Sikia nikueleze, unapoanza mahusiano na mtu ni wazi kuna muda unaona kabisa hapa nimefika, na kama binadam hatufanani kimawazo wala mtazamo, mimi sijawah kujifariji ila ntakueleza jambo
Mpaka mnaamua mnaachana ni kwamba hamuwez kuwa pamoja tena na kila mtu kuendelea na maisha yake s ndio, sasa tumeachana nianze tena kucompare ex na alieopo inahusu?? kisa tu kamzidi sehem?? skia rafiki ni ngumu sana kuniamini lakini Mungu anaiona nafsi yangu hata huo ujinga wa kusema ex amemzidi sehem alieopo sijawah kuufanya, sijawah kukwama popote nikamtafta ex anisaidie, sjawah kuwasiliana na ex yoyote yule baada ya kuachana huyu ni mimi na najivunia kwa hili
Wewe kama huwez bas usilazimishe kila mtu asiweze kama wewe. na kila mtu ana namna yake alivyojipangia hivyo usilazimishe sana nifit kwenye namna yako