Licha ya kwenda jela upigwe ban kufanya kazi yeyote inauohusiana na pesa pia professinal body ikufute. Sasa vyeti vyako uwe unaviangalia sandukuni.Bado hatujui tunataka nini, Hatujaamua kwa dhati na kumaanisha, Bado tunasuasua.
Kufikia haya malengo wakati mwingine inabidi kutumia nguvu kidogo. Watu ni wagumu sana kuelewa, inabidi wajue mfano ukiiba pesa za serikali, za wakulima unaenda jela kwa miaka 30, maisha.
Usipofanya kazi yako, unafukuzwa kazi. Ni mambo magumu. Maamuzi magumu. Sidhani kama tupo tayari kuyachukua.
Licha ya kwenda jela upigwe ban kufanya kazi yeyote inauohusiana na pesa pia professinal body ikufute. Sasa vyeti vyako uwe unaviangalia sandukuni.
Nchi za Magharibi kuiibia serikali ni aibu, ninasikia Mtemi Chenge akirudi na mentality hiyo. Baada ya kuona kila mtu anauhuru wa kuchota yeye akawa mtaalamu wao.Kwa nchi kama yetu wapigaji ndio mashujaa, watu maarufu, wenye heshima, role models. Hapo utaonekana ni mtu katili sana.
Wanao tenda haki, waadilifu, wakweli, wanaonekana wajinga.
Mfumo wa mahakama, haki bado haujatulia, kutenda haki kwa mfano kuhusu pesa za serikali, mali za umma, pesa za wakulima hakuna anayejali sana kivile.
Mentality, vyombo thabiti, watu makini, wakweli, sheria zetu na wanaosimamia sheria kutenda haki, kwa nchi zetu bado ni changamoto.
Nchi za Magharibi kuiibia serikali ni aibu, ninasikia Mtemi Chenge akirudi na mentality hiyo. Baada ya kuona kula mtu anauhuru wa kuchota yeye akawa mtaalamu wao.
Na mshahara wanakupa unaolingana na hali ya maisha.Duh, aisee.
Kuiba kwenyewe ni vigumu inabidi ujipange kwelikweli, halafu ukikamatwa hata kama ni Waziri mkuu, Rais mstaafu, mtu muhimu sheria inafuata mkondo wake. Hata kama ni miaka mingi baadaye. Kwahiyo inawafanya watu wawe waaminifu hata waliopinda.
Mifumo yao imetulia.
Na mshahara wanakupa unaolingana na hali ya maisha.
Mkuu Super glo ni mbolea au overpriced wetting agent? Kama ni mbolea ina macro na micro nutrients za aina gani?Watumie na mbolea ya super gro kwa atakae hitaji inapatikana anicheki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu soko bado ni tatizo. Nafaka kama mahindi na mpunga mara moja moja zinazalishwa kwa wingi sana kiasi kwamba watu hawa milioni 55 wanatosheka na ziada inabaki. Nafikiri unafahamu kelele za wakulima wa mazao hayo. Umuhimu wa kutafuta soko nje ya mipaka yetu bado ni wa lazima. Hatuwezi kufanya mapinduzi ya kilimo kwa kutegemea soko la ndani tu.Matumbo million 55, hamna haja ya kutafuta soko, soko liko wazi; shida ipo katika sera za nchi sio kwa wataalam wa agrieconomics.
Bado hatujafikia uwezo wa kuwa na quality products zenye packaging ya kuvutia. Umeshona Thai Fragsrance rice inavyofungwa kwenye Ghana must go lakini haina jiwe wala chuya.Ndugu soko bado ni tatizo. Nafaka kama mahindi na mpunga mara moja moja zinazalishwa kwa wingi sana kiasi kwamba watu hawa milioni 55 wanatosheka na ziada inabaki. Nafikiri unafahamu kelele za wakulima wa mazao hayo. Umuhimu wa kutafuta soko nje ya mipaka yetu bado ni wa lazima. Hatuwezi kufanya mapinduzi ya kilimo kwa kutegemea soko la ndani tu.
Ni kweli unachosema lakini kuendelea kuongeza uzalishaji bila kutafuta soko la nje ni kuongeza tatizo badala ya kulitatua. Watu wataweka mitaji yao shambani na isiweze kurudi. Ingawa masoko ya nje ya bara la Africa yanataka vifungashio vizuri na bidhaaa safi na bora, bado kuna masoko ndani ya bara letu hayahitaji ufungaji mzuri sana ili kuweza kuyahudumia.Bado hatujafikia uwezo wa kuwa na quality products zenye packaging ya kuvutia. Umeshona Thai Fragsrance rice inavyofungwa kwenye Ghana must go lakini haina jiwe wala chuya.
Mchele wa Kyela na Kihurio ni mtamu lakini una mawe na chuya.
Matumbo million 55, hamna haja ya kutafuta soko, soko liko wazi; shida ipo katika sera za nchi sio kwa wataalam wa agrieconomics.
Zile powertiler za kikwete zilibadili nini?Ida si kubwa ya wa-Tanzania wanaishi kijijini, Hii ni takribani 70% ya wa-Tanzania. Hawa wanategemea kilimo ili kuendesha maisha yao. Bado jembe la mkono ndiyo nyenzo kubwa ya kutendeackazi.
Kama vijana wanakopeshwa bodaboda , haiwezekani wakopeshwe matrecta ya gharama nafuu?
View attachment 996957
Hili tractor ni moja ya matractor ya gharama nafuu ambalo kinaweza kufanya kazi mbalimbali kwa kubadilisha jembe kulimia au kuvunia.
Kwakweli jembe la mkono linakatisha tamaa katika mapinduzi ya kilimo. Unamwanbia kijana wa miaka 18 baada ya kumaliza darasa la 12 akashike jembe.
Financing agriculture is very riskyIda si kubwa ya wa-Tanzania wanaishi kijijini, Hii ni takribani 70% ya wa-Tanzania. Hawa wanategemea kilimo ili kuendesha maisha yao. Bado jembe la mkono ndiyo nyenzo kubwa ya kutendeackazi.
Kama vijana wanakopeshwa bodaboda , haiwezekani wakopeshwe matrecta ya gharama nafuu?
View attachment 996957
Hili tractor ni moja ya matractor ya gharama nafuu ambalo kinaweza kufanya kazi mbalimbali kwa kubadilisha jembe kulimia au kuvunia.
Kwakweli jembe la mkono linakatisha tamaa katika mapinduzi ya kilimo. Unamwanbia kijana wa miaka 18 baada ya kumaliza darasa la 12 akashike jembe.
Its not a matter of planning, agricultural activities are seasonal and depend on climateIt’s risky because we don’t make plans for it.
That’s is why we need professional help from agriculture higher education students to stay with farmers for three months in each year of their training. Giving support and advice on the right crops for the season and climate.Its not a matter of planning, agricultural activities are seasonal and depend on climate
Sent using Jamii Forums mobile app