Tunakosea tunaposema mazuri aliyofanya hayati Julius Nyerere huku hatusemi mabaya aliyofanya na yametugharimu kama taifa

Tunakosea tunaposema mazuri aliyofanya hayati Julius Nyerere huku hatusemi mabaya aliyofanya na yametugharimu kama taifa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kweli alipambana akasomesha wananchi wake na akahakikisha kuwa taifa linakuwa na umoja na mshikano.

Lakini ukweli kuwa aliharibu uchumi wa taifa na kuliacha masikini huwa hauwekwi wazi.

Hayati Nyerere alisahau kupambania uchumi wa taifa lake. Akabaki kupigana vita kuzikomboa Uganda, Zimbabwe na Mosambiqui bila kusahau Afrika kusini.

Vita vya ukombozi alivyoshiriki vilisababisha taifa kubakia kuwa masikini mpaka leo hii.
 
Kweli alipambana akasomesha wananchi wake na akahakikisha kuwa taifa linakuwa na umoja na mshikano.

Lakini ukweli kuwa aliharibu uchumi wa taifa na kuliacha masikini huwa hauwekwi wazi.

Hayati Nyerere alisahau kupambania uchumi wa taifa lake. Akabaki kupigana vita kuzikomboa Uganda, Zimbabwe na Mosambiqui bila kusahau Afrika kusini.

Vita vya ukombozi alivyoshiriki vilisababisha taifa kubakia kuwa masikini mpaka leo hii.
Huu ni Ukweli ambao huwa hausemwi
 
Kweli alipambana akasomesha wananchi wake na akahakikisha kuwa taifa linakuwa na umoja na mshikano.

Lakini ukweli kuwa aliharibu uchumi wa taifa na kuliacha masikini huwa hauwekwi wazi.

Hayati Nyerere alisahau kupambania uchumi wa taifa lake. Akabaki kupigana vita kuzikomboa Uganda, Zimbabwe na Mosambiqui bila kusahau Afrika kusini.

Vita vya ukombozi alivyoshiriki vilisababisha taifa kubakia kuwa masikini mpaka leo hii.

Na tukishasema hayo mabaya yatatuvusha hapa tulipo kwenda nchi ya ahadi?
 
Eti wanasemaga marehemu mabaya yake hayatakiwi kusemwa bali mazuri tu ndoo yanayostahili kuzungumzwa.Sasa mm ninavyojua binadam anjifunza pale anapoambiwa ukweli hata ukiwa mchungu kama pilipili
 
Kweli alipambana akasomesha wananchi wake na akahakikisha kuwa taifa linakuwa na umoja na mshikano.

Lakini ukweli kuwa aliharibu uchumi wa taifa na kuliacha masikini huwa hauwekwi wazi.

Hayati Nyerere alisahau kupambania uchumi wa taifa lake. Akabaki kupigana vita kuzikomboa Uganda, Zimbabwe na Mosambiqui bila kusahau Afrika kusini.

Vita vya ukombozi alivyoshiriki vilisababisha taifa kubakia kuwa masikini mpaka leo hii.
Kabla ya kusema Nyerere aliharibu uchumi jiuluze wewe binafsi, baba na babu yako wamechangiaje kukuza uchumi wa nchi hii? Ungechambua kwanza data halafu data hizo zikuonyeshe kuwa uchumi aliharibu.

Wakati Nyerere anachukua nchi hii haikuwa na chuo kikuu, haikuwa na madaktari wala mainjinia, haikuwa na viwanda lakini yeye alijenga vitu hivyo na vingine vingi. Nyerere alisomesha watoto bure hadi university tena wakati ambapo wazazi wengi walikuwa hawataki watoto wao wasome. Alijenga vyanzo vya umeme na alitu.mia pesa za mazao tu, madini alisema tusichimbe kwanza hadi watu wetu wasome ili tuyasimamie vizuri halafu wewe unaibuka unasemq aliharibu ucbumi kwa sababu pengine unataka dezo. Nyerere ameondoka madarakani miaka 38 iliyopita lakini failure zenu una.mtupia yeye. Wakati wa Nyerere hakuna mtu aliyetaka ardhi ya kulima akakosa lakini leo hii kuna mamilioni ya wakulima wadogo hawana ardhii ya kulima kwa kunyang'anywa.
 
Heshima kitu cha Bure.

Mwache Mwl. Nyerere apumzike kwa amani. Alikua na mapungufu yake,ndio! Lakini mazuri yalikua mengi kwa misingi ya Taifa.
 
Heshima kitu cha Bure.

Mwache Mwl. Nyerere apumzike kwa amani. Alikua na mapungufu yake,ndio! Lakini mazuri yalikua mengi kwa misingi ya Taifa.
Huwa haramu kumjadili nyerere kwa kina,utasikia mwacheni apumzike,huwezi sikia hayo kwa mwinyi
 
Huu uzi umeandikwa na mtu mpumbavu sana. Huu umoja wa kitaifa tulio nao unadhani uliokotwa tu? Unatoka Karagwe hadi Mbamba Bay watu wanaongea lugha moja unadhani ni mzaha? TZ nyakati za uchaguzi watu hulaumiana kwa vyama na sio makabila wakati nchi karibu zote zinazotuzunguka ukabila ndo mpango mzima. Halafu mwaka 1961 UDSM ilikuwa na wanafunzi 14 tu kwahiyo uhaba wa wasomi ilikuwa sio poa. Mwalimu ana mazuri mengi kuliko mabaya. Ukimtoa mwendakuzimu aliyetutoka mwaka jana hao marais wengine waliotangulia mbele ya haki walikuwa watu safi.
 
Kabla ya kusema Nyerere aliharibu uchumi jiuluze wewe binafsi, baba na babu yako wamechangiaje kukuza uchumi wa nchi hii? Ungechambua kwanza data halafu data hizo zikuonyeshe kuwa uchumi aliharibu.

Wakati Nyerere anachukua nchi hii haikuwa na chuo kikuu, haikuwa na madaktari wala mainjinia, haikuwa na viwanda lakini yeye alijenga vitu hivyo na vingine vingi. Nyerere alisomesha watoto bure hadi university tena wakati ambapo wazazi wengi walikuwa hawataki watoto wao wasome. Alijenga vyanzo vya umeme na alitu.mia pesa za mazao tu, madini alisema tusichimbe kwanza hadi watu wetu wasome ili tuyasimamie vizuri halafu wewe unaibuka unasemq aliharibu ucbumi kwa sababu pengine unataka dezo. Nyerere ameondoka madarakani miaka 38 iliyopita lakini failure zenu una.mtupia yeye. Wakati wa Nyerere hakuna mtu aliyetaka ardhi ya kulima akakosa lakini leo hii kuna mamilioni ya wakulima wadogo hawana ardhii ya kulima kwa kunyang'anywa.
Ukweli usemwe ata kama wazungu walikuja kututawala kimabavu lakini walichangia kwenye kuleta elimu kwa nguvu sana mfano hai ni babu zetu wengi makanisa yaliwachukuwa na kuwapa elimu,missionaries kwenye ili walifanya makuu ilo alipingiki mfano hai ni babu yangu familia iligoma asisome kanisa likamchukua na kumsomesha.
 
Huu uzi umeandikwa na mtu mpumbavu sana. Huu umoja wa kitaifa tulio nao unadhani uliokotwa tu? Unatoka Karagwe hadi Mbamba Bay watu wanaongea lugha moja unadhani ni mzaha? TZ nyakati za uchaguzi watu hulaumiana kwa vyama na sio makabila wakati nchi karibu zote zinazotuzunguka ukabila ndo mpango mzima. Halafu mwaka 1961 UDSM ilikuwa na wanafunzi 14 tu kwahiyo uhaba wa wasomi ilikuwa sio poa. Mwalimu ana mazuri mengi kuliko mabaya. Ukimtoa mwendakuzimu aliyetutoka mwaka jana hao marais wengine waliotangulia mbele ya haki walikuwa watu safi
Ulizibiwa mirija Nini mkuu?
 
Kabla ya kusema Nyerere aliharibu uchumi jiuluze wewe binafsi, baba na babu yako wamechangiaje kukuza uchumi wa nchi hii? Ungechambua kwanza data halafu data hizo zikuonyeshe kuwa uchumi aliharibu.

Wakati Nyerere anachukua nchi hii haikuwa na chuo kikuu, haikuwa na madaktari wala mainjinia, haikuwa na viwanda lakini yeye alijenga vitu hivyo na vingine vingi. Nyerere alisomesha watoto bure hadi university tena wakati ambapo wazazi wengi walikuwa hawataki watoto wao wasome. Alijenga vyanzo vya umeme na alitu.mia pesa za mazao tu, madini alisema tusichimbe kwanza hadi watu wetu wasome ili tuyasimamie vizuri halafu wewe unaibuka unasemq aliharibu ucbumi kwa sababu pengine unataka dezo. Nyerere ameondoka madarakani miaka 38 iliyopita lakini failure zenu una.mtupia yeye. Wakati wa Nyerere hakuna mtu aliyetaka ardhi ya kulima akakosa lakini leo hii kuna mamilioni ya wakulima wadogo hawana ardhii ya kulima kwa kunyang'anywa.
Mavi meusi = black shit
 
Kabla ya kusema Nyerere aliharibu uchumi jiuluze wewe binafsi, baba na babu yako wamechangiaje kukuza uchumi wa nchi hii? Ungechambua kwanza data halafu data hizo zikuonyeshe kuwa uchumi aliharibu.

Wakati Nyerere anachukua nchi hii haikuwa na chuo kikuu, haikuwa na madaktari wala mainjinia, haikuwa na viwanda lakini yeye alijenga vitu hivyo na vingine vingi. Nyerere alisomesha watoto bure hadi university tena wakati ambapo wazazi wengi walikuwa hawataki watoto wao wasome. Alijenga vyanzo vya umeme na alitu.mia pesa za mazao tu, madini alisema tusichimbe kwanza hadi watu wetu wasome ili tuyasimamie vizuri halafu wewe unaibuka unasemq aliharibu ucbumi kwa sababu pengine unataka dezo. Nyerere ameondoka madarakani miaka 38 iliyopita lakini failure zenu una.mtupia yeye. Wakati wa Nyerere hakuna mtu aliyetaka ardhi ya kulima akakosa lakini leo hii kuna mamilioni ya wakulima wadogo hawana ardhii ya kulima kwa kunyang'anywa.
Mkuu huna data sahihi wewe, wasema hakukuwa na viwanda wala chuo kikuu???
 
Back
Top Bottom