Tunahakikishaje kuwa ni yeye kweli au amekuwa Cloned? Amerudi mtu mwingine?

Tunahakikishaje kuwa ni yeye kweli au amekuwa Cloned? Amerudi mtu mwingine?

Huu ulimwengu watu wanakuwa cloned. Unaweza kuta Makamu alishafariki huko alikokuwa. Wametumia huu mwezi mzima ku mclone na kum coach mtu mwingine kumrudisha TZ.

Hii Dunia hii.... Kwa sasa kila kitu si kama kinavyoonekana. Macho yamekuwa yakidanganywa sana.
Acha bangi
 
Nchi ya kijinga sana hii. Yaani makamu anatuonyq wananchi kutumia mitandao vizuri kwasabb tu tumehoji kuwa alikuwa wapi?

Hv Mpango hajui kuwa ni haki yetu kufahamu viongozi wetu waliko??

Kama kweli kuna waandishi wa habari nchi hii sasa ni wakati wa wao kumuweka huyu makamu kiti moto na kumhoji.
Una hoja kwa hili,
 
Hayo mambo tuwaachie akina Putin huko na wenzao wa dunia ya kwanza!!

CCM wanachoweza ni kuiba kura lakini sio cloning.
 
Huu ulimwengu watu wanakuwa cloned. Unaweza kuta Makamu alishafariki huko alikokuwa. Wametumia huu mwezi mzima ku mclone na kum coach mtu mwingine kumrudisha TZ.

Hii Dunia hii.... Kwa sasa kila kitu si kama kinavyoonekana. Macho yamekuwa yakidanganywa sana.
Mimi nitakua wa mwisho kuamini huyu kiongozi ni mzima was afya kama alivodai!!

Siamini Sana hii spin ilivyofanywa !!

Kama ni mzima kulikua hakuna haja ya kusababisha taharuki ya kutoonekana!!

Labda kama ndio mambo ya course za power!!
 
Huu ulimwengu watu wanakuwa cloned. Unaweza kuta Makamu alishafariki huko alikokuwa. Wametumia huu mwezi mzima ku mclone na kum coach mtu mwingine kumrudisha TZ.

Hii Dunia hii.... Kwa sasa kila kitu si kama kinavyoonekana. Macho yamekuwa yakidanganywa sana.
Wamclone Mpango! kwa lipi alilonalo? Low minded bwana
 
Nchi ya kijinga sana hii. Yaani makamu anatuonyq wananchi kutumia mitandao vizuri kwasabb tu tumehoji kuwa alikuwa wapi?

Hv Mpango hajui kuwa ni haki yetu kufahamu viongozi wetu waliko??

Kama kweli kuna waandishi wa habari nchi hii sasa ni wakati wa wao kumuweka huyu makamu kiti moto na kumhoji.
Kuhojii? Kuhoji ndo kuidhinisha kifo?
 
Dada wa taifa alitoa taarifa genuine sana. Yule huwa anajitahidi kutoa taarifa zinazokaribiana na ukweli
 
Back
Top Bottom