Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nisikilize vizuri nikusaidie,kila tatizo lina pande 2,tofauti ni nani ana mchango kiasi gani kwenye hilo tatizo,uko kwenye mgogoro na mkeo,je umefanya tathmini ni kwa kiasi gani wewe unachangia kwenye huo mgogoro? Maana haiwezekani kuwa ni mkeo tu ndio kasababisha huo mgogoro.Kaa chini na mkeo,ongea nae kutafutafuta ufumbuzi wa tatizo,usilikimbie tatizo maana huko uendako napo pia yapo matatizo je utayakimbia pia?Dah! Acheni tu itokee maana hiki kikombe lazima tu nikinywe hakuna namna japo Bado Nina nafasi ya kubadili maamuzi
Kila kitu kinapande mbili yaweza kuwa pande Moja nzuri na nyingine mbaya au iwe nzuri zote au mbaya zote.
Huyu niliyenaye kwa sasa mm mapenzi kwake sifurahii
Mara anipangie mara nikimwamsha usiku ananiambia namsumbua dah! Yaani hakunaga hata kutaniana ni mtu wa siriazi muda wote
Hapendi kuongea sasa mm napenda kuongea na kucheka
Ukija tunakoishi waweza fikiria hakuna watu utasikia tu kelele za watoto hataki umbusu au amkumbatie kwake ni kero tupu
Sasa mm nafikiria Hana Tena hisia na mm
Nataka niondoke nimuachie kila kitu Ila Hana kazi Wala biashara alikuwa tu mm wa nyumbani
Sasa nawaza kuhusu watoto wangu itakuwaje? Je? Ataweza kuwalea maana nyumbani hataki kurudi
Pia nawaza huko niendako je naweza kuwa na amani kweli? Kuhusu familia yangu,
Laiti Kama angekuwa hanibanii tendo mengine ningevumilia tu.
Sasa Kuna Binti wa kitanga ambaye tayari nimeingia naye penzini na ananifurahisha yaani ni uhuru amekubali kuanza kulala chini na tayari kashabeba na mimba yangu.
Je? Nitapata amani Kama ambavo natarajia au naingia kwenye shimo ambalo kutoka kwake ni ngumu.
Watoto wangu Bado wadogo wa pili ana mwaka 1
Naombeni ushauri kwani Bado mm Kama mwanaume Nina nafasi ya kuamua lolot juu ya haya Mambo.
samahani Bush Dokta , am sincerely asking this, umeoa? For how long??Mara nyingi watu wanao achana wana sababu nyingi za kukaa pamoja kuliko za kutengana.
Ni ka ujeuri tu.
Mpaka hapo huna jeuri Wala huwezi kuachana unaigiza tuu hata ukizuga baada ya wiki mtarudiana 🤣🤣Dah! Acheni tu itokee maana hiki kikombe lazima tu nikinywe hakuna namna japo Bado Nina nafasi ya kubadili maamuzi
Kila kitu kinapande mbili yaweza kuwa pande Moja nzuri na nyingine mbaya au iwe nzuri zote au mbaya zote.
Huyu niliyenaye kwa sasa mm mapenzi kwake sifurahii
Mara anipangie mara nikimwamsha usiku ananiambia namsumbua dah! Yaani hakunaga hata kutaniana ni mtu wa siriazi muda wote
Hapendi kuongea sasa mm napenda kuongea na kucheka
Ukija tunakoishi waweza fikiria hakuna watu utasikia tu kelele za watoto hataki umbusu au amkumbatie kwake ni kero tupu
Sasa mm nafikiria Hana Tena hisia na mm
Nataka niondoke nimuachie kila kitu Ila Hana kazi Wala biashara alikuwa tu mm wa nyumbani
Sasa nawaza kuhusu watoto wangu itakuwaje? Je? Ataweza kuwalea maana nyumbani hataki kurudi
Pia nawaza huko niendako je naweza kuwa na amani kweli? Kuhusu familia yangu,
Laiti Kama angekuwa hanibanii tendo mengine ningevumilia tu.
Sasa Kuna Binti wa kitanga ambaye tayari nimeingia naye penzini na ananifurahisha yaani ni uhuru amekubali kuanza kulala chini na tayari kashabeba na mimba yangu.
Je? Nitapata amani Kama ambavo natarajia au naingia kwenye shimo ambalo kutoka kwake ni ngumu.
Watoto wangu Bado wadogo wa pili ana mwaka 1
Naombeni ushauri kwani Bado mm Kama mwanaume Nina nafasi ya kuamua lolot juu ya haya Mambo.
Kabla ya yote huko mlipotokea hakuwa muongeaji hivyohivyo?Dah! Acheni tu itokee maana hiki kikombe lazima tu nikinywe hakuna namna japo Bado Nina nafasi ya kubadili maamuzi
Kila kitu kinapande mbili yaweza kuwa pande Moja nzuri na nyingine mbaya au iwe nzuri zote au mbaya zote.
Huyu niliyenaye kwa sasa mm mapenzi kwake sifurahii
Mara anipangie mara nikimwamsha usiku ananiambia namsumbua dah! Yaani hakunaga hata kutaniana ni mtu wa siriazi muda wote
Hapendi kuongea sasa mm napenda kuongea na kucheka
Ukija tunakoishi waweza fikiria hakuna watu utasikia tu kelele za watoto hataki umbusu au amkumbatie kwake ni kero tupu
Sasa mm nafikiria Hana Tena hisia na mm
Nataka niondoke nimuachie kila kitu Ila Hana kazi Wala biashara alikuwa tu mm wa nyumbani
Sasa nawaza kuhusu watoto wangu itakuwaje? Je? Ataweza kuwalea maana nyumbani hataki kurudi
Pia nawaza huko niendako je naweza kuwa na amani kweli? Kuhusu familia yangu,
Laiti Kama angekuwa hanibanii tendo mengine ningevumilia tu.
Sasa Kuna Binti wa kitanga ambaye tayari nimeingia naye penzini na ananifurahisha yaani ni uhuru amekubali kuanza kulala chini na tayari kashabeba na mimba yangu.
Je? Nitapata amani Kama ambavo natarajia au naingia kwenye shimo ambalo kutoka kwake ni ngumu.
Watoto wangu Bado wadogo wa pili ana mwaka 1
Naombeni ushauri kwani Bado mm Kama mwanaume Nina nafasi ya kuamua lolot juu ya haya Mambo.
Dah! Acheni tu itokee maana hiki kikombe lazima tu nikinywe hakuna namna japo Bado Nina nafasi ya kubadili maamuzi
Kila kitu kinapande mbili yaweza kuwa pande Moja nzuri na nyingine mbaya au iwe nzuri zote au mbaya zote.
Huyu niliyenaye kwa sasa mm mapenzi kwake sifurahii
Mara anipangie mara nikimwamsha usiku ananiambia namsumbua dah! Yaani hakunaga hata kutaniana ni mtu wa siriazi muda wote
Hapendi kuongea sasa mm napenda kuongea na kucheka
Ukija tunakoishi waweza fikiria hakuna watu utasikia tu kelele za watoto hataki umbusu au amkumbatie kwake ni kero tupu
Sasa mm nafikiria Hana Tena hisia na mm
Nataka niondoke nimuachie kila kitu Ila Hana kazi Wala biashara alikuwa tu mm wa nyumbani
Sasa nawaza kuhusu watoto wangu itakuwaje? Je? Ataweza kuwalea maana nyumbani hataki kurudi
Pia nawaza huko niendako je naweza kuwa na amani kweli? Kuhusu familia yangu,
Laiti Kama angekuwa hanibanii tendo mengine ningevumilia tu.
Sasa Kuna Binti wa kitanga ambaye tayari nimeingia naye penzini na ananifurahisha yaani ni uhuru amekubali kuanza kulala chini na tayari kashabeba na mimba yangu.
Je? Nitapata amani Kama ambavo natarajia au naingia kwenye shimo ambalo kutoka kwake ni ngumu.
Watoto wangu Bado wadogo wa pili ana mwaka 1
Naombeni ushauri kwani Bado mm Kama mwanaume Nina nafasi ya kuamua lolot juu ya haya Mambo.