Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Vipi kwa wachungaji walokole kusambaza namba za sadaka huo sio Ushetani?Mpira ni ushetani,
Man UTD Inaitwa timu ya Mashetani wekundu na nembo na picha za mashetani wameweka kabisa.
Chelsea ni timu ya Mashetani wa Bluu, na nembo na picha za mashetani wa Bluu zipo,
Sasa imeandikwa meditate the world of God day and night,
Sasa mlokole ulevi wake ameruhusiwa kulewa Kwa Roho MTAKATIFU, huo ulevi wa pombe au mpira wa nini?
Utakatifu ni kujiweka wakfu, kuwa special Kwa ajili ya kumtumikia Mungu.
Sasa ukiabudu Kwa njia ya mtandao sadaka utoe Kwa njia Gani kama Si kupitia simu au benki?Vipi kwa wachungaji walokole kusambaza namba za sadaka huo sio Ushetani?
Ni leo (sasa), kesho (wakati ujao) na hata milele."Ata
"Ata" ni wakati gani huo maana haijaandikwa anaokoka ila ataokoka
Sasa ukiabudu Kwa njia ya mtandao sadaka utoe Kwa njia Gani kama Si kupitia simu au benki?
Sadaka ni amri Kutoa, mbona mkienda Kwa Waganga wa kienyeji Huwa hamuwagomei Kutoa sadaka?
NB: Usipotoa sadaka, utatoeewa sadaka wewe uwe msukule ,endapo member wa family au ukoo wako ataenda Kwa mganga akaombwa sadaka ya damu, kwanini ufe kabla ya wakati wako?
Ndipo ujue, sadaka Si pesa pekee, hata Damu Yako yaweza kuwa sadaka.
Ilipo hazina/ sadaka ya mtu, ndipo ulipo moyo wake.
Dini zimeletwa juzi, lakini Imani ilikuwapo, kwani Adam na EVE bustani ya edeni walikuwa Dini Gani?Kwahiyo babu zetu waliokufa kabla ya kuletewa dini wapo wapi ?
Kwahiyo dini ni man made na sio God made !. Nimekupata.Dini zimeletwa juzi, lakini Imani ilikuwapo, kwani Adam na EVE bustani ya edeni walikuwa Dini Gani?
Dini zimeletwa Juzi ila Mungu alikuwepo tangu Adamu hata milele,
Dini ziletwa juzi, ila Mungu ameendelea kusema na watu tangu zamani kupitia NDOTO na MAONO.
Dini zimeletwa Juzi ila Mungu amekuwa akisema na hao Babu zako kupitia WILL/ DHAMIRA, na historia inasema wazi wapo mababu waliokuwa WEMA Kweli Kweli.
Kuishi MAISHA ya Kweli, HAKI na UPENDO ndio Mungu atakacho.
Babu zako wapo waliokwenda Mbinguni na wapo walioenda kuzimu kulingana na vigezo hapo juu.
Karibu 🙏
Mungu ameabudiwa bustani ya Edeni miaka mingi sana kabla hata ya hiyo Mizimu.Kwahiyo dini ni man made na sio God made !. Nimekupata.
Kuna uwezekano our ancestors walikuwa sahihi katika kuabudu mizimu .
Mungu ameabudiwa bustani ya Edeni miaka mingi sana kabla hata ya hiyo Mizimu.
Dini ni man made ndio, Mbinguni watu hawaingii Kwa kigezo Cha dini.
Mbinguni wanaingia Kwa Imani juu ya Mungu kupitia Jina la YESU KRISTO.
Mizimu imetoka na neno KUZIMU/ KABURI. Sasa kuabudu Mizimu/ kaburi ni kuchanganyikiwa.
NB: Dini hazitambuliki Mbinguni, na kuabudu Mizimu ni upumbavu mkuu.
Hujawaza Kwanini mmejifungamanisha na ushirikina ?Ahaa basi ngoja jioni nikaangalie YANGA kwa umakini,..nikimuona SHETANI naacha
kuiangalia🤣🤣
Imeandikwa wapi kwamba tutume sadaka kwa namba ya Mchungaji?Sasa ukiabudu Kwa njia ya mtandao sadaka utoe Kwa njia Gani kama Si kupitia simu au benki?
Halafu sadaka hujalazimiashwa Kutoa, mbona una hasira Kwa wanaotoa?Imeandikwa wapi kwamba tutume sadaka kwa namba ya Mchungaji?
Or tuabudu kwa njia ya mtandao hivi unamjua mwanzilishi wa mtandao wewe?
Ajikite kwenye mambo yake ya kiimani maana neno la mungu ni utashi ndio maana mungu aliweka mtu wa ujuzi wa mema na mabaya katika bustani ya edeni Ili kutoa uchaguziBaada ya Mchungaji Mch. Abiud Misholi Kutamka adharani kwamba ni Ushetani mkubwa Mlokole kushabikia mpira Mwimbaji wa nyimbo za injili na SHABIKI mkubwa wa Yanga African @Ann_annie kafunguka ya moyoni na kusema....
"Kuna Max Nzengeli na Kennedy Musonda wameokoka sasa na wanacheza mpira itakuwaje??
Mabasi yenyewe tunayopanda ni ya washirikina biashara nyingi tunakoenda kununua vitu wawekezaji ni hao hao washirikina, sadaka tunazotuma kwa wachungaji tumezipata kwa hao hao washirikina na cha ajabu wachungaji hawazikatai hizo sadaka ... Niseme tu ni Yesu tu anayetulinda".
Hivi ndivyo alivyofunguka mwimbaji wa gospel, nimemuelewa vizuri kabisa, ila mchungaji Misholi sijamuelewa kabisa.
Bila shaka tunakoelekea, hata kuoga na sabuni ya GSM tutakuja kuambiwa ni dhambi 🤔
Hoja sio mpira tu bali na Ushetani..Sijui unabisha nini na hoja yako ni ipi? Maana naona unatoka kwenye mpira na sasa unaenda kwenye sadaka via Mpesa na Tigo pesa.
Unatumia aya gani hapo kuhalalisha usemacho?Ukiwa mabanda ya mipira ndio utajua ushabiki wa mpira ni mpango wa shetani mabanda ya mipira yametawaliwa na lugha zilizokosa staha kitu kingine ushabiki wa mipira umeliingiza kundi kubwa la watu kuingia kwenye michezo ya kamari ushabiki wa mipira ni mpango wa shetani kuwa mshabiki wa timu Fulani unakuwa umeniunga katika ibada zao huko wanakotoaga makafara kabla ya msimu haujaanza
Huo ni mtazamo wakokwa maoni yangu na matazamo wangu juu ya hili, kwanza lazima tukubaliane kuwa mpira wenyewe na asili yake haumpi Mungu utukufu, na maandiko yanasema fanyeni kila jambo kwa utukufu wa Mungu. Sasa kwenye huo mpira kuna ushirikina mkubwa wanaajiliwa waganga na mambo mengi ya kishirikina yanafanyika hayo hayampi Mungu utukufu
Pili mpira umejaa mambo ya kufuru, ufusika, pombe, lugha za matusi utazikuta uwanjani hayo hayampi Mungu utukufu
Sasa kama Mwana wa Mungu anapaswa kufanya mambo yanayompa Mungu utukufu akifanya hilo ambalo unaona kabisa kuna wengine walimiminiana risasi huko Russia, watu wana apa mpaka kuwatoa sadaka wake zao(kubet) sio sahihi.
Ukisimamia hoja ya wachungaji kupokea sadaka, wao wachungaji wanapokea tu lakini huwatolei wachungaji, ndio maana utatoa sadaka kwa wachungaji lakini utamuomba Mungu akubariki, maana yake hata sadaka zinamhusisha Mungu
🤣"Ata" wakati ujao
Na ndio ilivyo sio mtazamo tu, mpira ni kama mungu, watu wanaahirisha hata ibada ili wawah uwanjani, siku ya simba na yanga wakristo wengi huwa hawaendi kanisani ili wawahi kwenda uwanjani, kama kuna vipindi vya jioni na kuna mpira uwe na uhakika wa kukosa wahudhuriaji hasa wanaume ndo madhabahu iliyowashikaHuo ni mtazamo wako
Wewe ni Mchungaji?Na ndio ilivyo sio mtazamo tu, mpira ni kama mungu, watu wanaahirisha hata ibada ili wawah uwanjani, siku ya simba na yanga wakristo wengi huwa hawaendi kanisani ili wawahi kwenda uwanjani, kama kuna vipindi vya jioni na kuna mpira uwe na uhakika wa kukosa wahudhuriaji hasa wanaume ndo madhabahu iliyowashika