Tunaendelea tu Kujengwa Kisaikolojia kwa Kipigo cha leo Usiku kutoka kwa Mwarabu huko Algeria

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
"sisi wana yanga sc lengo letu ni alama ( points ) tisa ( 9 ) kwa mkapa na huko ugenini hata tukifungwa au kutoka sare au suluhu sisi wala hatujali na hatutoumia kivile" wamesema viongozi waandamizi walioambatana na yanga sc huko nchini Algeria

Cognizant "Think Tank and Adorable Angel" nawatakia kila la kheri waarabu wa nchini Algeria leo

badala ya kuiandaa timu yenu nyie muda wote tu mko busy kuweka mabango ya ushindi wa tigo pesa wa 1 - 5 dhidi ya wanaojua mpira zaidi yenu simba sc

leo ndiyo mtajua kuwa hamjui kitu
 
Asiyejua kampiga anayejua

Aahaass
 
powa tutampiga mme wenu mwarabu tunarudi haraka kuendelea kusambaza mabango...yaani mpk mthemee
 
Popoma kama popoma Genta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…