Wana JF tunahitaji kukopa 80m kwa ajili ya biashara iliyojitokeza. Tumejaribu benki lakini wametukatalia maana mwaka huu mapato yetu hayajaenda vizuri. Mali za dhamana (collateral) zipo. Kama yupo mtu binafsi au taasisi mbadala walio tayari kutupa kiwango hicho cha pesa tuweke mambo kisheria twende mbele. Hakuna wasi hapo kwani mali za dhamana zilizopo si za kuhamishika. Mwenye wazo au muhusika ani pm
Natanguliza shukurani
Natanguliza shukurani