Nchi ina rasilimali ya Diamonds na nyama kama biggest exports ila imefanikiwa kutajirisha wananchi wake kwa kiasi kikubwa ,njoo sasa nchi zenye kila rasilimali kama Tanzania hii ,uone sasa,upuuzi mtupu unaendelea humu .
Umasikini uliootopea ,wachache wananeemeka ,majority wanaishi kama wakimbizi