Tunakaribia kuachana ila naogopa sana itakuwaje kuhusu watoto wangu

Tunakaribia kuachana ila naogopa sana itakuwaje kuhusu watoto wangu

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Dah! Acheni tu itokee maana hiki kikombe lazima tu nikinywe hakuna namna japo Bado Nina nafasi ya kubadili maamuzi

Kila kitu kinapande mbili yaweza kuwa pande Moja nzuri na nyingine mbaya au iwe nzuri zote au mbaya zote.

Huyu niliyenaye kwa sasa mm mapenzi kwake sifurahii
Mara anipangie mara nikimwamsha usiku ananiambia namsumbua dah! Yaani hakunaga hata kutaniana ni mtu wa siriazi muda wote
Hapendi kuongea sasa mm napenda kuongea na kucheka

Ukija tunakoishi waweza fikiria hakuna watu utasikia tu kelele za watoto hataki umbusu au amkumbatie kwake ni kero tupu

Sasa mm nafikiria Hana Tena hisia na mm

Nataka niondoke nimuachie kila kitu Ila Hana kazi Wala biashara alikuwa tu mm wa nyumbani
Sasa nawaza kuhusu watoto wangu itakuwaje? Je? Ataweza kuwalea maana nyumbani hataki kurudi

Pia nawaza huko niendako je naweza kuwa na amani kweli? Kuhusu familia yangu,

Laiti Kama angekuwa hanibanii tendo mengine ningevumilia tu.

Sasa Kuna Binti wa kitanga ambaye tayari nimeingia naye penzini na ananifurahisha yaani ni uhuru amekubali kuanza kulala chini na tayari kashabeba na mimba yangu.

Je? Nitapata amani Kama ambavo natarajia au naingia kwenye shimo ambalo kutoka kwake ni ngumu.

Watoto wangu Bado wadogo wa pili ana mwaka 1

Naombeni ushauri kwani Bado mm Kama mwanaume Nina nafasi ya kuamua lolot juu ya haya Mambo.
 
hamiia kwa kibinti cha tangaa mkuuu...ukojozwee hatareee mazeee, apo ndipo utamu upoo
Gf4vW-5WIAAhppX.jpeg
 
Screenshot_20241230-024855.png
Mkuu kweli wewe inawezekana changamoto binadamu tunatofautiana sana..

Yani mapenz tu yakufanye muachane,

Wanaposema mwanaume hashibi nyumbani ulidhani wanazungumzia pilau au wali....

Mambo ya maana kwenye maisha ya ndoa ni uaminifu na kusikilizana.. mengine mnavumilana..

Uaminifu kuanzia kwenye fedha, ushauri hadi mapenz.. kama hivyo vyote vipo usiondoke ukadondokea pua...

Zaidi omba sana Mungu akuepushe na hiyo laana ikiwa itakulazimu.

Watoto watakuwa tu uwe upo au haupo, hai au umekufa. kama anakupenda penda baki, ila kama kuna zaidi ya hapo nenda mwana kwenda..amani na maisha yako ni muhim sana.
 
Ndoa yenu bado changa naimeshakuwa chungu. Bora tu muachane mambo mengine yaendelee. Ukibaki hapo hutofurahia maisha yako yote yaliyobaki maishani mwako. Ndoa yako ndo furaha yako ya mwisho hapa duniani. Kama haitokupa furaha na ukaing'ang'ania basi wewe utazeeka bila furaha na utakufa vibaya wewe. Hata mwenzio hifurahii hiyo ndoa nivile tu hawezi kusema. Kuondoka kwako ndo furaha yenu wote
 
Isikupe shida, kama unawapenda na kuwajali watoto wako endelea kuwahudumia popote walipo kwa bibi yao au kwa mama yao, huduma hazikataliwi. Siku hizi hakuna kubembeleza na kuendelea kuishi na mwanamke jeuri na msaliti, piga chini, ya nini kuja kumuua ukaishia jela? Akileta za kuleta unamuoneshea mlango wa kutokea na kama hataki kutoka unamuachia kaya we unaenda kuanzisha maisha mapya yenye amani na upendo kwingine
 
Dah! Acheni tu itokee maana hiki kikombe lazima tu nikinywe hakuna namna japo Bado Nina nafasi ya kubadili maamuzi

Kila kitu kinapande mbili yaweza kuwa pande Moja nzuri na nyingine mbaya au iwe nzuri zote au mbaya zote.

Huyu niliyenaye kwa sasa mm mapenzi kwake sifurahii
Mara anipangie mara nikimwamsha usiku ananiambia namsumbua dah! Yaani hakunaga hata kutaniana ni mtu wa siriazi muda wote
Hapendi kuongea sasa mm napenda kuongea na kucheka

Ukija tunakoishi waweza fikiria hakuna watu utasikia tu kelele za watoto hataki umbusu au amkumbatie kwake ni kero tupu

Sasa mm nafikiria Hana Tena hisia na mm

Nataka niondoke nimuachie kila kitu Ila Hana kazi Wala biashara alikuwa tu mm wa nyumbani
Sasa nawaza kuhusu watoto wangu itakuwaje? Je? Ataweza kuwalea maana nyumbani hataki kurudi

Pia nawaza huko niendako je naweza kuwa na amani kweli? Kuhusu familia yangu,

Laiti Kama angekuwa hanibanii tendo mengine ningevumilia tu.

Sasa Kuna Binti wa kitanga ambaye tayari nimeingia naye penzini na ananifurahisha yaani ni uhuru amekubali kuanza kulala chini na tayari kashabeba na mimba yangu.

Je? Nitapata amani Kama ambavo natarajia au naingia kwenye shimo ambalo kutoka kwake ni ngumu.

Watoto wangu Bado wadogo wa pili ana mwaka 1

Naombeni ushauri kwani Bado mm Kama mwanaume Nina nafasi ya kuamua lolot juu ya haya Mambo.
Mara nyingi watu wanao achana wana sababu nyingi za kukaa pamoja kuliko za kutengana.

Ni ka ujeuri tu.
 
Mwisho wa siku huwa tunarudi nyumbani tukiwa tumechoka sana, Sijui kwa upande wako itakuaje, kila la heri.
 
Dah! Acheni tu itokee maana hiki kikombe lazima tu nikinywe hakuna namna japo Bado Nina nafasi ya kubadili maamuzi

Kila kitu kinapande mbili yaweza kuwa pande Moja nzuri na nyingine mbaya au iwe nzuri zote au mbaya zote.

Huyu niliyenaye kwa sasa mm mapenzi kwake sifurahii
Mara anipangie mara nikimwamsha usiku ananiambia namsumbua dah! Yaani hakunaga hata kutaniana ni mtu wa siriazi muda wote
Hapendi kuongea sasa mm napenda kuongea na kucheka

Ukija tunakoishi waweza fikiria hakuna watu utasikia tu kelele za watoto hataki umbusu au amkumbatie kwake ni kero tupu

Sasa mm nafikiria Hana Tena hisia na mm

Nataka niondoke nimuachie kila kitu Ila Hana kazi Wala biashara alikuwa tu mm wa nyumbani
Sasa nawaza kuhusu watoto wangu itakuwaje? Je? Ataweza kuwalea maana nyumbani hataki kurudi

Pia nawaza huko niendako je naweza kuwa na amani kweli? Kuhusu familia yangu,

Laiti Kama angekuwa hanibanii tendo mengine ningevumilia tu.

Sasa Kuna Binti wa kitanga ambaye tayari nimeingia naye penzini na ananifurahisha yaani ni uhuru amekubali kuanza kulala chini na tayari kashabeba na mimba yangu.

Je? Nitapata amani Kama ambavo natarajia au naingia kwenye shimo ambalo kutoka kwake ni ngumu.

Watoto wangu Bado wadogo wa pili ana mwaka 1

Naombeni ushauri kwani Bado mm Kama mwanaume Nina nafasi ya kuamua lolot juu ya haya Mambo.
Gharama za kutengana ni kubwa kulikonunavyodhani. Kuliko raha unazopata sasa. Jiangalie umekwama wapi. Go and read the law of diminishing marginal utility
 
Back
Top Bottom