The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nimemuona Katibu Mkuu wa CCM anaendelea na mikutano ya hadhara kule Songwe na anakusanya watu wengi tu huku viongozi wakituambia hali ya corona ni mbaya. Je, kuendeleza hii mikutano haiwezi kuwa kitisho kikubwa cha kusambaza hiyo corona?
Ni kwanini CCM isiisitishe hii mikutano ili kuonesha mfano wa kuchukua tahadhari?
Mbali na hizo ziara za CCM kuna mbio za mwenge vyuo na shule ambavyo vyote hukusanya watu wengi na viko ndani ya uwezo kuvifunga ili kuwanusuru wananchi na hilo wimbi?
Ni kwanini CCM isiisitishe hii mikutano ili kuonesha mfano wa kuchukua tahadhari?
Mbali na hizo ziara za CCM kuna mbio za mwenge vyuo na shule ambavyo vyote hukusanya watu wengi na viko ndani ya uwezo kuvifunga ili kuwanusuru wananchi na hilo wimbi?