Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 139290Kama tutapata Adolf Hitler Nina amini kabisa Tanzania inaweza kupiga hatua za haraka ktk maendeleo kwa tukawa na uchumi mkubwa imara na kuwa na teknolojia za hali ya juu tu endapo tutapata kiongozi mwenye kufanana na hitler
Wakati watu wengi wakiamini kuwa Adolf hitler alikuwa dictator na moja wa kiongozi mbaya kuliko wote aliyewai kutokea mimi napinga na si kweli hata kidogo kwangu mimi ni role model wangu kama alivyo Mugabe kwa sasa, wajerumani walimuani sana na walimpenda ..
Wakati hitler anaingia madarakani ujerumani ilikua na hali mbaya sana kiuchini wa watu wengi walikua hawana ajira na kila mwaka idadi ya watu 2,000,000 (miliono mbili kila mwaka walikosa ajira zao) hitler aliokoa ujerumani na kuitoa ktk hali mbaya ya kiuchumi na kuwa ktk uchumi imara nan a teknojia za hali ya juu na kuwa na jeshi imara kuliko yte duniani (jeshi imara kuliko yote duniani)
- Siamini katika kubadisha vyama vya siasa kwa sisi waafrica ubinafsi,rushwa,tamaaa nk. Ni kuwadanganya tu wanachi huu mfumo ni mbaya sana eti tunauita demokrasia kila kiongozi anaingia madakani anfanya madudu eti mnasubiria mda wake uishe watu wa chini wanazidi kuwa masikini.
- Hitler alikuwa ni mzalendo haswaaa! Kwa wale wasiommjua vizuri
Alikuwa mwadilifu hakuwai kuwa na tuhuma za rushwa wala ila ilishawai kufungwa kwa kutetea sera zake .
Alichokiongea ndicho alicho kimaanisha na kutekeleza hata ukimuangalia
Je hapa kwetu viongozi wetu akionge kweli ndicho anachomaanisah?
Huu ni mtazamo wangu na ndivyo ninavyo amini na si sheria
imetushinda mimi na nani? hitler anaweza toka chama chochote kile wewe upeo wko bana ni CCM na CDM mimi nazumngumzi watanzania 45mil + ww upo kwenye 4mil+Ccm imewashinda utamuweza Adolph? Kwanza shindaneni na Mwigulu kabla ya kupayuka Kama mwehu.
Sipo hapa kwenye ligi. Nenda kamsome Adolph halafu ndio usema vihoja vyako. You need education before you speak to experts.imetushinda mimi na nani? hitler anaweza toka chama chochote kile wewe upeo wko bana ni CCM na CDM mimi nazumngumzi watanzania 45mil + ww upo kwenye 4mil+
zamu hii kama kuna dalili ya kwenda huko mkuu maana hawa wameanza na magufuripresident material
..........rais mwenye moyo kama wa jose mujica,kwenye kusimamia rasilimali awe kama gadafi,maamuzi kama ya hitler,awe na sauti kama nyerere.
tatizo mtu wa aina hiyo hajazaliwa hata sasa ninavyoandika
View attachment 139290Kama tutapata Adolf Hitler Nina amini kabisa Tanzania inaweza kupiga hatua za haraka ktk maendeleo kwa tukawa na uchumi mkubwa imara na kuwa na teknolojia za hali ya juu tu endapo tutapata kiongozi mwenye kufanana na hitler
Wakati watu wengi wakiamini kuwa Adolf hitler alikuwa dictator na moja wa kiongozi mbaya kuliko wote aliyewai kutokea mimi napinga na si kweli hata kidogo kwangu mimi ni role model wangu kama alivyo Mugabe kwa sasa, wajerumani walimuani sana na walimpenda ..
Wakati hitler anaingia madarakani ujerumani ilikua na hali mbaya sana kiuchini wa watu wengi walikua hawana ajira na kila mwaka idadi ya watu 2,000,000 (miliono mbili kila mwaka walikosa ajira zao) hitler aliokoa ujerumani na kuitoa ktk hali mbaya ya kiuchumi na kuwa ktk uchumi imara nan a teknojia za hali ya juu na kuwa na jeshi imara kuliko yte duniani (jeshi imara kuliko yote duniani)
- Siamini katika kubadisha vyama vya siasa kwa sisi waafrica ubinafsi,rushwa,tamaaa nk. Ni kuwadanganya tu wanachi huu mfumo ni mbaya sana eti tunauita demokrasia kila kiongozi anaingia madakani anfanya madudu eti mnasubiria mda wake uishe watu wa chini wanazidi kuwa masikini.
- Hitler alikuwa ni mzalendo haswaaa! Kwa wale wasiommjua vizuri
Alikuwa mwadilifu hakuwai kuwa na tuhuma za rushwa wala ila ilishawai kufungwa kwa kutetea sera zake .
Alichokiongea ndicho alicho kimaanisha na kutekeleza hata ukimuangalia
Je hapa kwetu viongozi wetu akionge kweli ndicho anachomaanisah?
Huu ni mtazamo wangu na ndivyo ninavyo amini na si sheria
mkuu mm simiaanishi awe kama hitler katika kila jambo uyu hitler aliweza ku lift tena ujerumani kiuchumi na kiteknolojia mpaka wakawa na idadi kubwa na wanasayansi wazuri kupitwa wote duninani mfano Albert Einstein na wengine mtu wa iviv saiv anatakiwa saivNahisi hujui unaloongea
Kwamtu aliyestaarabika Hitler hawezi kuwa reference hata kidogo.
Nafikiri kunatatizo kwa mtu kurejea kwa hitler
president material
..........rais mwenye moyo kama wa jose mujica,kwenye kusimamia rasilimali awe kama gadafi,maamuzi kama ya hitler,awe na sauti kama nyerere.
tatizo mtu wa aina hiyo hajazaliwa hata sasa ninavyoandika
Kwangu Mm adolf alikua ni mkomboz wa gemany kama ulisoma history uatakubaliana na mm nakumbuka tu kwa uchache baada ya kiongoz wa getmrmany kipindi hicho kumpigachini chancelor oto von bismark na kufanya ualiyoyafanya kupelekea vita yakwanza. Ya dunia germany iliachwa katika hali mbaya baada ya ile vita kushinfwa vibaya walipoteza makoloni walipoteza alsaz na lorein walipoteza nguvu kaz ya ujerumaniMkuu unaifahamu Nazi ideology kweli?
Hitler alikuwa mbaguzi kupita maelezo. Tanzania hatuhitaji kiongozi mbaguzi namna ile