Tunahitaji Adolf Hitler wa kwetu Tanzania kwa sasa

Tunahitaji Adolf Hitler wa kwetu Tanzania kwa sasa

View attachment 139290Kama tutapata Adolf Hitler Nina amini kabisa Tanzania inaweza kupiga hatua za haraka ktk maendeleo kwa tukawa na uchumi mkubwa imara na kuwa na teknolojia za hali ya juu tu endapo tutapata kiongozi mwenye kufanana na hitler
Wakati watu wengi wakiamini kuwa Adolf hitler alikuwa dictator na moja wa kiongozi mbaya kuliko wote aliyewai kutokea mimi napinga na si kweli hata kidogo kwangu mimi ni role model wangu kama alivyo Mugabe kwa sasa, wajerumani walimuani sana na walimpenda…..

  • Siamini katika kubadisha vyama vya siasa kwa sisi waafrica ubinafsi,rushwa,tamaaa nk. Ni kuwadanganya tu wanachi huu mfumo ni mbaya sana eti tunauita demokrasia kila kiongozi anaingia madakani anfanya madudu eti mnasubiria mda wake uishe watu wa chini wanazidi kuwa masikini.
  • Hitler alikuwa ni mzalendo haswaaa! Kwa wale wasiommjua vizuri
Wakati hitler anaingia madarakani ujerumani ilikua na hali mbaya sana kiuchini wa watu wengi walikua hawana ajira na kila mwaka idadi ya watu 2,000,000 (miliono mbili kila mwaka walikosa ajira zao) hitler aliokoa ujerumani na kuitoa ktk hali mbaya ya kiuchumi na kuwa ktk uchumi imara nan a teknojia za hali ya juu na kuwa na jeshi imara kuliko yte duniani (jeshi imara kuliko yote duniani)
Alikuwa mwadilifu hakuwai kuwa na tuhuma za rushwa wala ila ilishawai kufungwa kwa kutetea sera zake….
Alichokiongea ndicho alicho kimaanisha na kutekeleza hata ukimuangalia
Je hapa kwetu viongozi wetu akionge kweli ndicho anachomaanisah?
Huu ni mtazamo wangu na ndivyo ninavyo amini na si sheria

Ccm imewashinda utamuweza Adolph? Kwanza shindaneni na Mwigulu kabla ya kupayuka Kama mwehu.
 
Ccm imewashinda utamuweza Adolph? Kwanza shindaneni na Mwigulu kabla ya kupayuka Kama mwehu.
imetushinda mimi na nani? hitler anaweza toka chama chochote kile wewe upeo wko bana ni CCM na CDM mimi nazumngumzi watanzania 45mil + ww upo kwenye 4mil+
 
imetushinda mimi na nani? hitler anaweza toka chama chochote kile wewe upeo wko bana ni CCM na CDM mimi nazumngumzi watanzania 45mil + ww upo kwenye 4mil+
Sipo hapa kwenye ligi. Nenda kamsome Adolph halafu ndio usema vihoja vyako. You need education before you speak to experts.
 
huyu jama alikua katili atari kama alini chomea watu wazima wazima kama kuni kweli ndo una muombea atoke dizain hii tz duhu apa jamani. tuombe mtu kama gadafi ndo tunge takiwa kuomba dikteta apana.
 
president material
..........rais mwenye moyo kama wa jose mujica,kwenye kusimamia rasilimali awe kama gadafi,maamuzi kama ya hitler,awe na sauti kama nyerere.

tatizo mtu wa aina hiyo hajazaliwa hata sasa ninavyoandika
zamu hii kama kuna dalili ya kwenda huko mkuu maana hawa wameanza na magufuri
 
Nahisi hujui unaloongea
Kwamtu aliyestaarabika Hitler hawezi kuwa reference hata kidogo.
Nafikiri kunatatizo kwa mtu kurejea kwa hitler
 
View attachment 139290Kama tutapata Adolf Hitler Nina amini kabisa Tanzania inaweza kupiga hatua za haraka ktk maendeleo kwa tukawa na uchumi mkubwa imara na kuwa na teknolojia za hali ya juu tu endapo tutapata kiongozi mwenye kufanana na hitler
Wakati watu wengi wakiamini kuwa Adolf hitler alikuwa dictator na moja wa kiongozi mbaya kuliko wote aliyewai kutokea mimi napinga na si kweli hata kidogo kwangu mimi ni role model wangu kama alivyo Mugabe kwa sasa, wajerumani walimuani sana na walimpenda…..

  • Siamini katika kubadisha vyama vya siasa kwa sisi waafrica ubinafsi,rushwa,tamaaa nk. Ni kuwadanganya tu wanachi huu mfumo ni mbaya sana eti tunauita demokrasia kila kiongozi anaingia madakani anfanya madudu eti mnasubiria mda wake uishe watu wa chini wanazidi kuwa masikini.
  • Hitler alikuwa ni mzalendo haswaaa! Kwa wale wasiommjua vizuri
Wakati hitler anaingia madarakani ujerumani ilikua na hali mbaya sana kiuchini wa watu wengi walikua hawana ajira na kila mwaka idadi ya watu 2,000,000 (miliono mbili kila mwaka walikosa ajira zao) hitler aliokoa ujerumani na kuitoa ktk hali mbaya ya kiuchumi na kuwa ktk uchumi imara nan a teknojia za hali ya juu na kuwa na jeshi imara kuliko yte duniani (jeshi imara kuliko yote duniani)
Alikuwa mwadilifu hakuwai kuwa na tuhuma za rushwa wala ila ilishawai kufungwa kwa kutetea sera zake….
Alichokiongea ndicho alicho kimaanisha na kutekeleza hata ukimuangalia
Je hapa kwetu viongozi wetu akionge kweli ndicho anachomaanisah?
Huu ni mtazamo wangu na ndivyo ninavyo amini na si sheria

Mm mpendwa wetu Kama hujui Adolf kaone makaburi Ujerumani, pia Italy Mountain Cassino. Ndio hautarudia tena kumtaja huyo. Wenzako ujerumani ukimtaja mnakosana hawataki kusikia ni psychological mbaya kweli. Sisi watanzania tumeumbika na uasilia wa kupendana sema kidogo inajitoa ila tunahitaji mtu wa kuturudisha kwenye upendo wa kuitana jamaa,hili jamaa.
 
Nahisi hujui unaloongea
Kwamtu aliyestaarabika Hitler hawezi kuwa reference hata kidogo.
Nafikiri kunatatizo kwa mtu kurejea kwa hitler
mkuu mm simiaanishi awe kama hitler katika kila jambo uyu hitler aliweza ku lift tena ujerumani kiuchumi na kiteknolojia mpaka wakawa na idadi kubwa na wanasayansi wazuri kupitwa wote duninani mfano Albert Einstein na wengine mtu wa iviv saiv anatakiwa saiv
 
president material
..........rais mwenye moyo kama wa jose mujica,kwenye kusimamia rasilimali awe kama gadafi,maamuzi kama ya hitler,awe na sauti kama nyerere.

tatizo mtu wa aina hiyo hajazaliwa hata sasa ninavyoandika

mkuu izo sifa ulizosema mtu huyo yupo na ni mimi,subiri 2035.na nakuombea kwa Mungu akufikishe ili uje utoe ushuhuda na naomba hansadi za jamii forum na member watakosoma hili watkuwa mashaidi zangu.
 
Mkuu unaifahamu Nazi ideology kweli?

Hitler alikuwa mbaguzi kupita maelezo. Tanzania hatuhitaji kiongozi mbaguzi namna ile
Kwangu Mm adolf alikua ni mkomboz wa gemany kama ulisoma history uatakubaliana na mm nakumbuka tu kwa uchache baada ya kiongoz wa getmrmany kipindi hicho kumpigachini chancelor oto von bismark na kufanya ualiyoyafanya kupelekea vita yakwanza. Ya dunia germany iliachwa katika hali mbaya baada ya ile vita kushinfwa vibaya walipoteza makoloni walipoteza alsaz na lorein walipoteza nguvu kaz ya ujerumani
Mbaya zaid mataifa ya ulaya na marekani waliitaka ujerumani ambayo hata kula yao ilikua shida ilipe mahela meeeeengi nakumbuka ilikua kama 660bilions of doller kwa kusababisha vita pesa ambazo alwalitakiwa wazilipe kila mwaka
Pia walipokonywa zana zote za kijesh wapibakiwa na vifaru 6 wanajeshi 10000 na hawakuwa na ndege hata moja
Sasa angalia nini kilitokea baada ya kuja hitler nini alifanya nnaweza sema ni kiongoz pekee dunian alowah kufanya radical changes katika development. Na hakuawah tokea mpaka leo ndio maana hata lile swala linalozungumzwa now dayz kuwa kuna uwezekano hitler hakuwaua wa ahud nalikubali kwa asilimia fulani mana hitler alifanya vitu tofauti ambavyo viongoz weng walishindwa kuvifanya
Hitler katika kapitalizm anafanana
Kidogo katika maendeleo na mao ze don wa china na stalin wa rusia
 
Hitler alikuwa adui wa mataifa mengine ila alikuwa mkombozi wa wajerumani na ujerumani kwa ujumla
 
Back
Top Bottom