Jaribu kula Majani kama ng'ombe uone kama utaishi (simaanishi vegetables) namaanisha majani grass..., au mpe ng'ombe nyama uone atafikia wapi...
Ngombe ni ruminants na tumbo lao lina microbacteria ambao wanasaidia kwenye digesion kufanya hayo majani ambayo ukila wewe ni uchafu ila kwa ngombe ni tofauti...,
Hii yote ni kufacilitate ecosystem ndio maana kuna herbivores, carnivores na omnivores.., wanyawa wote wangekuwa wanakula nyama mwisho wa siku animals kama species wangetoweka..., nature has got to balance Its Nature