Tunahitaji Adolf Hitler wa kwetu Tanzania kwa sasa

Tunahitaji Adolf Hitler wa kwetu Tanzania kwa sasa

Wajerumani wa sasa hivi siyo yaani ni 'vimeo'...wameishakuwa brainwashed na Wamarekani...kaisi huwezi kuamini...nilikutana na Geopilitical Economist kutoka Ujerumani....anasema kwenye sylbus yao ya shule...wanafundishwa propaganda....ili wasije wakadanganywa na Hilter mwingine...alidiriki kusema kuwa Wajerumani wanawaabudu wamarekani kwa kuwa waliwaokoa kutoka kwa Hitler (US is saved Germany from Hitler)...!

Tukiondoa issue ya kuua wayaudi (ambayo inahitaji mjadala mpana)....Hitler alikuwa mratibu mzuri wa maendeleo ya Wajerumani.

siyo vimeo kama unavyo dhani ww ninyi mnakaa chini na kuangalia CNN na BBC mnameza kila kitu kama kilivyo kwa taarifa yako tu sasa ivi jeuri ya jeshi ni uwezo wa kuwa na high-tech tu., na kuwa na scientist wa wengi baada ya WW2 idadi kubwa ya scientist ya wajerumani walihamia USA na wengine kama mateka list ni kubwa unaweza uka google baadhi yao ni kama
Albert Einstein AB.jpg

na ndio walio leta technonolgy ya rocket pale NASA na wengi wao ndo walio gundua V2 rocket enzi za NAZI ujerumani kama ujui V2 ni nini pitia hapa sasa ivi kalibia wote wamekufa (umri) wamarekani hawana jipya tena fujo zimepungua zimebakia kelele tu jamaa wanarudi walipokuwa enzi zile za 1925 - 1943 angalia euro crissis sasa nani analia na nani anacheka Greece,Spain, an italy wote wanakimbia makwao wakapate kazi germany sa babu za kichumi wamefikaje hapo?

na keshaanza kuzitawala baadhi ya nchi za euro kiuchumi angalia angela merkel anvyowapangia sasa
 
siyo vimeo ....
na keshaanza kuzitawala baadhi ya nchi za euro kiuchumi angalia angela merkel anvyowapangia sasa

Ni vimeo kwa sababu...wangekuwa na ujasiri ...wasingemlilia mmarekani aendelee kuweka "army base" zake kipindi kile alipoamua kuzitoa...ni waoga sana wanamuogopa Mrusi....

Tukirudi kwenye mada

Umeandika kuwa...."na kuwa na scientist wa wengi baada ya WW2 idadi kubwa ya scientist ya wajerumani walihamia USA na wengine kama mateka list ni kubwa unaweza uka google baadhi yao ....."

Hitler aliifanyia makubwa Ujerumani...na dunia ukiondoa kasoro nyingine kwenye masuala ya kisayansi. Ni Hitler aliyewapa facilities za kutoasha na kufanya utafiti wa manufaa...kiasi cha wanasayansi hawa kuchukuliwa mateka ili wakawafaidishe USA kama ulivyoeleza..
Adolf Hitler alichokuwa anakifanya...ni kukupa Assignment na kukufungia sehemu maalumu ili usibughuziwe, pia alikuwa anakuuliza unahitaji kitu gani ili kikuwezeshe kumaliza assiggnment hiyo...ukishataja unachohitaji mara moja kinaletwa...ila sasa ole wako usimalize assignment, hapo ilibidi uzungumze 'kiswahili' ili muelewanae. Mbinu hii bado inatumiwa na USA ya kufungia/kuwateka wanasayansi wenye uwezo ili wafanye assignment. Kuhusu utekaji wa USA wanataaluma kadhaa wa UDSM na wengine kutoka Ethiopia walinusurika.

Hivyo naunga mkono mleta hoja kuwa Tanzania tunamwihitaji Hitler lakini asiye na kasoro kama za Hitler yule wa Ujerumani ili tuweze kusonga mbele. 'Hitler' huyu anayetakiwa na watanzania anaweza kuwa mimi, wewe, au mtanzania yeyote mwenye ujasiri wa kudhubutu kuamu, kutenda na kukamilisha kile alichodhubutu kuamua na kutenda kwa manufaa ya watanzania wote bila kubaguana.
 
Inawezekana usiungwe na wengi lakini historia inatueleleza kuwa hakuna taifa lililopiga hatua kubwa kiuchumi bila umwagaji wa damu. Urusi ilipiga hatua kubwa za viwanda baada ya stalin kushika madaraka na kulazimisha watu kufanya kazi kw a nguvu viwandani. Millions of Russians died under Stalin. Huko Ulaya magharibi millions and millions of people died katika Industrial revolution. Walikufa kwa njaa, kazi ngumu na kunyonywa kulikopindukia Huko Marekani nako
 
Ni vimeo kwa sababu...wangekuwa na ujasiri ...wasingemlilia mmarekani aendelee kuweka "army base" zake kipindi kile alipoamua kuzitoa...ni waoga sana wanamuogopa Mrusi....

Tukirudi kwenye mada

Umeandika kuwa...."na kuwa na scientist wa wengi baada ya WW2 idadi kubwa ya scientist ya wajerumani walihamia USA na wengine kama mateka list ni kubwa unaweza uka google baadhi yao ....."

Hitler aliifanyia makubwa Ujerumani...na dunia ukiondoa kasoro nyingine kwenye masuala ya kisayansi. Ni Hitler aliyewapa facilities za kutoasha na kufanya utafiti wa manufaa...kiasi cha wanasayansi hawa kuchukuliwa mateka ili wakawafaidishe USA kama ulivyoeleza..
Adolf Hitler alichokuwa anakifanya...ni kukupa Assignment na kukufungia sehemu maalumu ili usibughuziwe, pia alikuwa anakuuliza unahitaji kitu gani ili kikuwezeshe kumaliza assiggnment hiyo...ukishataja unachohitaji mara moja kinaletwa...ila sasa ole wako usimalize assignment, hapo ilibidi uzungumze 'kiswahili' ili muelewanae. Mbinu hii bado inatumiwa na USA ya kufungia/kuwateka wanasayansi wenye uwezo ili wafanye assignment. Kuhusu utekaji wa USA wanataaluma kadhaa wa UDSM na wengine kutoka Ethiopia walinusurika.

Hivyo naunga mkono mleta hoja kuwa Tanzania tunamwihitaji Hitler lakini asiye na kasoro kama za Hitler yule wa Ujerumani ili tuweze kusonga mbele. 'Hitler' huyu anayetakiwa na watanzania anaweza kuwa mimi, wewe, au mtanzania yeyote mwenye ujasiri wa kudhubutu kuamu, kutenda na kukamilisha kile alichodhubutu kuamua na kutenda kwa manufaa ya watanzania wote bila kubaguana.

...mh!
 
Nilipoweka highlight nyekundu ndiyo hasa panahitaji ufafanuzi!

Sawa kuna waanataluma wa masuala ya sayansi...walenda nchi za Ulaya...kwa masomo ya shahada ya tatu... sasa wakiwa huko walikutana na waethiopia na waafrika wengine...sasa kipindi hicho n'asa' na kampuni flani ya ulaya walikuwa wanashirikiana kutengeneza kifaa ambacho kitaweza kustahimili hali ya hewa huko angani (space)...walikuwa wameisha wa'consult' wataalamu kibao waliobobea wa 'material technology' kuhusu hili bila kupata ufumbuzi....

Basi 'wonder bright Africans' wakiwa maabala wakiendelea na shughuli zao za masomo wakafuatwa na professor aliyekuwa anawasimamia, kwa dharau akawaeleza kuwa kuna assignment na watakaoweza kushirikiana kufanya assignment hiyo wanaweza kupata nafasi ya kufanya 'post doc' mara baada ya PhD zao....basi wakaingia kazini kuifanyika waafrika hawa...wakiwa wameonyesha hatua za kupata suluhu ya tatizo...wakona ghafla professa wao anaanza kuwachangamkia... na kuanza kuwakirimu hisivyo kawaida...bahati nzuri waafrika hawa mpaka muda huu ,wa kuonyesha mafanikio ya kukamilisha assignment, walikuwa wameishamaliza kuandaa theses zao na kudi'fendi'...ila kiassignment cha professa ndicho kilichokuwa kina waweka...na, Mungu saidia...siku mmoja professa alifanya kosa kubwa la mwaka, alisahau kitabu cha kumbuku kwenye maabala waliyokuwa wanafanyia assignment hiyo. Sasa siunajua waafrika tunavyopenda 'utomaso', ndugu zetu hawa wakachungulia kitabu cha mwalimu....humo walikuta barua iliyokuwa inamshukuru kwa maendelea mazuri na ufumbuzi wa awali ,waliotoa waafrika hawa, unaendelea kuzaa matunda...kwa hiyo wote wameishakuwa "potental asset" ambao hawatakiwi kurudi walikotoka pia kulikuwa na maelekezo ya kuwasanishi mkataba usiyoeleweka ambao ulikuwa unawataka kukabidhi pasposti zao au ikishidikana kushawishiwa wanyanganywe kwa nguvu...na kiasi cha gawiwo atakachopewa profesa.....walifanya juhudi za kufa na kupona..kuchomoka mtego huu...Mghana aliyekuwa anaishi campus nyingine na siku hiyo hakuwepo maana alikuwa anaumwa ndiye aliyenasa...kwani waliona wakimpigia simu (kipindi hicho internet bado) kumtaarifu mtego huu watakamatwa...walitumia paspoti za kughushi kutoroka huko....

Hivyo ukisia mtu alienda kusoma ulaya au marekani akapotelea huko mengi yanaweza kuwa yalimkuta...likiwemo na hili.

Kwa sasa wamebadili mbinu wanawapata kirahisi kwa kutumia "Green Card" na ukiruka kiuzi cha kadi hii watakufatilia kwa kukuonga wakishidwa wanakuondoa kama wataalamu wa Irani wa Nyuklia.

...ila serikali zilizomakini haziruhusu mtaalamu wake ashawishike na Green Card.
 
Sawa kuna waanataluma wa masuala ya sayansi...walenda nchi za Ulaya...kwa masomo ya shahada ya tatu... sasa wakiwa huko walikutana na waethiopia na waafrika wengine...sasa kipindi hicho n'asa' na kampuni flani ya ulaya walikuwa wanashirikiana kutengeneza kifaa ambacho kitaweza kustahimili hali ya hewa huko angani (space)...walikuwa wameisha wa'consult' wataalamu kibao waliobobea wa 'material technology' kuhusu hili bila kupata ufumbuzi....

Basi 'wonder bright Africans' wakiwa maabala wakiendelea na shughuli zao za masomo wakafuatwa na professor aliyekuwa anawasimamia, kwa dharau akawaeleza kuwa kuna assignment na watakaoweza kushirikiana kufanya assignment hiyo wanaweza kupata nafasi ya kufanya 'post doc' mara baada ya PhD zao....basi wakaingia kazini kuifanyika waafrika hawa...wakiwa wameonyesha hatua za kupata suluhu ya tatizo...wakona ghafla professa wao anaanza kuwachangamkia... na kuanza kuwakirimu hisivyo kawaida...bahati nzuri waafrika hawa mpaka muda huu ,wa kuonyesha mafanikio ya kukamilisha assignment, walikuwa wameishamaliza kuandaa theses zao na kudi'fendi'...ila kiassignment cha professa ndicho kilichokuwa kina waweka...na, Mungu saidia...siku mmoja professa alifanya kosa kubwa la mwaka, alisahau kitabu cha kumbuku kwenye maabala waliyokuwa wanafanyia assignment hiyo. Sasa siunajua waafrika tunavyopenda 'utomaso', ndugu zetu hawa wakachungulia kitabu cha mwalimu....humo walikuta barua iliyokuwa inamshukuru kwa maendelea mazuri na ufumbuzi wa awali ,waliotoa waafrika hawa, unaendelea kuzaa matunda...kwa hiyo wote wameishakuwa "potental asset" ambao hawatakiwi kurudi walikotoka pia kulikuwa na maelekezo ya kuwasanishi mkataba usiyoeleweka ambao ulikuwa unawataka kukabidhi pasposti zao au ikishidikana kushawishiwa wanyanganywe kwa nguvu...na kiasi cha gawiwo atakachopewa profesa.....walifanya juhudi za kufa na kupona..kuchomoka mtego huu...Mghana aliyekuwa anaishi campus nyingine na siku hiyo hakuwepo maana alikuwa anaumwa ndiye aliyenasa...kwani waliona wakimpigia simu (kipindi hicho internet bado) kumtaarifu mtego huu watakamatwa...walitumia paspoti za kughushi kutoroka huko....

Hivyo ukisia mtu alienda kusoma ulaya au marekani akapotelea huko mengi yanaweza kuwa yalimkuta...likiwemo na hili.

Kwa sasa wamebadili mbinu wanawapata kirahisi kwa kutumia "Green Card" na ukiruka kiuzi cha kadi hii watakufatilia kwa kukuonga wakishidwa wanakuondoa kama wataalamu wa Irani wa Nyuklia.

...ila serikali zilizomakini haziruhusu mtaalamu wake ashawishike na Green Card.

Waaaahahahahahahahahhaaaaaa, Mkuu tunavunjana mbavu, hivi unategemea kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kununua hiyo hadithi kirahisi hivyo?...COME UP WITH NAMES AND DATES MKUU!!!!
 
Waaaahahahahahahahahhaaaaaa, Mkuu tunavunjana mbavu, hivi unategemea kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kununua hiyo hadithi kirahisi hivyo?...COME UP WITH NAMES AND DATES MKUU!!!!

Toka mwanzo wa ...mh! yako nilijua lengo unata kupata ..." NAMES AND DATES na hata Country"...kwa unyeti wa issue yenyewe...ni vigumu kupata vitu hivyo kutoka kwangu...kwa sasa ....muda ukifika utapata 'name and date' kama CIA, muda ulipofika, waliamua kutoa siri za mauaji ya Patrice Lumumba. Hivi ukijua "dates na Names" itakusaidia kukomesha utaratibu huu wa kuteka wataalamu unaofanywa na mataifa makubwa?

Kwa kifupi ni uamuzi wako kuinunua habari (kumbuka siyo hadithi) hii ama kuiacha na uione kama inajitembeza....yaani HUTAKI UNAACHA....ila nina imani wenye kuchukulia mambo haya kwa umuhimu wake watalifanyia kazi maana wewe "mwenye akili timamu kweli kweli" bado unahitaji kuendelea kucheka.
 
Adolfu Hitle wa ukwel atapatikana mwaka 2015
chakufanya ni kudondosha kadi kwenye sanduku la m2 ambaye 2naamini ata2toa sehemu1 hadi nyingine kimaendeleo
2achane na propaganda za democrasia
 
kiukweli nchi yetu ilpofiki tunaitaji kiongozi ambaye ni dictator
 
kiukweli nchi yetu ilpofiki tunaitaji kiongozi ambaye ni dictator

Benevolent dictator tulimpata nyerere and it didnt work

Hatuhitaji mtu mmoja dictator afikrie kwa niaba yetu,tunahitaji awakening/consciousness at grass roots level

Tunahitaji an african renaissance,jamii nzima iamke ipate fikra uhuru. Hapo ndo tutapata maendeleo
 
hicho unachotaka kukizungumiza ni kweli ila wabongo wengi hawata kuelewa na kwa system zetu hapa itachukua miaka 200 kumpta mtu kama uyo big up
 
Ukimleta Hitler hapa - kwa sababu hakuna wayahudi atua wahindi wote. Si mnajua tena wakati ule vibopa wa ujerumani walikuwa ni wayahudi ? Hapa kwetu Mtikila anawaita ---------. Tusiombee hayo. Tutafute viongozi kama SOKOINE
 
View attachment 139290Kama tutapata Adolf Hitler Nina amini kabisa Tanzania inaweza kupiga hatua za haraka ktk maendeleo kwa tukawa na uchumi mkubwa imara na kuwa na teknolojia za hali ya juu tu endapo tutapata kiongozi mwenye kufanana na hitler
Wakati watu wengi wakiamini kuwa Adolf hitler alikuwa dictator na moja wa kiongozi mbaya kuliko wote aliyewai kutokea mimi napinga na si kweli hata kidogo kwangu mimi ni role model wangu kama alivyo Mugabe kwa sasa, wajerumani walimuani sana na walimpenda…..

  • Siamini katika kubadisha vyama vya siasa kwa sisi waafrica ubinafsi,rushwa,tamaaa nk. Ni kuwadanganya tu wanachi huu mfumo ni mbaya sana eti tunauita demokrasia kila kiongozi anaingia madakani anfanya madudu eti mnasubiria mda wake uishe watu wa chini wanazidi kuwa masikini.
  • Hitler alikuwa ni mzalendo haswaaa! Kwa wale wasiommjua vizuri
Wakati hitler anaingia madarakani ujerumani ilikua na hali mbaya sana kiuchini wa watu wengi walikua hawana ajira na kila mwaka idadi ya watu 2,000,000 (miliono mbili kila mwaka walikosa ajira zao) hitler aliokoa ujerumani na kuitoa ktk hali mbaya ya kiuchumi na kuwa ktk uchumi imara nan a teknojia za hali ya juu na kuwa na jeshi imara kuliko yte duniani (jeshi imara kuliko yote duniani)
Alikuwa mwadilifu hakuwai kuwa na tuhuma za rushwa wala ila ilishawai kufungwa kwa kutetea sera zake….
Alichokiongea ndicho alicho kimaanisha na kutekeleza hata ukimuangalia
Je hapa kwetu viongozi wetu akionge kweli ndicho anachomaanisah?
Huu ni mtazamo wangu na ndivyo ninavyo amini na si sheria

nchi yetu itafika mbali sana 2kimpata m2 wa namna iyo. Lakini asiwe anaua kama yeye.
 
nchi yetu itafika mbali sana 2kimpata m2 wa namna iyo. Lakini asiwe anaua kama yeye.

Waswahili wanamsemo ukipenda boga penda na ua lake, Sifa mojawapo ya Dikteta ni mauaji hivyo basi inabidi tukubali yote.
 
Duu

Yaani CCM tu imewashinda mtamweza Adolf Hitler?
 
Uyu anachojua kuhusu Hitler ni 0.01
1. Hajui kuwa huo uchumi anaousema ulijengwa na Jews wakiwa Forced Labourers waliowekwa kwenye concentration camps under direction ya Minister of Armament Albert Spree.
2. Hajui kuwa wayahudi, walemavu, na wacommunist bila kujali watoto na wakina mama walivuliwa nguo na kuuliwa kwenye gas chambers.
Haju
3. Hajui kuwa Nazism ni sera ya Ubaguzi, ukatili kwa wasiokubaliana nayo na mabavu.
4. Hajui kuwa Hitler aliujenga uchumi kwa kutumia free resources:-
(a) Malighafi zilizotoka katika makoloni kama chuma (finland na Austria) ambazo ziliporwa kinguvu. Kwa dunia ya leo huwez fanya hivi.
(b) Vibarua toka Poland na Wayahudi na baadhi ya Wajerumani wa mrengo wa Kushoto waliofanyishwa kaz bila ujira kama watumwa. Kwa dunia ya leo huwez fanya hivi.
5. Hajui kuwa hata Ujerumani kwenyewe leo kitu chochote kinachohusiana na Sera za Nazism Hitler ni Kosa la jinai kuanzia Salute ya Swastika mpka Neo Nazi groups. Ujerumani hawataki kbsa past ya Hitler katika vitabu vyao vya nchi. Ila kihistoria lazima tuta reffer tu.
 
Back
Top Bottom