Baada ya miaka 50 je unaweza kufukua kaburi na kutoa kitu kilicho hai? Je kurudi kwa Tanganyika kutasaidia kupunguza ukali wa maisha yetu ya kila siku ? Je ufisadi utapungua na raslimali zigawanyewe sawa kwa wote? Je Afya, Elimu, Makazi zitaboreswa?
Kama haya yatatekelezwa na nikihakikishiwa basi na mimi nitachukua jembe kwenda kusaidia kulifukua kaburi ili Tanganyika atoke akiwa hai
Tambua pesa inayopelekwa Zanzibar ni Matirioni na matirioni hizo Fedha zikisalia Tanganyika Uchumi utakuwa kwa kasi huduma za jamii zitaimarishwa japo kuna ufisadi lakini si kigezo cha kuwazuia Watanganyika wasidai Nchi Yao