Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie ajifunze kupiga tako 3,,hutumiii nguvu nyingi wala jasho hutoki...Habari wandugu
Seriously nimeshuhudia jamaa analalamika mke wake amesitisha kutoa chakula Cha usiku sababu hawana uhakika kuoga, ndani kunakuwa joto sababu fan haifanyi kazi jamaa anafikiria Leo asirudi nyumbani mapema apitie bar kwanza ....
Hoja za kipumbavu sana watu wana chagamoto za maisha kuliko maji na umeme, mbona vijijini watu wanaishi vzri tu tena na furaha kuliko mjini, wakati wanaishi bila maji safi na salama umeme ndo sio kipaumbele kwao kabisa.Habari wandugu
Seriously nimeshuhudia jamaa analalamika mke wake amesitisha kutoa chakula Cha usiku sababu hawana uhakika kuoga, ndani kunakuwa joto sababu fan haifanyi kazi jamaa anafikiria Leo asirudi nyumbani mapema apitie bar kwanza ....
Mwambie apige cha kuku cha haraka asipige cha Bata hadi alaleHabari wandugu
Seriously nimeshuhudia jamaa analalamika mke wake amesitisha kutoa chakula Cha usiku sababu hawana uhakika kuoga, ndani kunakuwa joto sababu fen haifanyi kazi jamaa anafikiria Leo asirudi nyumbani mapema apitie bar kwanza ....
Hvi Ni kwa nn Bata akimaliza kula mzgo lazima asizi kdgo ?Mwambie apige cha kuku cha haraka asipige cha Bata hadi alale
Labda sio wewe mama minyege..😂Hata mimi nimesitisha huduma kwa muda, hadi hili joto litakapoisha na hali ya hewa kukaa sawa.....
Knkn 😏Labda sio wewe mama minyege..😂
Sawa mi konokono wewe saikoko kama huyajui sema nikuwekee picha ila kulia hapana..😎Knkn 😏
[emoji28]stail ya dharuraMwambie ajifunze kupiga tako 3,,hutumiii nguvu nyingi wala jasho hutoki...
Hi ni style ya dharura.
Akisubiri maji atahatarisha ndoa yake.
NtakurogaSawa mi konokono wewe saikoko kama huyajui sema nikuwekee picha ila kulia hapana..😎
huduma ipi hiyoHata mimi nimesitisha huduma kwa muda, hadi hili joto litakapoisha na hali ya hewa kukaa sawa.....