Tunachimba visima na kuuza machine za kuchujia maji chumvi kuwa maji baridi

konda msafi

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
1,696
Reaction score
8,763
Samaritan Water Solution LTD ni wataalamu wa kuchimba visima kwa kutumia mitambo ya kisasa kabisa. Tunafanya survey kwa bei nafuu. Pia tunatengeneza machine za kuchujia maji kwa wale wenye visima vya maji chumvi. Pia tunafunga irrigation system kwa wale wanaofanya kilimo cha umwagiliaji. Pia tunatengeneza mabwawa ya kufugia samaki (fish ponds). Tunajenga minara ya kuwekea matanki ya maji, tunauza pump za maji, tunauza generators, tunaweka mifumo ya umeme wa jua (solar system) na mengine mengi.

Wasiliana nasi kwa simu namba +255682717749, +255676405024 email: info@samaritanwater.co.tz









 

Attachments

  • VID-20201021-WA0002.mp4
    13.3 MB
Samaritan Water Solution LTD specializes in boreholes drilling, water treatment plants, irrigation systems, fish ponds construction, water tanks towers, solar energy systems, generators and many more. Please contact us on +255676405024, +255682717749 email: info@samaritanwater.co.tz









 

Attachments

  • VID-20201021-WA0002.mp4
    13.3 MB
Geita 1M bei gani
Survey inatakiwa ifanyike kwanza ili kujua aina ya udongo na pia kujua maji yanapatikana kuanzia mita ngapi. Tukishapata majibu ya hizi parameters ndio tunajua tumchaji mteja kiasi gani kwa meter ila bei zinarange between 60,000 to 100,000 kwa meter, pia kuna cost zingine mbali na hizo.
 
Wale wenye visima vya maji chumvi au magadi njooni tuwahudumie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…