Tunakamata wanaowapa ujauzito wanafunzi huku tukibariki na kuruhusu wanafunzi kushiriki ngono. This is nonsense!

Tunakamata wanaowapa ujauzito wanafunzi huku tukibariki na kuruhusu wanafunzi kushiriki ngono. This is nonsense!

Ukija kuwa mzazi utaelewa tu!!
Sasa sijui ulitaka mabinti wasiruhusiwe kusoma kabisa...
Ukiwa mzazi ndio unahalalisha kujiingiza kwenye ngono na kupata mimba kisa tu watarudi shule? Non sense.
 
Ukiwa mzazi ndio unahalalisha kujiingiza kwenye ngono na kupata mimba kisa tu watarudi shule? Non sense.
Uneandika nini sasa?
Mtoto wa kike akishapevuka anaweza kupata mimba katika mazingira yoyote yale. Na ukijeneralize utakuwa umetenda haki kwa wote.

Nikakwambia kama hutaki wakipata mimba wasisome as wakisoma utakuwa umehalalisha ngono, basi hakuna haja ya kumpeleka mtoto wa kike Shule kwasababu anaweza kupata mimba!!
Umenisoma??
 
Mpaka sasa sijapata kujua kuwa kifungu cha 60 A(3) cha Education Act kinachowatia hatiani wanaowapa mimba wanafunzi kama kinafanya kazi.

Kuruhusu wanafunzi kurudi masomoni baada ya kupata mimba na kujifungua ni sawa na kuruhusu washiriki matendo ya ngono hata kabla ya kumaliza shule.

Sasa kama ndio hivi mbona kama mnahalalisha ngono kwa wanafunzi mnawakamata wanaoshiriki nao ngono?

Je, hamjui madhara ya mlichokihararisha? DC Kaliua aagiza mwalimu wa sekondari akamatwe
Sijaona wala kusikia wajawazito au wenye watoto wakijumuika madarasani na wanafunzi shule za msingi au sekondari huko ughaibuni. Tafadhali nielemisheni
 
Wazazi wana kimbia majukumu yao ya kurlimisha hawa vijana alafu wana taka serikali iwafanyie kila kitu, trust me ukimlea mtoto wako kwenye maadili hata pata mimba za utotoni
 
Ukiwa mzazi ndio unahalalisha kujiingiza kwenye ngono na kupata mimba kisa tu watarudi shule? Non sense.
Kwa hiyo ukimnyima elimu ndio ume msaidia? People make bad choices ila wana jirekebisha. Sasa eti unamkomoa mtu kwa kumyima elimu huo ni uzwazwa
 
kiji
kijiti ni salama zaidi.Kitazi ukiwawekea watapa PID
Hapo sawa.
Sema wazazi wa kibongo hapo watakwambia unamfundisha mtoto tabia mbaya kama vile mtoto hajui kuvifanya. Tunajidaiga kuwaficha kumbe ni upuuzi tu
 
Back
Top Bottom