xivii09
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 267
- 153
Kama tutapata Adolf Hitler Nina amini kabisa Tanzania inaweza kupiga hatua za haraka ktk maendeleo kwa tukawa na uchumi mkubwa imara na kuwa na teknolojia za hali ya juu tu endapo tutapata kiongozi mwenye kufanana na hitlerWakati watu wengi wakiamini kuwa Adolf hitler alikuwa dictator na moja wa kiongozi mbaya kuliko wote aliyewai kutokea mimi napinga na si kweli hata kidogo kwangu mimi ni role model wangu kama alivyo Mugabe kwa sasa, wajerumani walimuani sana na walimpenda ..
- Siamini katika kubadisha vyama vya siasa kwa sisi waafrica ubinafsi,rushwa,tamaaa nk. Ni kuwadanganya tu wanachi huu mfumo ni mbaya sana eti tunauita demokrasia kila kiongozi anaingia madakani anfanya madudu eti mnasubiria mda wake uishe watu wa chini wanazidi kuwa masikini.
- Hitler alikuwa ni mzalendo haswaaa! Kwa wale wasiommjua vizuri
Alikuwa mwadilifu hakuwai kuwa na tuhuma za rushwa wala ila ilishawai kufungwa kwa kutetea sera zake .
Alichokiongea ndicho alicho kimaanisha na kutekeleza hata ukimuangalia
Je hapa kwetu viongozi wetu akionge kweli ndicho anachomaanisah?
Huu ni mtazamo wangu na ndivyo ninavyo amini na si sheria