Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
AminaMungu ibariki zbc
TBCCM lenu limeshindwa kurusha?Mmmh!
Nadhani hujui kitu kuhusu ZBC2...
Nafahamu lakini bado kuna haja ya kuwashukuru Wazanzibar.Mmmh!
Nadhani hujui kitu kuhusu ZBC2.....
Hii inarusha TUNATEKELEZATb
TBCCM lenu limeshindwa kurusha.?
TBC ni Runinga ya Tanganyika sawa sawa na ZBC huku Zanzibar.Tb
TBCCM lenu limeshindwa kurusha.?
Mshukuru Azam Bakheresa. Yule ni mzanzibar anayeishi Tanganyika lakini ana akili za kibepari.Nafahamu lakini bado kuna haja ya kuwashukuru Wazanzibar
Ujinga mtupu wakimaliza tunatelekeza wanakuja mama ndege wakimaliza mama ndege wanakuja cherekocherekoHii inarusha TUNATEKELEZA
😆😆😆Ujinga mtupu wakimaliza tunatelekeza wanakuja mama ndege wakimaliza mama ndege wanakuja cherekochereko
Umenifungua macho hata graphics zake nzuri sana nilkuwa najiulizaga mda sana kuhusu ubora wao mbona iko poaMmmh!
Nadhani hujui kitu kuhusu ZBC2....
Hata hivyo wamejitahidiILA ZBC HAIONEKANI BURE, LABDA KWAKO SIJUI UPO MKOA GANI LAKINI BILA KULIPIA KIFURUSHI CHOCHOTE KWENYE AZAM TV HAUWEZI KUIONA ZBC.
MIMI MWENYEWE BINAFSI SIJAWEZA KUIONA KWASABABU SIJALIPIA.
Uko sawa..hata CAF champions league group stage jamaa wa ZBC 2 huwa wanapewa rights baadhi ya gamesMmmh!
Nadhani hujui kitu kuhusu ZBC2.
Hilo ni jina tu, mmiliki wake halisi ni Azam Bakhresa, na huo ni mkakati wake wa kupata rights za kurusha matangazo ya mpira kwa mgongo wa nchi (Zanzibar) kwa cheap price or free. Ni mkakati wa kibiashara kukwepa cost na kodi.
Mengi alifanya sana hichi kitu kutumia ITV wakati huo ITV ikiwa ndio television pekee inayotamba Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23] kishindo Cha awamu ya tano bado kipo?Ujinga mtupu wakimaliza tunatelekeza wanakuja mama ndege wakimaliza mama ndege wanakuja cherekochereko
Wewe ndio hujui chochote... Tuambie zbc 2 imeanza mwaka gani ??Jamaa kakuingiza chaka ZBC2 ipo kabla ya hata Azam Media haijaanzishwa.
Ivi unaamini kwenye utawala huu wa sasa unaotafuta hela kila chochote Bakhressa ana uwezo wa kuwadanganya TCRA kwenye TV yake aiite ZBC2 (TV ya Serikali) ili akwepe kodi?
Hapo umedanganywa mchana kweupe! ZBC na ZBC2 zipo zamani na ni Channel za Serikali ya Zanzibar.
Fika Zanzibar Rahaleo na Mnazi Mmoja (Karume House) utaikuta hiyo ZBC2.