Tunaandaa nyaraka za kusajili kampuni kwa Tshs Laki 1 (Memorandum na Articles of Association)

Tunaandaa nyaraka za kusajili kampuni kwa Tshs Laki 1 (Memorandum na Articles of Association)

nashukuru sana mdau kwa mawazo yako na mchango wako makini na ndi manaa tuko hapa jamvini,tutafanyia kazi suala lako na tutakuja na package mmoja yenye huduma zote kwa pamoja.ahsante sana.

Hebu fanyeni hayo then mrudi hapa
 
Iyo inawezekana ni kutokana na wateja alionao na wao wako wangapi ila nachoamin wateja wakishakua wengi cku zitaongezeka ilo tusikatae
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
PO.BOX 12659 Dsm,mob: 07 65 90 10 93 au 07 82 19 19 05
Kinondoni-mwananyamala,mtaa- mama zacharia
Website; busiminet.blogspot.com
E-mail: busiminet@gmail.com


Busiminet tutakusaidia;

1.kuandaa na kupeleka mahesabu(returns) TRA.
2.kukukadiria kodi ya kulipa TRA kwa mwaka kisheria na haki.
3. kufanya malipo ya TRA kwa njia ya matandao.
4.kuhamisha au kubadili umiliki (TRA)
5.kujaza na kupeleka fomu za TRA.
7.kupata TIN na Leseni za biashara
8.ushauri kuhusu kodi na biashara.


9.kusajili jina la biashara, kampuni, NGO’S,SACCOS (BRELA).
10.kuandaa mchanganuo wa biashara(business plan).
11.kupata mkopo kwa muda mfupi. 12.kuandaa na kutunza mahesabu ya biashara.



Okoa muda,okoa pesa na ukuze biashara yako kwa kuhudumiwa na busiminet.

KARIBUNI SANA WANA JF,
 
Karibu katika field hii, tukiwa wengi na wakweli tutasaidia sana Bds- business development services hasa kwa watu wajasiliamali wadogo na wakati. Wakenya wamekuwa wakifanya Haya kwetu kwa mda mrefu. Mimi nimekuwa trained na wakenya ktk mambo haya ya business consultancy and project writing, wako vizuri ila sisi tumelala, na wateja watanzania no wabishi mno. Keep it up, ila muwe wakweli kwa watz wenzetu.

Tunafanya hayo pia kisheria.
visit us: KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED
 
Vipi kama naweza kuandaa MEMARTS mwenyewe, mhuri wa mwanasheria mnanipiga kwa sh. ngapi?
 
Hizi ndo kazi zangu; kuandaa docs husika kusainisha kwa laywer, na kuwasilisha docs Brela na hatimaye kukukabidhi nyaraka za usajili wa kampuni yako. Zingatieni kuna gharama za uchapaji na kurudufu nyaraka, kumtafuta lawyer, ushauri, kuwasilisha usajili na kuthibitisha jina la kampuni. Kazi hii naifanya kwa Sh. 250,000 kwa kampuni hadi kukuletea Docs za kampuni pamoja na Certificates of Incorporation and Registration. Gharama za kusajili [registration fee] zitajulikana kulingana na mtaji wa kampuni yako.
 
Hizi ndo kazi zangu; kuandaa docs husika kusainisha kwa laywer, na kuwasilisha docs Brela na hatimaye kukukabidhi nyaraka za usajili wa kampuni yako. Zingatieni kuna gharama za uchapaji na kurudufu nyaraka, kumtafuta lawyer, ushauri, kuwasilisha usajili na kuthibitisha jina la kampuni. Kazi hii naifanya kwa Sh. 250,000 kwa kampuni hadi kukuletea Docs za kampuni pamoja na Certificates of Incorporation and Registration. Gharama za kusajili [registration fee] zitajulikana kulingana na mtaji wa kampuni yako.

hiyo 250,000 ni ya kampuni yenye mtaji wa tsh.ngapi
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
PO.BOX 12659 Dsm,mob: 07 65 90 10 93 au 07 82 19 19 05
Kinondoni-mwananyamala,mtaa- mama zacharia
Website; busiminet.blogspot.com
E-mail: busiminet@gmail.com


Busiminet tutakusaidia;

1.kuandaa na kupeleka mahesabu(returns) TRA.
2.kukukadiria kodi ya kulipa TRA kwa mwaka kisheria na haki.
3. kufanya malipo ya TRA kwa njia ya matandao.
4.kuhamisha au kubadili umiliki (TRA)
5.kujaza na kupeleka fomu za TRA.
7.kupata TIN na Leseni za biashara
8.ushauri kuhusu kodi na biashara.


9.kusajili jina la biashara, kampuni, NGO’S,SACCOS (BRELA).
10.kuandaa mchanganuo wa biashara(business plan).
11.kupata mkopo kwa muda mfupi. 12.kuandaa na kutunza mahesabu ya biashara.



Okoa muda,okoa pesa na ukuze biashara yako kwa kuhudumiwa na busiminet.

KARIBUNI SANA WANA JF,

Mkuu Mimi nilitaka kujua gharama za kupata trade mark au service mark.na inachukua muda gani?
 
Gharama ni maelewano lakini ndogo sana kutegemeana na goods or service utakayokuwa unatoa,muda ni wiki moja au zaidi lakini haizidi mwezi kulingana na services itakayotolewa. we ulikuwa unahtaji kutoa services gani?

Okoa muda,okoa pesa na ukuze biashara yako kwa kuhudumiwa na busiminet.
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
Po.box 12659
Kinondoni-Dar es salaam

Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
OUR SERVICES: Tax, Business, IT, Accounting &Bookkeeping and Other services
TAX
1.Assist in preparation and submission of Returns to TRA
2.
Assist in estimation and determination of tax liabilities.
3.Online Returns submission and Payment Registration with TRA.
4.
Assist in Tax Payment processing.
5.Reminding about due dates for Tax payment and Other Tax/Statutory compliance.
6.
Tax health-checks
7.
Processing transfer or change of ownership with TRA
8.
Assist in filing and submission of TRA forms.
9.
Assist in Applications for Requesting Tax exemption.
10.
Tax consultation and advisory.
BUSINESS

1.
Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, NGO’s, Succoss and Company registration with BRELA.
3.
Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile

4.Preparation of business plans
5.
Business Restructuring
6.Loan processing
7
.
Business consultations
8.
Preparation of Research proposals

IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.
Logo,Bill boards, Posters.
2.
Business cards, Identity cards (ID).
3.
Brochures Flyers, Invitation cards.
4.
Calendar,Product label Magazines
5.
Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.
Website, Blogs and Systemdesign and development
7.
Computer maintenance
8.
Computer software installation
9.
Network designing and installation
10.CCTV installation
11.
AC installation and maintenance

ACCOUNTING AND BOOK-KEEPING SERVICES
1.Stock counting
2.
Preparation of bank reconciliations
3.
Preparation of annual financial statements complying with International Financial Reporting Standards.

4.Posting of financial transactions from source documents , (IFRS).
5.
Preparation of budgets and management reports.
6.
Payroll services (preparation of the payroll including pay slips)
7.
How to keep books of account

OTHER SERVICES
1.
Mining
2.
Marketing and advertisement
3.
Education
4.
Agricultural activities
5.
Gas activities
6.
Cargo clearing
7.
Legal consultancy
8.
Staff recruitment & Out-Sourcing
9.
Project management and analysis
10. Training and workshops to Enterpreneurs, scholars and other groups that need to excel in their business

Business in the smooth environment ensures growth


okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd

 
Mkuu mbona ukienda kwenye website ya Brela unapata template ya hizo MEMARTS! Hapo una download na kuzi edit kulingana na matakwa yako. Vile vile zipo fomu za kusajiri jina la biashara (business name), changes etc. katika web hiyo!

mi mwenyewe nimeshadownload..hapa bado mihuri tu!! Sasa sijui anataka laki moja ya nini!?
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
Po.box 12659
Kinondoni-Dar es salaam

Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
OUR SERVICES: Tax, Business, IT, Accounting &Bookkeeping and Other services
TAX
1.Assist in preparation and submission of Returns to TRA
2.
Assist in estimation and determination of tax liabilities.
3.Online Returns submission and Payment Registration with TRA.
4.
Assist in Tax Payment processing.
5.Reminding about due dates for Tax payment and Other Tax/Statutory compliance.
6.
Tax health-checks
7.
Processing transfer or change of ownership with TRA
8.
Assist in filing and submission of TRA forms.
9.
Assist in Applications for Requesting Tax exemption.
10.
Tax consultation and advisory.
BUSINESS

1.
Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, NGO’s, Succoss and Company registration with BRELA.
3.
Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile

4.Preparation of business plans
5.
Business Restructuring
6.Loan processing
7
.
Business consultations
8.
Preparation of Research proposals

IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.
Logo,Bill boards, Posters.
2.
Business cards, Identity cards (ID).
3.
Brochures Flyers, Invitation cards.
4.
Calendar,Product label Magazines
5.
Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.
Website, Blogs and Systemdesign and development
7.
Computer maintenance
8.
Computer software installation
9.
Network designing and installation
10.CCTV installation
11.
AC installation and maintenance

ACCOUNTING AND BOOK-KEEPING SERVICES
1.Stock counting
2.
Preparation of bank reconciliations
3.
Preparation of annual financial statements complying with International Financial Reporting Standards.

4.Posting of financial transactions from source documents , (IFRS).
5.
Preparation of budgets and management reports.
6.
Payroll services (preparation of the payroll including pay slips)
7.
How to keep books of account

OTHER SERVICES
1.
Mining
2.
Marketing and advertisement
3.
Education
4.
Agricultural activities
5.
Gas activities
6.
Cargo clearing
7.
Legal consultancy
8.
Staff recruitment & Out-Sourcing
9.
Project management and analysis
10. Training and workshops to Enterpreneurs, scholars and other groups that need to excel in their business

Business in the smooth environment ensures growth


okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd


I want to import cement from pakistan, for business purposes, ila nimeambiwa mpaka niwe na kibali cha kuingiza hio bidhaa nchini kutoka wizara ya viwanda na biashara.. Unaweza kunisaidia kujua gharama za hicho kibali?
 
kampuni linaweza kukusaidia hadi kupata hicho kibali maana kuna taratibu zakufuatwa na swala la gharama ni la mwisho na inategemeana na mzigo unaotaka kuimport,kwa maelezo zaidi piga 0765901093
 
Ni vema kila mmoja anaeleza mawazo yake na changamoto alizopitia au anazoziona. Jambo la msingi hapa ni kwamba wakati tunawaomba wadau tusiwe wepesi wa kuhukumu bali tutoe ushauri, pia mtoa maada unatakiwa kuwa makini unapokwenda kwa watu. Msingi wa kufanikiwa usajili upo kwenye kuandaa document ambazo ziko standard. Ambapo ukiziandaa unampa mtaalam mwenzako nae azipitie ili kukagua makosa, kisha utazipitia mwenyewe tena kwa mara ya mwisho. hivyo zinaweza kula muda kidogo. Lakini pia kama utamuandalia mtu documents then ukamuacha akapambane mwenyewe brela utakuwa hujamsaidia sana, hivyo lifanyieni kazi hilo.
Karibu Anjoa Company Limited kwa ushauri na huduma katika masuala ya usajili. (jina la biashara, kampuni au NGO). Pia tunatengeneza michanganuo ya biashara na kuandaa mahesabu), Tunatoa ushauri na huduma ya namna ya kuanzisha na kuendesha taasisi ndogo ndogo za mikopo, n.k
Wasiliana nasi: Simu 0759-692024 au 0688510564 au
Au fika ofisini kwetu: Dar es Salaam, Kinondoni Manyanya, Mtaa wa Togo, Tiger tower 2and floor (jirani na Togo tower)
 
Gkileo karibu sana Busiminet co.ltd gharama ni nafuu sana katka huduma zetu .kwa maelekezo zaidi piga simu 0765901093

Business in the smooth environment ensures growth


okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd
 
Back
Top Bottom