Tunakaribisha tofauti za hoja na maoni kuhusu chama chetu CHADEMA kwani hii ni fursa kubwa ya chama kukua na uthibitisho wa demokrasia komavu

Tunakaribisha tofauti za hoja na maoni kuhusu chama chetu CHADEMA kwani hii ni fursa kubwa ya chama kukua na uthibitisho wa demokrasia komavu

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tunakaribisha maoni mbalimbali na hata mawazo tofauti kati ya wanachama na viongozi wetu. Kama chama cha kidemokrasi, Chadema tunaona suala la kutofautiana na kulumbana juu ya hoja mbalimbali ni fursa muhimu sana ya kuonesha demokrasia yetu na pia kukua na kuimarika kifikra.

Wanachama wote wa Chadema jengeni hoja makini katika mitizamo yenu juu ya masuala mbalimbali mathalani uchaguzi 2025, muungano, nk. Msisahau kuwa mijadala na malumbano ya hoja ni sehemu muhimu ya chama chetu na bila hivyo chama kitakosa uchangamfu na ukomavu, na pia chama sio Mbowe, Lissu, Mnyika, au yeyote yule bali chama ni sisi sote tukiwa na tofauti zetu katika hoja mbalimbali.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tunakaribisha maoni mbalimbali na hata mawazo tofauti kati ya wanachama na viongozi wetu. Kama chama cha kidemokrasi, Chadema tunaona suala la kutofautiana na kulumbana juu ya hoja mbalimbali ni fursa muhimu sana ya kuonesha demokrasia yetu na pia kukua na kuimarika kifikra.

Wanachama wote wa Chadema jengeni hoja makini katika mitizamo yenu juu ya masuala mbalimbali mathalani uchaguzi 2025, muungano, nk. Msisahau kuwa mijadala na malumbano ya hoja ni sehemu muhimu ya chama chetu na bila hivyo chama kitakosa uchangamfu na ukomavu, na pia chama sio Mbowe, Lissu, Mnyika, au yeyote yule bali chama ni sisi sote tukiwa na tofauti zetu katika hoja mbalimbali.
we ni nani?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tunakaribisha maoni mbalimbali na hata mawazo tofauti kati ya wanachama na viongozi wetu. Kama chama cha kidemokrasi, Chadema tunaona suala la kutofautiana na kulumbana juu ya hoja mbalimbali ni fursa muhimu sana ya kuonesha demokrasia yetu na pia kukua na kuimarika kifikra.

Wanachama wote wa Chadema jengeni hoja makini katika mitizamo yenu juu ya masuala mbalimbali mathalani uchaguzi 2025, muungano, nk. Msisahau kuwa mijadala na malumbano ya hoja ni sehemu muhimu ya chama chetu na bila hivyo chama kitakosa uchangamfu na ukomavu, na pia chama sio Mbowe, Lissu, Mnyika, au yeyote yule bali chama ni sisi sote tukiwa na tofauti zetu katika hoja mbalimbali.
Mada za Magufuli umemaliza?
 
weka picha ya kadi yako ya uwanachama mkuu,tuanze Maswli
 
CHADEMA wana Demokrasia komavu ama Chakavu?

Miaka 20 Mwenyekiti ni yule yule, sera ni zile zile. Uharakati, Uasi, Ususaji na Kuhadaa Demokrasia imeporomoka, wakati mporomoko wa Demokrasia umo kwenye Chama chao.

Hawa, wasajiliwe kama Asasi ya Uharakati. Watatupunguzia matumizi za Kodi zetu-mkumbuke wanakitita cha Shs. 2.7bilioni cha ruzuku.

chama sio Mbowe, Lissu, Mnyika,

Chadema jengeni hoja makini
Uzeni sera🙌🏾
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tunakaribisha maoni mbalimbali na hata mawazo tofauti kati ya wanachama na viongozi wetu. Kama chama cha kidemokrasi, Chadema tunaona suala la kutofautiana na kulumbana juu ya hoja mbalimbali ni fursa muhimu sana ya kuonesha demokrasia yetu na pia kukua na kuimarika kifikra.

Wanachama wote wa Chadema jengeni hoja makini katika mitizamo yenu juu ya masuala mbalimbali mathalani uchaguzi 2025, muungano, nk. Msisahau kuwa mijadala na malumbano ya hoja ni sehemu muhimu ya chama chetu na bila hivyo chama kitakosa uchangamfu na ukomavu, na pia chama sio Mbowe, Lissu, Mnyika, au yeyote yule bali chama ni sisi sote tukiwa na tofauti zetu katika hoja mbalimbali.

Kwani mbwa mzee anaweza kujifunza jina jipya?

1.
Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama

2. Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

3.
Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

"La kuvunda halina ubani!"
 
kwanini pesa za Abdu na mama yake mmezigawana wachache na kumsahau ndugu Lisu?

1. Lissu? Nini au lini kimebadilika ndugu?

Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

2. Chadema na Lissu tuko vizuri labda wale uchwara wasiokuwa na Hoja, sera wala CV!

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

3. Habari ndiyo hiyo!

Ukombozi dhidi ya CCM utapatikana na wanaharakati sio na wanasiasa

4. imhotep, @allen_kilewella, denoo JG, Proved, JokaKuu, Retired na wale wengine for filing and record keeping.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tunakaribisha maoni mbalimbali na hata mawazo tofauti kati ya wanachama na viongozi wetu. Kama chama cha kidemokrasi, Chadema tunaona suala la kutofautiana na kulumbana juu ya hoja mbalimbali ni fursa muhimu sana ya kuonesha demokrasia yetu na pia kukua na kuimarika kifikra.

Wanachama wote wa Chadema jengeni hoja makini katika mitizamo yenu juu ya masuala mbalimbali mathalani uchaguzi 2025, muungano, nk. Msisahau kuwa mijadala na malumbano ya hoja ni sehemu muhimu ya chama chetu na bila hivyo chama kitakosa uchangamfu na ukomavu, na pia chama sio Mbowe, Lissu, Mnyika, au yeyote yule bali chama ni sisi sote tukiwa na tofauti zetu katika hoja mbalimbali.
Mbowe ni msaliti!!! Ananunulika
 
Mpeni Lissu mgao wake wa rushwa, mmemnyima anatupigia kelel huku
 
Back
Top Bottom