Tunaenda na kanuni, kwahiyo Yanga jiandaeni kuweka logo nyekundu ya mdhamini kwenye jezi zenu msimu ujao

Tunaenda na kanuni, kwahiyo Yanga jiandaeni kuweka logo nyekundu ya mdhamini kwenye jezi zenu msimu ujao

Hakuna cha Tff wala mdhamini aliyepo au atakaye kuja katika mpira wa nchi hii atakaye jaribu kuwalazimisha Yanga kuvaa logo yenye rangi nyekundu.
Apo nyuma Vodacom na Tff walishawahi kujaribu ila alishindwa.
wewe unaona ni akili hiyo? sema kwa kutumia akili timamu
 
Yanga ni kubwa kuliko tff so mbumbumbu kaeni mkijua bila yanga hakuna tff kama unabisha we fala
 
Back
Top Bottom