Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa ZBC, viongozi wa Zanzibar pamoja na Wananchi wake wote kwa wema wao wa kuamua kutuhurumia na kutumia TV yao ambayo hatuchangii hata senti 5 kipande kwenye uendeshaji wake kutuonyesha michuano hii ya CHAN inayoendelea nchini Cameroon.
Bila wao hii michuano Wananchi makapuku wa Tanzania wangeisikia kwenye magazeti tu. Hii ni kwa sababu TV nyingi za Tanganyika kazi yao kubwa ni kutuonyesha madaraja, vivuko, mafuriko ya Jangwani na mambo ya akina Giggy money.
Masuala ya soka ambayo ndio yanayopendwa mitaani wao hawayataki.
Mungu wabariki watu wa Zanzibar.
Bila wao hii michuano Wananchi makapuku wa Tanzania wangeisikia kwenye magazeti tu. Hii ni kwa sababu TV nyingi za Tanganyika kazi yao kubwa ni kutuonyesha madaraja, vivuko, mafuriko ya Jangwani na mambo ya akina Giggy money.
Masuala ya soka ambayo ndio yanayopendwa mitaani wao hawayataki.
Mungu wabariki watu wa Zanzibar.