣🤣 uko sahihi mkuu ila wanayo nafasi ya kujirudi kama wakiamua lakini chini ya yule dhaifu , msukuma na kibajaji itakuwa kaziHuo siyo mhimili ni kusanyiko la waharifu fulani
Huo siyo mhimili ni kusanyiko la waharifu fulani
Hilo siyo la kusema wewView attachment 1756590
Hakuna kitu hapo mkuu🤣🤣🤣🤣🤣 uko sahihi mkuu ila wanayo nafasi ya kujirudi kama wakiamua lakini chini ya yule dhaifu , msukuma na kibajaji itakuwa kazi
Chizi kabisaHilo siyo la kusema wewe mkuuView attachment 1756590