Daaa! Umetisha mwambaNchi gani umetokea halafu ukaenda club buguruni.Ukute ulikuwa hapo bujumbura ndo unasema ulikuwa nje ya nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahSI bora wasagaji wanazaa ....ishu mbaya ni ushoga ambao unanyonya mpaka nguvu za kiume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo hauelewi, msagaji hahisi kuwa na mwanaume, hataki na hapendi.
Yeye ni kusaga ama kusagwa na mwanamke mwenzake, hapo kuna kuzaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msagaji anazaa vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu uwiiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaowatetea na kuhamasisha kwamba kuwa ni faragha wasiingiliwe ni chadema, ulitaka kiongozi wa shina wa CCM aende huko club akawaambie usagaji haufai wakati wakili wenu msomi tundu anawatetea hadharani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyumba MSAGAJI nyumba SHOGA.. hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku Mashoga huku Wasagaji Tanzania motomoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo wenye jinsia ya kiume ni wengi Ila wanaume ni wachachee na ukizingatia wanawake ni wengi zaidi Sasa hapo unakua na deni Mara mbili