Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Tazama hapa tu ni mfano wa gari bei yake (CIF) halisi kutoka Japan na ile unayopewa na TRA kwenye System yao...... Gari unanunua milioni saba kodi milioni tisa.
Aiseer something has to be done. Hii ni roho mbaya ya wazi wazi.
Basi hiyo kodi tulipe kidogo kidogo isilipwe yote kwa wakati mmoja .
Aiseer something has to be done. Hii ni roho mbaya ya wazi wazi.
Basi hiyo kodi tulipe kidogo kidogo isilipwe yote kwa wakati mmoja .