Tunakamata wanaowapa ujauzito wanafunzi huku tukibariki na kuruhusu wanafunzi kushiriki ngono. This is nonsense!

Tunakamata wanaowapa ujauzito wanafunzi huku tukibariki na kuruhusu wanafunzi kushiriki ngono. This is nonsense!

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.

Kuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.

Sasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?

Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha? DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
 
Mtoa mada una UELEWA MDOGO juu ya dhana nzima ya KURUHUSU NGONO.
Ahsante.
 
Kuna mazingira mengi ya kupata ujauzito. Jaribu kuconsider wale walio pata kwa kubakwa
 
Mimi nalia tu na Utandawazi, mazingira na hali ya sasa ni ngumu sana kumlinda mtoto asipewe ujauzito.

Shule ni haki yao, Warudi ila tuendelee kupambana kwa namna yoyote ile kuwakinga wasipewe mimba
 
Ni rahisi sana kuwalinda watoto kama elimu ya uzazi itakubalika na kuonekana ni kitu muhimu na jamii kubwa, tatizo ni wafahidhana wasiotaka mambo ya kuzuia mimba kufundishwa mashuleni.
Mimi nalia tu na Utandawazi, mazingira na hali ya sasa ni ngumu sana kumlinda mtoto asipewe ujauzito.

Shule ni haki yao, Warudi ila tuendelee kupambana kwa namna yoyote ile kuwakinga wasipewe mimba
 
Mimi nalia tu na Utandawazi, mazingira na hali ya sasa ni ngumu sana kumlinda mtoto asipewe ujauzito.

Shule ni haki yao, Warudi ila tuendelee kupambana kwa namna yoyote ile kuwakinga wasipewe mimba
Muwekee kitanzi au njiti.
Bora nusu shali kuliko shali kamili
 
Mpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.

Kuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.

Sasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?

Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha?DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
Acha watu wasome, akisoma na mtoto atashindwa kuelewa? chengeni mabweni kama hamtaki
 
Mpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.

Kuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.

Sasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?

Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha?DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
Sheria ipo pale pale na sio kweli ngono imeruhusiwa,unapompa mimba mwanafunzi chini ya umri uliowekwa kisheria hiyo ni rape maana hakuna ole consent ya to have a sex na court of law itakuhusu;mimba mashuleni ni tatizo kubwa na halita kuja kumalizwa kwa sheria kali but education kwa wahusika wote.mtoto wa kike ana right ya kusoma
 
unapompa mimba mwanafunzi chini ya umri uliowekwa kisheria hiyo ni rape
Kwan umri sahihi wa kumpa mwanafunzi mimba ni upi?😂😂😂 maana statement yako inaonesha kama vile kuna umri ambao mwanafunzi anaruhusiwa kubeba ujauzito
 
Sheria ipo pale pale na sio kweli ngono imeruhusiwa,unapompa mimba mwanafunzi chini ya umri uliowekwa kisheria hiyo ni rape maana hakuna ole consent ya to have a sex na court of law itakuhusu;mimba mashuleni ni tatizo kubwa na halita kuja kumalizwa kwa sheria kali but education kwa wahusika wote.mtoto wa kike ana right ya kusoma
Sawa Sheria ipo ya kumlinda Mtoto wa kike,na inatoa adhabu kali sana kwa mtu anempaa Mimba Mwanafunzi maana amemkatishia masomo yake! Sasa Sheria hiyo hiyo imemruhusu Mtoto wa kike aendelee na masomo yake,kwa hiyo Sasa hivi hakatishwi masomo yake tena! Je unapo mfunga baba wa Mtoto kwa miaka 30 huoni pia umemnyima Mtoto huyohuyo kua na Baba!? Na Mama atabaki kua single mother!! Tafakari!!!!!!!!
 
Mpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.

Kuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.

Sasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?

Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha?DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
Wewe jamaa unaonekana either ni mprimitive sana, au mzee uliyepitwa na wakati au una roho ya kimaskini sana.
 
Nafikili pawekwee faini tuu,Kama tumeamua kurudisha shule wazazi
 
Ukija kuwa mzazi utaelewa tu!!
Sasa sijui ulitaka mabinti wasiruhusiwe kusoma kabisa...
Si watoto wote wa kike wako shule, na kwa matatizo tofauti. Unao tetea warudi baada ya kuzaa ni sehemu ndogo sana, lakini madhara ya kuwarudisha ni makubwa sana.
 
Back
Top Bottom