Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ImebumbwaMbona hii ni ya mchongoko ukaangalia Kwa makini hapo mbele Kuna part imetolewa ili iko kichwa kiweze kuvuta au kusukuma mabehewa na Kuna uwazi slots zinazoonyesha kwamba Kuna part imetolewa purposely
Yaani ukisikiaga kupigwa kimchongo ndo hiiKwa hii CCM usiamini kila kitu, watakuwa wamewaambia wachina waichoronge mbele ili kuridhisha watanzania, huku wakijua fika ndio tunachotaka kuona, ila specifics zinabaki pale pale, 80kph...
Nchi ngumu hii under CCM!!
Mtu mweusi achelewi kuweka kifuu li kuwe na mchongoko pale mbeleWatu weusi ni hovyo kabisa
Jamaa katumia nguvu kubwa sana kuandika Uzi,lakini ameandika pumba na ujuaji usio na msingi.Mbona hii ni ya mchongoko ukaangalia Kwa makini hapo mbele Kuna part imetolewa ili iko kichwa kiweze kuvuta au kusukuma mabehewa na Kuna uwazi slots zinazoonyesha kwamba Kuna part imetolewa purposely
Acha zako wewe.Imebumbwa
PichaaaaaaaUsanifu ni sanaa ya ubunifu!
Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia. Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)
Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko. Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified! Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu.
Ili upate muonekano wa saloon car (mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)
Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu. Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)
Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!
Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!
Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!
Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!
Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua. Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta.
Wamejitahidi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad. Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande. Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original.
Hii ndiyo ile kwenye mechi wanaita unapigwa "home and away"
Hata juzi watu wadai max ni mtumbeJamaa katumia nguvu kubwa sana kuandika Uzi,lakini ameandika pumba na ujuaji usio na msingi.
WaBongo kwa kulalamika na kutoa lawama Kila kitu tupewe taji la ushindi.
Upi sahihi mkuu.
Wewe uliwahi kutengeneza hata baiskeli?, maana nchi hii Ina wasomi wengi wa nadharia mngekua mnaweza tusingetoa kandarasi njeUsanifu ni sanaa ya ubunifu!
Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia. Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)
Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko. Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified! Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu.
Ili upate muonekano wa saloon car (mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)
Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu. Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)
Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!
Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!
Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!
Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!
Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua. Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta.
Wamejitahidi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad. Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande. Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original.
Hii ndiyo ile kwenye mechi wanaita unapigwa "home and away"
Weusi ni mkaa au lami..Mimi nina wasiwasi kama weusi ni watu?
Weusi ni viumbe aina ya ngirimaji
Sijaelewa umeandika nini mkuu.Hata juzi watu wadai max ni mtumbe
Kaufiche huo ujinga na ushamba wako. We umeshiriki kuunda treni yoyote? Mshamba moja tu hata hujawahi kupanda yoyote ya dizain hiyo unajifanya mtaalam kuandika upupu wote huuUsanifu ni sanaa ya ubunifu!
Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia. Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)
Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko. Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified! Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu.
Ili upate muonekano wa saloon car (mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)
Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu. Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)
Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!
Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!
Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!
Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!
Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua. Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta.
Wamejitahidi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad. Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande. Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original.
Hii ndiyo ile kwenye mechi wanaita unapigwa "home and away"
Hata ndege ule mchongoko wa mbele pia uko hivyo ila ule unafungwa na kufunguliwa kama mlango.tatizo letu wabongo ni wajuaji na hatujui tunataka nini,ukute mwanzisha Uzi hata hii treni ya Mwakyembe hajapanda wala hajawahi kuiona live lkn anatoa tathmini utadhani yeye ni Eng wa hizo treni Kasi.Mbona hii ni ya mchongoko ukaangalia Kwa makini hapo mbele Kuna part imetolewa ili iko kichwa kiweze kuvuta au kusukuma mabehewa na Kuna uwazi slots zinazoonyesha kwamba Kuna part imetolewa purposely
Yaani zile ndege Boeing mpya wadai si mpya kunako vijiweSijaelewa umeandika nini mkuu.
Kumbe mchongo ni mchongokoo 😃😁🙃