Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha bangiHuu ulimwengu watu wanakuwa cloned. Unaweza kuta Makamu alishafariki huko alikokuwa. Wametumia huu mwezi mzima ku mclone na kum coach mtu mwingine kumrudisha TZ.
Hii Dunia hii.... Kwa sasa kila kitu si kama kinavyoonekana. Macho yamekuwa yakidanganywa sana.
Jamaa anafurahisha huyu 😎😆😆😆😆
Una hoja kwa hili,Nchi ya kijinga sana hii. Yaani makamu anatuonyq wananchi kutumia mitandao vizuri kwasabb tu tumehoji kuwa alikuwa wapi?
Hv Mpango hajui kuwa ni haki yetu kufahamu viongozi wetu waliko??
Kama kweli kuna waandishi wa habari nchi hii sasa ni wakati wa wao kumuweka huyu makamu kiti moto na kumhoji.
Kasema si mnaona niko vile vile wala sijakonda 😄Mkuu ili wazo umelitoa wapi dah..
Watu mna akili sana..
Sikuwaza hivu ila inabidi kumchunguza mienendo na tabia zake kama zitatofautiana bhasi ni clone
Mimi nitakua wa mwisho kuamini huyu kiongozi ni mzima was afya kama alivodai!!Huu ulimwengu watu wanakuwa cloned. Unaweza kuta Makamu alishafariki huko alikokuwa. Wametumia huu mwezi mzima ku mclone na kum coach mtu mwingine kumrudisha TZ.
Hii Dunia hii.... Kwa sasa kila kitu si kama kinavyoonekana. Macho yamekuwa yakidanganywa sana.
Acha gongoAcha bangi
Wamclone Mpango! kwa lipi alilonalo? Low minded bwanaHuu ulimwengu watu wanakuwa cloned. Unaweza kuta Makamu alishafariki huko alikokuwa. Wametumia huu mwezi mzima ku mclone na kum coach mtu mwingine kumrudisha TZ.
Hii Dunia hii.... Kwa sasa kila kitu si kama kinavyoonekana. Macho yamekuwa yakidanganywa sana.
Kuhojii? Kuhoji ndo kuidhinisha kifo?Nchi ya kijinga sana hii. Yaani makamu anatuonyq wananchi kutumia mitandao vizuri kwasabb tu tumehoji kuwa alikuwa wapi?
Hv Mpango hajui kuwa ni haki yetu kufahamu viongozi wetu waliko??
Kama kweli kuna waandishi wa habari nchi hii sasa ni wakati wa wao kumuweka huyu makamu kiti moto na kumhoji.