Tunajifunza nini kwa Botswana kuwa nchi tajiri kuliko nchi nyingine za Afrika?

Tunajifunza nini kwa Botswana kuwa nchi tajiri kuliko nchi nyingine za Afrika?

Botswana kuna watu kutoka Kenya, ug na nchi zingine wameamua kuwekeza
Kuna wafugaji wamepewa maeneo makubwa wamefungua Ranch za uhakika
Ng'ombe za Boran zimejaa na kuna ulinzi wa hali ya juu tena polisi
Kuna patrol 24 hrs
Huwezi kuondoa mifugo sehemu moja kwenda kwingine bila taarifa polisi
Nchi hiyo ina neema kwa sababu wameifanya hivyo

Hata thamani ya hela ipo juu kwa sababu hakuna waizi wa mabilioni kama kwetu
 
Nchi ina rasilimali ya Diamonds na nyama kama biggest exports ila imefanikiwa kutajirisha wananchi wake kwa kiasi kikubwa ,njoo sasa nchi zenye kila rasilimali kama Tanzania hii ,uone sasa,upuuzi mtupu unaendelea humu .
Umasikini uliootopea ,wachache wananeemeka ,majority wanaishi kama wakimbizi
Na hao majorities ndio wa kwanza kuwaponda wanaokemea mambo ya hovyo yaani kama laana fulani hivi.
 
Botwana ina viongozi wazalendo tofauti na viongozi wetu.
Raslimali za Botswana ni za wananchi wote bali zetu lazima viongozi wafanye ufisadi kwanza.
 
Back
Top Bottom