Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Au macho yangu mm ndo sielewi labda!Forgery
Kwa hii huwezi kwenda hiyo speed ya 460!Hebu fungueni karakana ya kuchonga pua
Yaani hii nchi ina lawama
Engineers wamejaa humu ila ila hata kukopi spana hamuwezi
China huo mchongoko wao inaenda mpaka 460km/h kwa majaribio na akiachia ni 501 km/h
Yaani unapanga kama tunaweza
Yaani huko speed gavana inawahusuKwa hii huwezi kwenda hiyo speed ya 460!
Kwa hii ni dhahir Dar moro speed 50~60 hapo roho mkononi (masaa 3l
Ni wa kuburuzwa tuWatu weusi ni hovyo kabisa
" CHADEMA HAWANA JEMA HAWA JAMAA."Usanifu ni sanaa ya ubunifu!
Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia. Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)
Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko. Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified! Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu.
Ili upate muonekano wa saloon car (mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)
Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu. Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)
Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!
Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!
Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!
Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!
Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua. Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta.
Wamejitahidi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad. Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande. Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original.
Hii ndiyo ile kwenye mechi wanaita unapigwa "home and away"
hata kama unamchukia sa100 hila hapa umeandika pumba.Usanifu ni sanaa ya ubunifu!
Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia. Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)
Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko. Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified! Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu.
Ili upate muonekano wa saloon car (mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)
Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu. Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)
Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!
Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!
Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!
Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!
Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua. Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta.
Wamejitahidi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad. Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande. Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original.
Hii ndiyo ile kwenye mechi wanaita unapigwa "home and away"
Kabisa, na yeye ni wa kuletewa rejects siku zote, ana chuma ya kutosha na viwanda vya chuma, plastic, umeme upo lakini hawafikirii kuanzisha kiwanda cha treni nchini kama ilivyo South Africa...anafikiria kuletewa tu na kupangiwa bei kubwa haswa yeye ni kupokea tu kana Mwanamke mchunajiMtu mweusi achelewi kuweka kifuu li kuwe na mchongoko pale mbele
Ni Wanyama wanaofanana kidogo na BinadamuMimi nina wasiwasi kama weusi ni watu?
Weusi ni viumbe aina ya ngirimaji
Bongo bahati mbayaMbona hii ni ya mchongoko ukaangalia Kwa makini hapo mbele Kuna part imetolewa ili iko kichwa kiweze kuvuta au kusukuma mabehewa na Kuna uwazi slots zinazoonyesha kwamba Kuna part imetolewa purposely
Mona picha ya hiyo treni inafichwa hata TBC wenye kiherehere hawaonyeshiUsanifu ni sanaa ya ubunifu!
Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia. Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)
Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko. Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified! Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu.
Ili upate muonekano wa saloon car (mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)
Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu. Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)
Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!
Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!
Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!
Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!
Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua. Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta.
Wamejitahidi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad. Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande. Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original.
Hii ndiyo ile kwenye mechi wanaita unapigwa "home and away"
Ni kweli, hapo mbele kwenye maungio kuna "structure" haijawekwa labda kwa makusudi kama ambavyo hata magurudumu hayajawekwa.Mbona hii ni ya mchongoko ukaangalia Kwa makini hapo mbele Kuna part imetolewa ili iko kichwa kiweze kuvuta au kusukuma mabehewa na Kuna uwazi slots zinazoonyesha kwamba Kuna part imetolewa purposely
Umenikumbusha aina ya viatu,Mlitaka mchongoko mmeletewa
Mnataka nini tena????
Ova
Usichanganye SRG, ambayo ni muundo wa reli yenyewe na mchongoko wa treni kwa mbele ili kuzuia air drag.lakini,
hiyo si ndio maana ya standard gauge rail on standard gauge railway π
ingekua mchongoko 100% then ingekua ni zaidi ya standard gauge rail kwenye standard gauge railway, na hiyo ni hatari π
hii imegengwa kua ya speed but with standard..
ukiweka kichwa mchongoko 100% kwenye standard gauge railway ni hatari zaidi πUsichanganye SRG, ambayo ni muundo wa reli yenyewe na mchongoko wa treni kwa mbele ili kuzuia air drag.