Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Pedrollo submersible electric Pump three-phase 10 HP​

Flow rate up to 450 l/min (27 m3/h). Head up to 121 m. Motor 7.5 Kw (10 HP).
pedrollo-6sr18-9-pd-submersible-electric-pump-three-phase-10-hp.jpg

price 8M TSHS
 
View attachment 2176956
Kutana na pampu ya maji kutoka ujerumani, iliyoundwa kwa mazingira ya nchi zinazoendelea.

Kwanini pampu hii ni ya kipekeee?

  1. Ndio pump inayoweza kutoa maji katika chanzo chochote cha maji, yaani mabwawa, mito, maziwa, visima, n.k
  2. Ndio pump ndogo yenye uwezo wa kufanya kazi kubwa, ndani ya box inakuja na sensor yake inayoweza kujiwasha na kujizima hivyo inaweza kufanya kazi siku nzima kwa interval maalumu.
  3. Ndio pump inayotumia mwanga wa jua inayopatikana kwa bei nafuu huku ikiwa na uwezo wa kutoa hadi lita elfu 25 kwa siku.
  4. Rahisi kuifunga na kuifungua na kuhamisha kwenda sehemu moja hadi nyingine, haitaji wiring
Karibu sasa ujipatie complete set na installations kwa bei ya Tshs 3,800,000
Pia utaelekezwa namna ya kuifunga na kuifungua.

SMS/CALL/WHATSAP 0699 494650

Kariakoo DSM/ mkoani utaletewa

View attachment 2176958

View attachment 2176975View attachment 2176977
Mnazo solar water pump kwa matumizi ya nyumbani yaani kuongeza presha ya maji yanayotoka kwenye simtank kuingia kwenye nyumba?
 
Habari JF member.

Tunakumbusha tena katika kipindi hiki chenye changamoto ya maji, ambapo kwa asilimia kubwa imeathiri uchumi haswa upande wa uzalishaji.

Sasa watu wamehamka kuchimba visima, kutokana na haraka hii, wengi hawafanyi survey so wanachimba kwa kukadilia kina ambacho watapata maji ya kutosha.

Sasa basi jambo hili sio baya ila kwa kuwa mimi ni mdau mkubwa wa maswala haya, nakumbusha jamii msisahau kuandika mkataba wa uchimbaji wa kisima kwa fundi au mtu anayekuhakikishia kuwa kina fulani tutapata maji ya kutosha kukidhi matumizi yako.

Hii itakusaidia kupata haki yako ikiwa alichohaidi akitatokea.Ipo mikataba mepesi na migumu, Japokuwa mkataba unapokuwa mgumu pia gharama za uchimbaji zinaweza kuongezeka, maana wachimbaji wanajua risk za uchimbaji kuliko mteja.
Ni hayo tu kwa leo.

On behalf of Evigt_water
Kwa huduma za visima usisite kuuliza..
Whatsap 0699494650
 
Moja ya mkataba wa mteja wetu, unaweza kutumia kama sample kwa project yako.👇
IMG-20221202-WA0000.jpg
 
images (10).jpeg

Hii mota inatumia mwanga wa jua moja kwa moja, haina battery wala inverter. Unafunga tu solar panels unawasha.
 
Pipe fittings zipo za kutosha bei ya jumla.
images (11).jpeg

0759600809
0699494650
Gerezani,DSM
 
Ha ha ha chukua hiyo ndogo hiyo ni ya kilimo mkuu,,
Nahitaji pump ya kusukumia maji kutoka mtoni kwenda kwenye shamba la ekari 10 lenye muinuko mkali kidogo, nitapata. Kama ipo bei yake ni sh ngapi?
 
Pump yenye sifa zipi inayo uwezo wa kusukuma maji meter 500 au kilometa moja toka mtoni
 
Pampu za maji zinazotumia nishati ya jua, kwa idadi kubwa ni gharama Kununua.
Ila kwa hizi pampu ambazo zimeingia kutoka kiwanda cha Doyin Technology Co LTD ,zinaweza zikawa ndio pump nafuu zaidi zinazotumia mwanga wa jua.
Bei elekezi kwa sasa:
Dongyin submersible solar water pump bila solar panels;

0.75 HP , inavuta maji mita 61 ni 850,000/=
1 HP, inavuta maji mita 89 ni 950,000/=
1.5 HP inavuta maji mita 105 ni 1,100,000/=

Doyin Submersible solar water pump na panels zake;

0.75 HP, inavuta mita 61 ni 1,200,000/=
1 HP, inavuta mita 82 ni 1,500,000/=
images (13).jpeg


Karibu dukani tukuhudumie, mikoani tunatuma.
0759600809
0699494650
Gerezani.Dar es salaam
 
Pump ya kuvuta maji kisima mita 15, ipi nzuri na bei zake zikoje?
 
Nahitaji pump ya kusukumia maji kutoka mtoni kwenda kwenye shamba la ekari 10 lenye muinuko mkali kidogo, nitapata. Kama ipo bei yake ni sh ngapi?
Inabidi ufanye hesabu toka mtoni hadi Shamba ni umbali gani.
Hatua moja au tambo moja ni SAwa na mita moja kama ukishindwa kutumia foot meter
 
Nahitaji pump ya kusukumia maji kutoka mtoni kwenda kwenye shamba la ekari 10 lenye muinuko mkali kidogo, nitapata. Kama ipo bei yake ni sh ngapi?
Unataka inayotumia petroli au umeme?
 
Back
Top Bottom