Tuna vyuo vya Kilimo lakini hatuna wakulima wakubwa, Tuna SIDO lakini hatuna viwanda vidogo

Tuna vyuo vya Kilimo lakini hatuna wakulima wakubwa, Tuna SIDO lakini hatuna viwanda vidogo

Uko sahihi kabisa mkuu. Hivyo taasisi hizo hazina tija wala ufanisi zimebaki kua mzigo. Taasisi ikiwa mzigo kwa muda mrefu ni bora zaidi ingebinafsishwa kwa mtindo wa Private Public Partnership PPP
Kweli kabisa PPP kwa kiasi ingesaidia kupunguza mzigo kwa serikali, mbali na sababu nyingi za umaskini na hili la serikali kuwa busy kugawa pesa kwenye taasisi ambazo hazina tija wala ufanisi kwa serikali limo.
Tuna project lakini sio sustainable baadae zinageuka kuwa mzigo kwa serikali. Zitabaki propaganda za kisiasa ila ukweli hatuwezi kuendelea kamwe.
 
Hapa Bongo hakuna kitu.

Nakuambia hakuna kitu ni Nadharia TU.
 
Hapa Bongo hakuna kitu.

Nakuambia hakuna kitu ni Nadharia TU.

Ugonjwa huu wa nadharia ni mkubwa sana kwajamii zakiafrika

Hata demokrasia yetu ni nadharia sio ya vitendo
Mapenzi katika ndoa ni nadharia zaidi sio vitendo
Hata matajiri wengi wa kiafrika ni nadharia zaidi sio uhalisia
Ulokole wetu ni nafdharia zaidi sio wa vitendo
Suala la haki ndani ya mahakama ni nadharia zaidi ya uhalisia
Separation of power kati ya serikali kuu, Bunge na mahakama ni nadharia zaidi ya uhalisia
Washindi wa chaguzi zetu nyingi ni nadharia zaidi ya uhalisia
Hata macelebrity na wasanii wetu wengi ni nadharia zaidi ya uhalisia
Fikra na mipango yetu ni nadharia zaidi ya uhalisia


Nna wasiwasi ni kwakua mengi ya mambo haya tumeiga au kuletewa kutoka nchi za magharibi sio asili wala utamaduni wetu
 
Kweli kabisa PPP kwa kiasi ingesaidia kupunguza mzigo kwa serikali, mbali na sababu nyingi za umaskini na hili la serikali kuwa busy kugawa pesa kwenye taasisi ambazo hazina tija wala ufanisi kwa serikali limo.
Tuna project lakini sio sustainable baadae zinageuka kuwa mzigo kwa serikali. Zitabaki propaganda za kisiasa ila ukweli hatuwezi kuendelea kamwe.

Nikweli tena kweli tupu
 
Kweli kabisa PPP kwa kiasi ingesaidia kupunguza mzigo kwa serikali, mbali na sababu nyingi za umaskini na hili la serikali kuwa busy kugawa pesa kwenye taasisi ambazo hazina tija wala ufanisi kwa serikali limo.
Tuna project lakini sio sustainable baadae zinageuka kuwa mzigo kwa serikali. Zitabaki propaganda za kisiasa ila ukweli hatuwezi kuendelea kamwe.

Ili kuongeza ufanisi serikali ingejitoa kwenye shughuli za kibiashara ikaingia ubia na mashirika binafsi na kuyaachia hayo mashirika binafsi yaendeshe operations kibiashara na kwa ufanisi zaidi
 
Mawazo mgando kweli. Kwani IFM au TIA wanamiliki mabenki na maduka makubwa kwa sababu ya kufundisha Uhasibu na Biashara? Kazi ya chuo ni kufundisha kupitia maabara, vishamba vidogo vya mafunzo na kupitia ushirikiano na taasisi zingine wakati wa field training na sio kufanya uzalishaji au biashara moja kwa moja. Vyuo havina shida,shida ipo kwenye mipango ya serikali. Mtu anamaliza veta lakini hapewi msaada wa kununua vifaa vya ufundi kwanini asiwe bodaboda! Theres a lot to be done at gvt level than blaming training institutes
Sua wana maeneo makubwa sana wanayoyamiliki nini maana yake kama hawawezi c wayagawe kwa wananchi kuliko kuyashikilia mtoa mada kaongea vizuri sana nilitegemea Sua kuwe na kila kitu kinachousu kilimo na mifugo Ata field zifanyike palepale na iwe sehemu ya chuo kujiingizia kipato na kufanya tafiti kubwa kuusu mazao na mifugo cyo kungoja kila kitu kifanywe na serikali
 
Sua wana maeneo makubwa sana wanayoyamiliki nini maana yake kama hawawezi c wayagawe kwa wananchi kuliko kuyashikilia mtoa mada kaongea vizuri sana nilitegemea Sua kuwe na kila kitu kinachousu kilimo na mifugo Ata field zifanyike palepale na iwe sehemu ya chuo kujiingizia kipato na kufanya tafiti kubwa kuusu mazao na mifugo cyo kungoja kila kitu kifanywe na serikali

Ni sahihi kabisa uungwana ni vitendo. Kama wao nwa chuo kikuu kinacho fundisha kilimo na ufugaji basi tunatarajia wao waongoze katika nyanja hiyo kwa vitendo. They must walk the walk rather than talking the talk. Hili halihitaji serikali wao kama taasisi wanaweza kabisa kutekeleza kwa boost ndogo sana ya serikali
 
Tuna kozi za B'ness Administration kila kona humo kunafundishwa pia Somo la Entreprenuership/Economics etc lkn watu hawafungui biashara zao binafsi waka simamie kwa vitendo vitu walivyofundishwa.
 
Ngwanakilala wewe binafsi ulisoma taaluma gani na sasa unafanya kazi gani? Ajira? Consultancy? Kilimo? Biashara? Siasa? Tuanzie hapo! Kama ni ajira, kwanini. Kama ni biashara au kilimo kubwa kubwa, ulianzaje!
 
Ngwanakilala wewe binafsi ulisoma taaluma gani na sasa unafanya kazi gani? Ajira? Consultancy? Kilimo? Biashara? Siasa? Tuanzie hapo! Kama ni ajira, kwanini. Kama ni biashara au kilimo kubwa kubwa, ulianzaje!

Mimi nilisoma Business Administration na sasa nimeajiriwa kama mkuu wa idara kwenye moja ya mashirika makubwa hapa nchini lakini pia nna biashara yangu kubwa kidogo nnayoiendesha na nimeajiri vijana 6 huku natoa huduma kwa watanzania wenzangu. Nilichukua mkopo nikafungua biashara hii naiendesha vizuri na nnalipa mikopo ya watu, nalipa kodi kwa serikali, huku natoa huduma kwa watanzani wenzangu na nimeajiri watanzania wenzangu
 
Nilijaribu kuwekeza kwenye kilimo nikakwama kwenye maji yani serikali wamenipimia maji eneo langu wakadai yapo nikatufta kampun ikachimba yakakosekana more than 20 millions nimedamage sasa nifanye nini..nilikua nampango wakuanza na soko la ndani halafu soko la nje najua ningelipata tu japo kuna urasimu mwingi..sadly the dream was paused
 
Nilijaribu kuwekeza kwenye kilimo nikakwama kwenye maji yani serikali wamenipimia maji eneo langu wakadai yapo nikatufta kampun ikachimba yakakosekana more than 20 millions nimedamage sasa nifanye nini..nilikua nampango wakuanza na soko la ndani halafu soko la nje najua ningelipata tu japo kuna urasimu mwingi..sadly the dream was paused

Ndugu

Hapo serikali imekutia hasara nadhani unaweza kushitaki ili ulipwe fidia. Pia kama ulichukua mkopo basi mkopo huo unayo bima jaribu kuangalia vizuri hizo documents.

Pia nadhani ulitake too big of a risk bila proper analysis and due deligence. Ungeangalia kama kuna watu wamefanikiwa kuchimba kisima eneo hilo. Ni mbaya sana kua wakwanza au kureivent the wheel
 
Wasomi wana kisingizio chao pendwa cha Mitaji.

Hivi mbona taasisi ya utafiti wa kilimo UKILIGULU siyo maarufu sana kama NALIENDELE?


(Not sure with the spellings in capital letters)
 
Wasomi wana kisingizio chao pendwa cha Mitaji.

Hivi mbona taasisi ya utafiti wa kilimo UKILIGULU siyo maarufu sana kama NALIENDELE?


(Not sure with the spellings in capital letters)

Ukiwa umajiriwa unaweza kuchukua mkopo with employer guarantee ukapata mtaji
Ukiwa na nyumba au shamba au gari unaweza kutumia hati kupata mkopo
Tatizo kubwa zaidi ni NIA na AKILI. Penye nia.......
 
Ndugu

Hapo serikali imekutia hasara nadhani unaweza kushitaki ili ulipwe fidia. Pia kama ulichukua mkopo basi mkopo huo unayo bima jaribu kuangalia vizuri hizo documents.

Pia nadhani ulitake too big of a risk bila proper analysis and due deligence. Ungeangalia kama kuna watu wamefanikiwa kuchimba kisima eneo hilo. Ni mbaya sana kua wakwanza au kureivent the wheel
Mkuu hata nikisema niwashitaki tutaishia kusumbuana tu hakutakua na cha maana sana.. ni risk kubwa nimechukua lakini nawaza plan b ili kufikia lengo
 
Mkuu hata nikisema niwashitaki tutaishia kusumbuana tu hakutakua na cha maana sana.. ni risk kubwa nimechukua lakini nawaza plan b ili kufikia lengo

Ni kweli pole sana. Mimi binafsi nimeapa sitakuja kufanya kilimo maishani mwangu. If anything naweza kununua mazao na kuuza ili kujiondoa kwenye risks associated na kilimo. Kwa tanzania kilimo ndio biashara inayoongoza kwa failure rate na risks
 
Lakini Vyuo vikuu vyetu Tanzania vina disadvantage moja. Havina Endowment funds. Wenzetu nchi za nje wazee wengi wakifariki katika wosia maranyingi hua wanaacha na sehemu ya utajiri wao kwa vyuo na shule walizosoma kaka urithi. Sisi utamaduni huo hatuna na ndio maana hizi Taasisi zinategemea sana ruzuku ya serikali. Jamii zetu bado ziko nyuma kwenye nyanja nyingi sana
 
Back
Top Bottom