Tunahitaji mmoja kati ya hawa wanne kuaga mashindano leo ili tuwe pot 2 kwenye draw ya CAF CL

Tunahitaji mmoja kati ya hawa wanne kuaga mashindano leo ili tuwe pot 2 kwenye draw ya CAF CL

Utopologist

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2021
Posts
998
Reaction score
2,506
Baada TP Mazembe kutoka, tunahitaji timu moja nyingine kati ya zifuatazo kuaga mashindano leo ili tuwe pot 2 na kupata draw nzuri

Esperance
Widad
Mamelody
Horoya

Ikiwa hizo timu zote zikashinda tutaishia pot 3 na pengine kupata draw ngumu sana

Pot 1
Ahly, Esperance, Wydad, Raja

Pot 2
Zamalek, Mamelody, Horoya, Etoile du sahel

Pot 3
Simba SC

NB - bold maana yake zimeshaingia group stage
 
Mechi zao wiki iliyopita

Ittihad Tripoli 0-0 Esperance
Maniema Union 2-2 Mamelody
Stade Malien 0-1 Horoya
Hearts of Oak 1-0 Wydad
 
Kutofika hata group stage 2019/20 pamoja na kutolewa kizembe na Kaizer Chiefs imetuathiri sana.

Tunaweza kupangiwa Ahly na Mamelody au Wydad na Zamalek kwenye group moja
 
Unamuombea wenzako wapambane ili wakutolee vigogo ili mserereke, embu onja kwanza machungu ya kutolewa
 
Baada TP Mazembe kutoka, tunahitaji timu moja nyingine kati ya zifuatazo kuaga mashindano leo ili tuwe pot 2 na kupata draw nzuri

Esperance
Widad
Mamelody
Horoya

Ikiwa hizo timu zote zikashinda tutaishia pot 3 na pengine kupata draw ngumu sana

Pot 1
Ahly, Esperance, Wydad, Raja

Pot 2
Zamalek, Mamelody, Horoya, Etoile du sahel

Pot 3
Simba SC

NB - bold maana yake zimeshaingia group stage
Njoo futa ujinga wako huku
 
Baada TP Mazembe kutoka, tunahitaji timu moja nyingine kati ya zifuatazo kuaga mashindano leo ili tuwe pot 2 na kupata draw nzuri

Esperance
Widad
Mamelody
Horoya

Ikiwa hizo timu zote zikashinda tutaishia pot 3 na pengine kupata draw ngumu sana

Pot 1
Ahly, Esperance, Wydad, Raja

Pot 2
Zamalek, Mamelody, Horoya, Etoile du sahel

Pot 3
Simba SC

NB - bold maana yake zimeshaingia group stage
Hatoki mtu hapo...msimu huu Simba imepwaya
 
Kutofika hata group stage 2019/20 pamoja na kutolewa kizembe na Kaizer Chiefs imetuathiri sana.

Tunaweza kupangiwa Ahly na Mamelody au Wydad na Zamalek kwenye group moja
Zimebaki ndoto tu...tusubiri msimu mwingine.
 
Back
Top Bottom