Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
huduma hii mnaitoa kwa bei gani
Wale wenye visima vya maji chumvi au magadi njooni tuwahudumie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wenye visima vya maji chumvi au magadi njooni tuwahudumie.
Kuna machine za bei tofauti kulingana na capacity ya machine. Kwa hiyo mteja atasema anahitaji machine yenye uwezo wa kutoa lita ngapi kwa siku. Pia ghalama ya machine inategemea hayo maji yako yana chumvi kiasi gani?huduma hii mnaitoa kwa bei gani
Kuna machine za bei tofauti kulingana na capacity ya machine. Kwa hiyo mteja atasema anahitaji machine yenye uwezo wa kutoa lita ngapi kwa siku. Pia ghalama ya machine inategemea hayo maji yako yana chumvi kiasi gani?
Nataka mje kufanya survey Tanga mjini.
Naomba maelekezo zaidi.
Naomba utupigie kupitia hizo namba tuweze kueleweshana zaidi.kwahiyo huwezi fafanua hizo machine na bei zake?
mteja hazijui
Mkuu naomba utupigie simu kwa maelezo zaidi.Machine za kusafisha maji chumvi yenye uwezo wa Lita 20,000 - 50,000 kwa siku ni Bei gani. Kiwango Cha chumvi ni moderate yananyweka.
Naomba utupigie kupitia hizo namba tuweze kueleweshana zaidi.
We weka hapa tu mkuu naamini wapo wengi wanataka kujuaMkuu naomba utupigie simu kwa maelezo zaidi.
Mkuu kuna factors nyingi zinazodetermine gharama ya machine. Maji lazima tuyapeleke maabara kuyapima tujue yana "chemicals" zipi. Kwenye maji kuna chemical nyingi including chumvi na magadi. Hivyo gharama zitabase na ubora wa hayo maji pamoja na uwezo wa kutoa maji i.e. litre kwa siku. Kwa hiyo siwezi kutoa jibu ambalo ni unprofessional.We weka hapa tu mkuu naamini wapo wengi wanataka kujua
Survey kwa mkoa wa mwanza ni Bei gani?Samaritan Water Solution LTD ni wataalamu wa kuchimba visima kwa kutumia mitambo ya kisasa kabisa. Tunafanya survey kwa bei nafuu. Pia tunatengeneza machine za kuchujia maji kwa wale wenye visima vya maji chumvi. Pia tunafunga irrigation system kwa wale wanaofanya kilimo cha umwagiliaji. Pia tunatengeneza mabwawa ya kufugia samaki (fish ponds). Tunajenga minara ya kuwekea matanki ya maji, tunauza pump za maji, tunauza generators, tunaweka mifumo ya umeme wa jua (solar system) na mengine mengi.
Wasiliana nasi kwa simu namba +255682717749, +255676405024 email: info@samaritanwater.co.tz
View attachment 1848282
View attachment 1848283
View attachment 1848284
View attachment 1848632
View attachment 1848634
Suvery inaanzia 500,000 na kuendelea. Kuendelea maana yake inategemea na ukubwa wa eneo. Kama eneo ni kubwa let's say heka 20 bei yake haiwezi kulingana na survey kwenye eneo la miguu 20 kwa 20.Survey kwa mkoa wa mwanza ni Bei gani?
Suvery inaanzia 500,000 na kuendelea. Kuendelea maana yake inategemea na ukubwa wa eneo. Kama eneo ni kubwa let's say heka 20 bei yake haiwezi kulingana na survey kwenye eneo la miguu 20 . Mfn kwangu ni heka tano
Shukrani mkuu.
Ukiona Hivyo Ujue Ubabaishaji Mwingihili tangazo lako ungeliweka huko huko unakotaka tolea maelezo
Kimyakaka water filter system ifuatayo mnauzaje
1. option A
Big blue canisters za 10 x 4.5 ikiwa na filter zifuatazo
- Sed filter washable 50micron
- Sed filter Poly 5micron
- Carbon (coconut ) with KDF85 Filter 5micron
1. option B
Big blue canisters za 20. x 4.5 ikiwa na filter zifuatazo
- Sed filter washable 50micron
- Sed filter Poly 5micron
- Carbon (coconut ) with KDF85 Filter 5micron
nipe bei hizo option hapo juu kufunga nafunga mwenyewe,
pia mnasupply brand gani