Tunaanza kutengeneza kizazi cha watoto au watanzania wasiojua vizuri kiswahili kama ilivyo kwa wahindi licha ya kuzaliwa na kukulia humu nchini

Leo kwa mara ya kwanz nime-like post yako.
Kumbe upo vizuri kichwani, lissu alitaka kukuharibu. Bora JPM alimfurumusha angeendelea kuharibu akili za vijana wengi kama nyie
 
Shule za kisiasa au kisasa umeharibu uzi mzima kwa kutokuwa makini kwenye spelling
[/QUOTE]
Simu hizi zinachangia sana kwani zina-type automatically kadri unavyo-type na uki-post bila kuona matokeo ndio hayo.
 
Wewe hujui English ! Jielimishe kwani dunia haiwezi kukusubiri wewe na Kiswahili chako hicho! Technologia inakwenda kwa kasi mno na English ndio " Kiswahili " cha Dunia hii.
 
Leo kwa mara ya kwanz nime-like post yako.
Kumbe upo vizuri kichwani, lissu alitaka kukuharibu. Bora JPM alimfurumusha angeendelea kuharibu akili za vijana wengi kama nyie
Tuweke siasa pembeni.
 
Hii sio ligi!
Sio ligi lakini kama hujui kitu kaa kimya kuliko kuleta upupu wako kwenye public domain.Wewe unadhani kutotamka maneno kwa ufasaha kwenye lugha basi hakuna shida! Ni shida kubwa sana.
Watanzania wengi hamjui Kiingereza wala Kiswahili ila mnatumia tu kichaka cha kukuza Kiswahili ili kuficha udhaifu wenu! Jifunzenu kutafuta maarifa zaidi ! Kujua lugha ya Kiingereza haikuzuii kujua au kujifunza pia Kiswahili fasaha!
 
Mkuu wanafunzi wa shule za serikali asilimia 90 wana maadili mabovu na mawazo potofu mimi ninajua ninachokiandika.
Na kama mtoto hajitambui lazima naye apotee.
Sasa ukitaka mwanao aharibike mchanganye na hao watoto wa mitaani then ulete mrejesho.

Achana na wao kutokujua kiswahili.
Asilimia 10 ya watanzania ndio wanatumia Kiswahili kama main language wengine 90% wanatumia kama second language na hawawezi kutumia vizuri hicho Kiswahili.
Pia Tanzania kuna lugha zaidi ya 100 unadhani kwanini Kiswahili hakijafutika tangu kipindi hicho?
Sasa English ni kitu gani kati ya hizo lugha 100?

Pia umesema wanafunzi wa shule ya msingi wanatumia Kiswahili.
Sasa kama kumbe wapo watu wanaotumia Kiswahili iweje kifutike?

Na kama unataka maisha yako yote ujifungie Tanzania basi ukos sahihi usijifunze lugha za mataifa mengine.
Na umesahau kwamba Tanzania kila kitu kwa asilimia nyingi ni English ndio inatumia hapo ondoa secondary school ambayo ukiondoa Kiswahili basi masomo yote ni English.

Pia Hakuna kitu kama hicho na hakijawahi tokea in centuries kwamba ukitumia na kujifunza lugha nyingi basi utasahau mother language.
Unaweza ukaniambia kwanini kuna watu wanaweza kutumia lugha zaidi ya 5 kiufasaha?
Na Kwanini wasisahau hizo lugha nyingine walizojifunza?


Au Leta ushahidi kuprove hoja yako.
 
It's good and fine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…