Tunaelekea wapi kwa hili ongezeko la Wasagaji?

Tunaelekea wapi kwa hili ongezeko la Wasagaji?

Tatizo wenye jinsia ya kiume ni wengi Ila wanaume ni wachachee na ukizingatia wanawake ni wengi zaidi Sasa hapo unakua na deni Mara mbili
 
Wasagaj +wasn_gg wameongezeka sana

Sahv

Ova
 
Chumbageni Tanga mtaa wa Bangkok yupo msagaji nguli anaoa na kutoa talaka ndyo maana mnahimizwa kufanya utalii wa ndani japo mara1 kwa mwaka
 
Kuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo hauelewi, msagaji hahisi kuwa na mwanaume, hataki na hapendi.

Yeye ni kusaga ama kusagwa na mwanamke mwenzake, hapo kuna kuzaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaowatetea na kuhamasisha kwamba kuwa ni faragha wasiingiliwe ni chadema, ulitaka kiongozi wa shina wa CCM aende huko club akawaambie usagaji haufai wakati wakili wenu msomi tundu anawatetea hadharani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo wenye jinsia ya kiume ni wengi Ila wanaume ni wachachee na ukizingatia wanawake ni wengi zaidi Sasa hapo unakua na deni Mara mbili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Concept ya "kurudi nchini" cjaiona kwenye uzi...jf ck hz inaanza kua fb
 
WASAGAJI HATA WAKIWA WENGI SIYO ISHU ITAFIKA SIKU TU ATAZAA ILA SHIDA KUBWA NI YA HAWA WA KIUME...
 
Back
Top Bottom