Wana JF tunahitaji kukopa 80m kwa ajili ya biashara iliyojitokeza. Tumejaribu benki lakini wametukatalia maana mwaka huu mapato yetu hayajaenda vizuri. Mali za dhamana (collateral) zipo. Kama yupo mtu binafsi au taasisi mbadala walio tayari kutupa kiwango hicho cha pesa tuweke mambo kisheria twende mbele. Hakuna wasi hapo kwani mali za dhamana zilizopo si za kuhamishika. Mwenye wazo au muhusika ani pm
Natanguliza shukurani
Okay kama collateral zipo, ni nani anakopa ? mtu binafsi, taasisi ? anafanya biashara gani ? uzoefu ? cashflow yake inamudu ?
Wana JF tunahitaji kukopa 80m kwa ajili ya biashara iliyojitokeza. Tumejaribu benki lakini wametukatalia maana mwaka huu mapato yetu hayajaenda vizuri. Mali za dhamana (collateral) zipo. Kama yupo mtu binafsi au taasisi mbadala walio tayari kutupa kiwango hicho cha pesa tuweke mambo kisheria twende mbele. Hakuna wasi hapo kwani mali za dhamana zilizopo si za kuhamishika. Mwenye wazo au muhusika ani pm
Natanguliza shukurani
Soma vizuri uziwetu kama tungewa vizuri kwenye cashflow kwa mwaka huu usingetuona kutafuta mkopeshaji mbadala (sio benki). Jaribu kuelewa mada kabla hujaanza kuonyesha umahili wako.
Mkuu kwa huu ukali kweli si mtu akishakukopa akija kudai pesa zake utamfukuza kwa bunduki ?
Sio wote wenye pesa au uwezo wa kukopesha wapo vizuri kwenye finance n.k. kwahio kama mtu amekosea au hajaelewa mueleweshe hata kama ni mara mia moja...
Keysersoze umeniwahi tu kuwahi kuandika hayo...mkuu anataka mkopo ila mkali mpaka nimeogopa!akiendelea na ukali wake namtabiria mkopo hatapata.yeye ndie muhitaji anatakiwa ashuke hata kama mwenye pesa kwa namna moja au nyingine kaonyesha u much know.
Mkuu kwa huu ukali kweli si mtu akishakukopa akija kudai pesa zake utamfukuza kwa bunduki ?
Sio wote wenye pesa au uwezo wa kukopesha wapo vizuri kwenye finance n.k. kwahio kama mtu amekosea au hajaelewa mueleweshe hata kama ni mara mia
Aaaaaa babu....kwani unaomba pumzi ya kuishi...Mjomba kakosea na humu kuna watu makina sana na wale wanaopenda kuandika ili mradi tujaribu kuwa makini na waungwana. Changia mada kwa maendeleo sio ushabiki.
Bado naamini wapo waliopo makini watakao weza toa mawazo chanya hapo
Keysersoze umeniwahi tu kuwahi kuandika hayo...mkuu anataka mkopo ila mkali mpaka nimeogopa!akiendelea na ukali wake namtabiria mkopo hatapata.yeye ndie muhitaji anatakiwa ashuke hata kama mwenye pesa kwa namna moja au nyingine kaonyesha u much know.
Kunyenyekea kwenye madhabau ya dini, hii ni ishu ya biashara unatoa unapata nukta. Sasa kama huna cha kuchangia wacha kupotosha wenye nia makini. Wapo naamini walioelewa uzi unasemaje. Wajomba na mashangazi uzi ule ule
Banki hawakubali collateral? Ni collateral ya aina gani?
Kwa hiyo benki imekataa real estate? Mikopo hii haramu mtaani watu wanakubali magari/machine etc.Kwani wewe Unazijua collateral zipi zaidi ya real property ambazo unaweza kuchukulia mkopo kwa tz mkuu?
Mkuu kwa huu ukali kweli si mtu akishakukopa akija kudai pesa zake utamfukuza kwa bunduki ?
Sio wote wenye pesa au uwezo wa kukopesha wapo vizuri kwenye finance n.k. kwahio kama mtu amekosea au hajaelewa mueleweshe hata kama ni mara mia moja...
Beggars are not Choosers
Kunyenyekea kwenye madhabau ya dini, hii ni ishu ya biashara unatoa unapata nukta. Sasa kama huna cha kuchangia wacha kupotosha wenye nia makini. Wapo naamini walioelewa uzi unasemaje. Wajomba na mashangazi uzi ule ule
Inaelekea hujui nini maana ya madhabahu...ngoja nikusaidie naona ulikaririshwa kwamba madhabahu pekee
ni ile sehemu ya mbele kabisa kwenye nyumba ya ibada,hiyo ni tafsiri ya mojawapo.ila moyo wako pia wewe kama mwanadamu ukitaka kuufanya madhabahu unaweza... nini unaingiza na kutoa kupitia kusikia na kuongea inaweza kuathiri madhabahu yako(elimu hii ni pana ngoja nikuache kwanza) na nikukumbushe tu unyenyekevu hauanzii kwenye majengo ya ibada unaanzia MOYONI mwako.nahisi hili tatizo limesababisha ukose mkopo huko bank,cash flow isiyoeleweka ni kisingizio tu.jifunze kunyenyekea mkuu
Inaelekea hujui nini maana ya madhabahu...ngoja nikusaidie naona ulikaririshwa kwamba madhabahu pekee
ni ile sehemu ya mbele kabisa kwenye nyumba ya ibada,hiyo ni tafsiri ya mojawapo.ila moyo wako pia wewe kama mwanadamu ukitaka kuufanya madhabahu unaweza... nini unaingiza na kutoa kupitia kusikia na kuongea inaweza kuathiri madhabahu yako(elimu hii ni pana ngoja nikuache kwanza) na nikukumbushe tu unyenyekevu hauanzii kwenye majengo ya ibada unaanzia MOYONI mwako.nahisi hili tatizo limesababisha ukose mkopo huko bank,cash flow isiyoeleweka ni kisingizio tu.jifunze kunyenyekea mkuu
Maene basi babu yamekwisha NIMEKOMA kukuchokoza mkuu. Haya nanyenyekea, nipe habari pesa tunapataje kiongozi wangu...??
Maene basi babu yamekwisha NIMEKOMA kukuchokoza mkuu. Haya nanyenyekea, nipe habari pesa tunapataje kiongozi wangu...??
ninependa uelewa huu..... nadhani sasa unasomeka na si haba unastahiki kupata msaada wa unachohitaji
big up mkuu Kakola
Maene basi babu yamekwisha NIMEKOMA kukuchokoza mkuu. Haya nanyenyekea, nipe habari pesa tunapataje kiongozi wangu...??
Unyenyekevu wa zarau huu