Tunahitaji Adolf Hitler wa kwetu Tanzania kwa sasa

Tunahitaji Adolf Hitler wa kwetu Tanzania kwa sasa

xivii09

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2012
Posts
267
Reaction score
153
orange-HJ_Nuremberg.jpgKama tutapata Adolf Hitler Nina amini kabisa Tanzania inaweza kupiga hatua za haraka ktk maendeleo kwa tukawa na uchumi mkubwa imara na kuwa na teknolojia za hali ya juu tu endapo tutapata kiongozi mwenye kufanana na hitler
Wakati watu wengi wakiamini kuwa Adolf hitler alikuwa dictator na moja wa kiongozi mbaya kuliko wote aliyewai kutokea mimi napinga na si kweli hata kidogo kwangu mimi ni role model wangu kama alivyo Mugabe kwa sasa, wajerumani walimuani sana na walimpenda…..

  • Siamini katika kubadisha vyama vya siasa kwa sisi waafrica ubinafsi,rushwa,tamaaa nk. Ni kuwadanganya tu wanachi huu mfumo ni mbaya sana eti tunauita demokrasia kila kiongozi anaingia madakani anfanya madudu eti mnasubiria mda wake uishe watu wa chini wanazidi kuwa masikini.
  • Hitler alikuwa ni mzalendo haswaaa! Kwa wale wasiommjua vizuri
Wakati hitler anaingia madarakani ujerumani ilikua na hali mbaya sana kiuchini wa watu wengi walikua hawana ajira na kila mwaka idadi ya watu 2,000,000 (miliono mbili kila mwaka walikosa ajira zao) hitler aliokoa ujerumani na kuitoa ktk hali mbaya ya kiuchumi na kuwa ktk uchumi imara nan a teknojia za hali ya juu na kuwa na jeshi imara kuliko yte duniani (jeshi imara kuliko yote duniani)
Alikuwa mwadilifu hakuwai kuwa na tuhuma za rushwa wala ila ilishawai kufungwa kwa kutetea sera zake….
Alichokiongea ndicho alicho kimaanisha na kutekeleza hata ukimuangalia
Je hapa kwetu viongozi wetu akionge kweli ndicho anachomaanisah?
Huu ni mtazamo wangu na ndivyo ninavyo amini na si sheria
 
Is this intelligence?
It is too low!
Kuiendeleza nchi at an expense of lives of millions of people in the world is satanic!
 
Me naungana na wew mkuu kwan tukiangalia nchi nying zenye uwezo kiuchum hapa dunian kama italy,marekan,china,uingereza,spain ujeruman zimeptia maamuz magumu sana kuwa kiongozi anachoingea lazma akimanishe na haimanish ukatil wa kuuwa wat wasio na hatia.Upand wang lazma kuwa na kiongozi imara atakayemanisha ukwel wa anachokionge mfano tz kuna sera ya kilmo kwanza ila cha kushangaza matrecta yapo mijin tu je hawa wat wa mijin wanalma nin?rahsi majuz alikataa takwimu za joel bendela na cabinet yake kuwa ni za uonge je ni kwel anateuwa wat wasio na uwezo kiutendaj lazma amuwajbishe.

majuz hapa kuna viongzi wakubwa wanaoshrk ujangil wa tembo na bado wanafmbiwa macho mpaka leo so ni lazima tuwe na kiongozi anayewachukia wahujmu uchum na kuwafkuza kaz na kuwaflisi

Hvi katka halmashaur zet ni madudu mangap yanafnyka na wakurugenz kutnishiana misul na wafanyakaz kisa wanadai malpmbikzo yao ya mishahara je wanastahl kuendlea kubak katka madaraka au kwenda jela kwa kosa la kulpa mishahra hewa na ku2mia ofis vibaya?
 
Hitler was a killer so hatuhitaji kama hitler ila mwenye maamuzi na kusimamia maamuzi na utaratibu si kama wanaondekeza majangili na ufisadi
 
Mkuu unaifahamu Nazi ideology kweli?

Hitler alikuwa mbaguzi kupita maelezo. Tanzania hatuhitaji kiongozi mbaguzi namna ile
 
Kutamani nazism ni upofu.
Hakuna unacho weza kunufaika kwa kubagua wengine.
Tunahtaji kiongozi imara,na mwenye maamuzi thabiti,ila si kama Hitler.
 
Ebu tuachie Kikwete wetu, tumemzoea! Ukitaka Udikteta anzisha katika familia yako.
 
president material
..........rais mwenye moyo kama wa jose mujica,kwenye kusimamia rasilimali awe kama gadafi,maamuzi kama ya hitler,awe na sauti kama nyerere.

tatizo mtu wa aina hiyo hajazaliwa hata sasa ninavyoandika
 
Mkuu unaifahamu Nazi ideology kweli?

Hitler alikuwa mbaguzi kupita maelezo. Tanzania hatuhitaji kiongozi mbaguzi namna ile

ishu siyo ubaguzi kwa miaka ile hapakua viongozi wabaguzi hata PM wa uingereza alikua mbaguzi ila angalia determination na ideology ya hitler yeye alikuwa muawazi na mkweli ndo maana wa2 mukamuona ivyo wanayo fanya hakina natanyau sasa hayana tofauti na ya hitler kwa kipindi kile ubagusi wa karne hii ni tofauti na kipindi kile ila ubaguzi ni ubaguzi tu.
 
Huo ndio ukweli mkuu. Vyama vya siasa haviwez kufanya mabadriko yoyote........ Hapa ilbidi kumpindua huyu sharobaro na nchi iende kidiktete. Bila udiktete hapana maendeleo. Hata sera za kijamaa zinakazia suala la udiktete ili kuhmiza maendeleo
 
Is this intelligence?
It is too low!
Kuiendeleza nchi at an expense of lives of millions of people in the world is satanic!

usikariri ww karne hii vita watu awapigani ovyo tuongelee inssue kwa kipindi kile he was right so that he can gain power (super power) in the world baada ya ujerumani kua nchi ilikuwa ikidharaulika na alifanikisha kuifanya ikawa na military power haswa mpaka leo ujerumani wanamini hawatashidwa tena na uwezo huo wanao kwa xaxa hakuna nchi yeyete duniani xaxa watatisha kwa vita hata uchumi nani aliwapa confidence kma siyo hitler
 
Kutamani nazism ni upofu.
Hakuna unacho weza kunufaika kwa kubagua wengine.
Tunahtaji kiongozi imara,na mwenye maamuzi thabiti,ila si kama Hitler.

unadhani hitler alikua dhaifu? Unadhani hitler alikua hana maamuzi dhabiti? Ujinga wa baadhi ya watu na ww ukiwemo unadhani kua mtu kuwa kama hitler lazima ufanye hata mabaya aliyofanya yeye ww kwani ni robot unafanya kila ki2 alichokifanya eti aliua alikua mbaguzi sawa na ww lazima uue hitler aliliua wazungu na ww utaua wazungu kma yeye? Unaweza? Tunaongelea uzalendo ktk uongozi bna. Kwa wake
 
ishu siyo ubaguzi kwa miaka ile hapakua viongozi wabaguzi hata PM wa uingereza alikua mbaguzi ila angalia determination na ideology ya hitler yeye alikuwa muawazi na mkweli ndo maana wa2 mukamuona ivyo wanayo fanya hakina natanyau sasa hayana tofauti na ya hitler kwa kipindi kile ubagusi wa karne hii ni tofauti na kipindi kile ila ubaguzi ni ubaguzi tu.

Mkuu inaelekea huijui ideology ya Nazi.

Chama cha nazi kilikuwa kinaamini kuwa hapo zamani kulikuwa na jamii of indo-iranian origin which had advanced capabilities of science and technology. Hao watu walikuwa na civilization iliyoendelea sana kupita hii ya sasa

Yakatokea maafa makubwa jamii hiyo ikapotea.Ila wakaacha descendants amabao wanaitwa aryans. Aryans according to the nazi party ni wazungu(caucasions) walio pure yani wanamaumbo flani ambayo yanafanana na wajerumani

Hao aryans ndo wajerumani wa sasa.Hitler alitaka kui prify dunia nzima wabakie aryans kama master race. Vita ikaanzia hapo. Ali consider mtu yeyote ambaye sio mjerumani mchafu na anahitaji either kutawaliwa au kuuliwa

Plans za hitler kama angeshinda vita ni kuifanya berlin kuwa makao makuu ya utawala mpya wa dunia chini ya aryans. Berlin aliibadilisha jina na akaiita Germania

Na pia hiyo jamii ya indo-iranian origin ndo walii consider kama ile jamii iliyokuwa inakaa atlantis,kisiwa ambacho plato alikitaja kwenye dialogues zake za Timaeus na Critias

Hitler aliamini haya mambo kiasi kwamba kitengo chake cha covert operations Schutzstaffel(SS) kilifanya expedition Nepal kutafuta artifacts za "atlantians"

Sasa kweli mtu kama hitler anafaa
 
Hitler was a killer so hatuhitaji kama hitler ila mwenye maamuzi na kusimamia maamuzi na utaratibu si kama wanaondekeza majangili na ufisadi
wacha hiyo mambo na hiyo mambo, lowas somehow he can behave like hitler, we need prder like him
 
^^
".. A man who is born to be a dictor is not compelled, he wills it, it is his duty to move forward for the benefit of his people and not for his own.." Said Hitler 1923 In Munich cell
^^
 
usikariri ww karne hii vita watu awapigani ovyo tuongelee inssue kwa kipindi kile he was right so that he can gain power (super power) in the world baada ya ujerumani kua nchi ilikuwa ikidharaulika na alifanikisha kuifanya ikawa na military power haswa mpaka leo ujerumani wanamini hawatashidwa tena na uwezo huo wanao kwa xaxa hakuna nchi yeyete duniani xaxa watatisha kwa vita hata uchumi nani aliwapa confidence kma siyo hitler

Wajerumani wa sasa hivi siyo yaani ni 'vimeo'...wameishakuwa brainwashed na Wamarekani...kaisi huwezi kuamini...nilikutana na Geopilitical Economist kutoka Ujerumani....anasema kwenye sylbus yao ya shule...wanafundishwa propaganda....ili wasije wakadanganywa na Hilter mwingine...alidiriki kusema kuwa Wajerumani wanawaabudu wamarekani kwa kuwa waliwaokoa kutoka kwa Hitler (US is saved Germany from Hitler)...!

Tukiondoa issue ya kuua wayaudi (ambayo inahitaji mjadala mpana)....Hitler alikuwa mratibu mzuri wa maendeleo ya Wajerumani.
 
Tukimpata Adolf. Hitler wetu ni lazima tupate na Wayahudi wetu watakao kuwa wavumbuzi wa teknolojia. Je tutawapata wapi WAYAHUDI???? RWANDA??
 
Back
Top Bottom