Car4Sale Tunafanya Biashara ya kuuza na kununua magari, mapya na yaliyotumika Tanzania

Njoo na hapa Karucee
 
Dah! Umeamua kukitia mchanga kitumbua cha watu!! 🤭
 
Duh!! Mbona yamejaa barabarani? Isije ikawa mlishindwa kwenye matunzo! Maana hata mwanamke usipotunzwa, utakongoroka na kuonekana mzee!!
Ndugu, mzigo umeuelewa uchukue uweke ndani.

Xtrail kuanzia mfumo Umeme wake mpaka gearbox ni pasua kichwa.

Wachunguze wanaoendesha. Wanafuraha kweli?

Sijaonaga mwenye xtrail akitabasamu njiani. Wote wanakuwaga na sura za hasiraaa, mawazo kedekede wametega sikio kama wanasikiliza engine muda wowote kitaumana.

Ila Mara kibao utapishana nazo nimepakiwa pembeni zinachemka meaning that hata system zake za kupooza engine ni mtihani. Lol
 
Pole Mkuu.
 
Duh!! Mbona yamejaa barabarani? Isije ikawa mlishindwa kwenye matunzo! Maana hata mwanamke usipotunzwa, utakongoroka na kuonekana mzee!!
Utunzaji wake unataka umakini mkubwa kitu ambacho wengi hawakiwezi
Mfano hydraulic yake ni special (CVT ya lita 5), inauzwa 140,000 hivi usijaribu HATA SIKU MOJA kuweka CVT ya lita moja moja.. Utajuta kuifahamu Nissan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri punguza bei hizo gari zinakimbiwa sana bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekulia garage baby wake mie.

Nimelelewa na single Dad ambae ni Mechanic.

Somewhere utapata tu sredi twangu back then when I was wild.🤣
Nitakuja PM, si unajua tena mimi na wewe stori haziishi...
hapa penyewe nilitaka nimwagike ila nikaona siyo vyema.
 
4sale TOYOTA Ipsum #DHT
Yeah 2003
Engine 2AZ
Capacity 2390
Gary Nzur Sana
Full A/C
Full Documentar/Full option
Price Bei Ml 8.5 neg.
Tsh 8,500,000
Call/whatsapp-0672697409
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…