National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kaka nitumie namba yako, nikupe maelekezo π.Habari mkuu,nikirejea kichwa cha habari, mimi ni certified welder(general fabrication) nina uzoefu wa miaka 20 kwenye field hiyo,nimefanya kazi nyingi kubwa kama ku fabricate steel godowns,silos,water storage tanks(up to 500,000 ltrs) na kazi ndogo ndogo pia isipokuwa kazi za grills na madirisha sifanyagi,asante nipo arusha mjini email logixholdings24@gmail.com
Nmeku PMI mean no malice to nobody
Nime Iona Kakaππ, naku jibu so mda mrefu.Nmeku PM
Mbona hiweeki wanahitajika mkoa gani??Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.
Kama una ujuzi na uzoefu na kazi tajwa hapo juu.. Njoo PM na wasifu wako ( CV ).
Note: Tunahitaji wenye uzoefu na kazi tajwa na sio elimu.
Mzee wakuchukua Cv afu unapita kimyaKaka nitumie namba yako, nikupe maelekezo π.
πUwe Ume andaa ki CV Cha mchongo.
Mzee mbona diss nyingi Sana, au mpaka nimention list ya watu walio chukuliwa Kaka???.Mzee wakuchukua Cv afu unapita kimya
KaMa ni jobless acha kujibalaguza kwenye Kuombaomba Na WakuChoresha Cv za watuMzee mbona diss nyingi Sana, au mpaka nimention list ya watu walio chukuliwa Kaka???.
πHalafu mbona Sina wahi kuchukua hata CV yako Kakaπ€, Mimi jobless mwenzio tu.
ππ€π€£π€£πππ, Mkuu bandiko nime weka Mimi??KaMa ni jobless acha kujibalaguza kwenye Kuombaomba Na WakuChoresha Cv za watu
Ni dar kakaMbona hiweeki wanahitajika mkoa gani??
WEKA wazi tuwashitue Vijana mkuu
Nachotaka uache ujuaji kwenye mambo usiyoyajua kuombaomba CV zawatu huku unajua hauna huuwezo huo wakuwasaidiaππ€π€£π€£πππ, Mkuu bandiko nime weka Mimi??
π Haya Mimi sio jobless, una taka nini ??
πSio jukumu langu kukupa ajira Kaka, just chill dude.
Mkuu una nifurahisha Sana, trust me kupitiaa post zangu Kuna watu zaidi ya wa5 wame chukuliwa.Nachotaka uache ujuaji kwenye mambo usiyoyajua kuombaomba CV zawatu huku unajua hauna huuwezo huo wakuwasaidia
Ni hivyo tu.