Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
VaticanNafikiri ni yeye na kama alikuwa kwenye matibabu angesema tu
Special mission hizi
Mbona Mobeyo tulimuona Vatican au yalikuwa ni maombi yale
Labda special mission pia who knowsVatican
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀
Kabla ya kupewa taji la kiti!huwa wanapotea kidogo nje au ndani ya nchi kwa muda kufundwa kabla ya kukalia kiti!!Labda special mission pia who knows
Hilo nalo nenoKabla ya kupewa taji la kiti!huwa wanapotea kidogo nje au ndani ya nchi kwa muda kufundwa kabla ya kukalia kiti!!
"Mpango ndio mpango mzima"by pascal mayala!
Mambo ya intelligence hayo!!Hilo nalo neno
Ila hata angesema ameenda kusomea uraisi 😄 nani angesema kitu (kama kupo)
Sisi ni wa kuburuzwa
Yaani hebu fikiria hata pascal Pascal Mayalla naye aliingia chaka ktk hili."Mpango ndio mpango mzima"by pascal mayala!
Sio yeye tu wengi hata wabunge na baadhi ya mawaziri pia!!Yaani hebu fikiria hata pascal Pascal Mayalla naye aliingia chaka ktk hili.
[emoji1]Mambo ya intelligence hayo!!
Kuna baadhi watakua walianza kuwaza umakam!!
Mkuu ili wazo umelitoa wapi dah..Huu ulimwengu watu wanakuwa cloned. Unaweza kuta Makamu alishafariki huko alikokuwa. Wametumia huu mwezi mzima ku mclone na kum coach mtu mwingine kumrudisha TZ.
Hii Dunia hii.... Kwa sasa kila kitu si kama kinavyoonekana. Macho yamekuwa yakidanganywa sana.
Kama ya KULE kwa TATA MADIBA.Huu ulimwengu watu wanakuwa cloned. Unaweza kuta Makamu alishafariki huko alikokuwa. Wametumia huu mwezi mzima ku mclone na kum coach mtu mwingine kumrudisha TZ.
Hii Dunia hii.... Kwa sasa kila kitu si kama kinavyoonekana. Macho yamekuwa yakidanganywa sa