Daaa! Umetisha mwambaNchi gani umetokea halafu ukaenda club buguruni.Ukute ulikuwa hapo bujumbura ndo unasema ulikuwa nje ya nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaa! Umetisha mwambaNchi gani umetokea halafu ukaenda club buguruni.Ukute ulikuwa hapo bujumbura ndo unasema ulikuwa nje ya nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahSI bora wasagaji wanazaa ....ishu mbaya ni ushoga ambao unanyonya mpaka nguvu za kiume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo hauelewi, msagaji hahisi kuwa na mwanaume, hataki na hapendi.
Yeye ni kusaga ama kusagwa na mwanamke mwenzake, hapo kuna kuzaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msagaji anazaa vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu uwiiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaowatetea na kuhamasisha kwamba kuwa ni faragha wasiingiliwe ni chadema, ulitaka kiongozi wa shina wa CCM aende huko club akawaambie usagaji haufai wakati wakili wenu msomi tundu anawatetea hadharani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyumba MSAGAJI nyumba SHOGA.. hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku Mashoga huku Wasagaji Tanzania motomoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo wenye jinsia ya kiume ni wengi Ila wanaume ni wachachee na ukizingatia wanawake ni wengi zaidi Sasa hapo unakua na deni Mara mbili