Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana.muhimu ni kutafuta ushaur wa kitaalamu hospital nyingine kubwa.na iman utapata tu ufumbuzi. Muombe sana Mungu atakusaidia.mimi wazaz wangu walinipata kwa njia kama iyo.ujauzito wangu uligundukila ukiwa na miezi 7.mama alikuwa anahisi ni uvimbe tu coz alishafunga kizazi.alipata ushaur mzuri hadi ni kazaliwa.tafuta ushaur wa haraka kwa madaktari bingwa then fanya watakavyokushauri.pole mno.ila inauma na kuvuruga akili ukijua hukupagwa kuzaliwa.
Now this is very touching yokoshima....anayepanga kuzaliwa kwako ni Mungu pekee
Ni tatizo la maisha,maana daily utakuwa unapambana kuonyesha Mungu alipanga niwepo.AMEN
Pole sana Brother! Cha muhimu okoa mama ili uweze kulea hao watoto wanne pamoja naye vinginevyo utaishi maisha magumu baada ya hapo! Hakuna njia nyingine zaidi ya hii utakayoshauriwa na madaktari!Habari wadau,
"mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa mwaka wa 17 sasa na tumejaaliwa kupata watoto wanne wote wa kike. kutokana na uzazi wa mke wangu kujifungua kwa operesheni mara kwa mara madaktari hosp ya mwana nyamara walitushauri kuwa mke wangu afunge kizazi kwani mimba zaidi ya nne kwa operesheni itahatarisha uhai wake na mtoto pia endapo ataendelea kuzaa. kweli tulikaa na mke wangu japo tulitaka kuendelea kuzaa walau tupate mtoto wa kiume tukaona ni vizuri kufuata ushauri wa madaktari na kufanya kama walivyotushauri kwa kufunga kizazi.
mwezi na siku na kadhaa zilizopita mke wangu alijisikia vibaya atukutilia maanani sana japo dalili zilikuwa ni za ujauzito kwani tuna miaka minne toka alipojifungua na kufunga kizazi, lakini hali hiyo iliendelea mpaka tulipoenda hospitali na kugundulika ana ujauzito wa miezi 3 na manesi walisema tayari hiyo mimba ni kubwa na kutokana na mishono aliyoshonwa tayari ni tatizo na kwa kifupi haitawezekana kujifungua salama eidha mtoto afe mama apone au mama afe mtoto apone
nilipopata hizi habari nilishtuka na kuhuzunika sana.
nakuja mbele yenu wanajamvi mnipe ushauri mwenye uzoufu na masuala kama haya naamini kabisa inawezekana madaktari hawakufanya kazi yao ipasavyo katika kufunga kizazi lakini tayari tatizo limeshatokea, je tuuwe kiumbe au kilichopo tumboni au tufanyaje?"
ushauri tafadhari.
Habari wadau,
Mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa mwaka wa 17 sasa na tumejaaliwa kupata watoto wanne wote wa kike.
Kutokana na uzazi wa mke wangu kujifungua kwa operesheni mara kwa mara madaktari hospitali ya mwananyamara walitushauri kuwa mke wangu afunge kizazi kwani mimba zaidi ya nne kwa operesheni itahatarisha uhai wake na mtoto pia endapo ataendelea kuzaa.
Kweli tulikaa na mke wangu japo tulitaka kuendelea kuzaa walau tupate mtoto wa kiume tukaona ni vizuri kufuata ushauri wa madaktari na kufanya kama walivyotushauri kwa kufunga kizazi.
Mwezi na siku na kadhaa zilizopita mke wangu alijisikia vibaya atukutilia maanani sana japo dalili zilikuwa ni za ujauzito kwani tuna miaka minne toka alipojifungua na kufunga kizazi.
Lakini hali hiyo iliendelea mpaka tulipoenda hospitali na kugundulika ana ujauzito wa miezi 3 namanesi walisema tayari hiyo mimba ni kubwa na kutokana na mishono aliyoshonwa tayari ni tatizo na kwa kifupi haitawezekana kujifungua salama eidha mtoto afe mama apone au mama afe mtoto apone
nilipopata hizi habari nilishtuka na kuhuzunika sana.
Nakuja mbele yenu wanajamvi mnipe ushauri mwenye uzoufu na masuala kama haya naamini kabisa inawezekana madaktari hawakufanya kazi yao ipasavyo katika kufunga kizazi lakini tayari tatizo limeshatokea, je tuuwe kiumbe au kilichopo tumboni au tufanyaje?"
Ushauri tafadhari.
pole sana mkuu kwa mtihani huo uliokupata...
sacrifice your child for the survival of your children..
kuna vitu vingine ni vigumu sana kuvielezea katika maisha..
Lakini hali hiyo iliendelea mpaka tulipoenda hospitali na kugundulika ana ujauzito wa miezi 3 na manesi walisema tayari hiyo mimba ni kubwa na kutokana na mishono aliyoshonwa tayari ni tatizo na kwa kifupi haitawezekana kujifungua salama eidha mtoto afe mama apone au mama afe mtoto apone
nilipopata hizi habari nilishtuka na kuhuzunika sana.
Dogo sometime una akili!!
besti na wewe umeamini hayo maelezo ya manesi? ya kuchagua kati ya mama au mtoto?