Zanzibar 2020 Tunakubaliana na maridhiano, lakini Maalimu Seif na ACT Wazalendo lazima muwajibu Watanzania haya

Mkuu katiba iliweka utaratibu baada ya maridhiano sio kabla.

Utaratubu wa kikatiba sio maridhiano bali ni sheria...
Baaada ya wapinzaniii kuishiwa hoja, kwa sasa tumebakiwa na vyama vya ubishi na wanachama wote, mumebakiwa na ubishi tu.

Siasaa hamzijui mumebakia kudandia dandia mambooo. Wenye akili kubwa kama akina malimu seifu ndo wanaoelewa tukio muhimu walilofanyaa. Wengine hamjui kituuuu kabisaaa.
 
Ulitakiwa kwa maoni yangu uongeze
4. Kutotambua matokeo ya uchaguzi.
5. Kurudia kwa mchakato mzima wa uchaguzi. Hapo ningeona kweli Chadema wako serious.
 
Mimi siungi mkono maridhiano hayo na wala sitayaunga mkono hata nikiwekewa bunduki kichwani .

Liwalo na liwe
Tupo wengi sana kwa hili halikubaliki kabisa,lkn siku zote nimekuwa nikisema kuwa upinzani wa Zitto unatia mashaka sana hapa Tanzania.
 
Chadema na siasa zenu kali mtaishia mitandaoni, wanasiasa makini hutanguliza maslahi mapana ya nchi.Kwa akili zenu hizi mtakosa vyote.Ndiyo maana HAlima & co wamewatosa
Aliye mtosa mwenzake ni yupi kati ya Mdee na CDM? Cdm ni taasisi kubwa kuliko hao wachumia matumbo yao kina Mdee na tushawafukuza na kuwavua uanachama.

Hutaki kajinyonge.
 
Hongera sana kwa comment yenye uzito unaojitosheleza
 
Kwani we Nani kwanza Unalipi hasa
Yaani Hata Nyuma ya Mtaa wenu hawakufahamu
Mnajipa Ujiko tu kumbe Makopo Matupu
Wewe una nini?kuanzia hapa dsm hadi kwenu mwandiga una nini cha kujivunia?

Hadi nyumbani kwenu mwandiga napafahamu huna lolote.


Wacha kuanzisha vita ya mawe wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo,utaumbuka bure
 
Zitto Kabwe , Maalim Seif na Act Wazalendo hata uwape miaka mitano hawana majibu ya haya maswali na walichokifanya zaidi ya usaliti .
Nivizuri sasa watanzania ndiyo watamjua vema Zitto kuwa yeye anatanguliza tumbo lake mbele na maslahi ya watanzania ni baada ya yeye kushiba.


Alifukuzwa cdm kwa tamaa zake za kutaka madaraka kwa papara
 
Hauna ujuwalo wewe zaidi ya kupalilia mrija wako usizibwe
 
Maalim ni mzee wa miaka 77 mnataka aendelee kuishi kwa uhasama mpaka lini?.

Tafuteni kiongozi mpya Mbowe keshashindwa mazima.
Mbowe hatoki cdm mkitaka nendeni mkanywe sumu maana hamna faida kwa taifa hili.
 
Mimi siungi mkono maridhiano hayo na wala sitayaunga mkono hata nikiwekewa bunduki kichwani .

Liwalo na liwe
Teh teh teh 🤣 kwani mkuu hata usipounga mkono kwani ni tatizo kwao?
 
Kila chama kina aina yake ya maridhiano, hayo maridhiano ambayo nyie chadema mnayataka hayawezi kutokea until Jesus comes back

Wao ACT wana Aina yao ya siasa, sio mambo ya kususa...

Wamepata platform mzuri ya kupata ruzuku na kuingia kwenye baraza Mlitaka wasuse then wao kama wanasiasa wafanye kazi gani?

Nyie chadema endeeni kususa, endeleeni kudai Ben saa nane yuko wapi, endeleeni kudai waliompiga Lisu risasi,
 
Ruzuku tayari wameshapokea
Hili la wabunge wanajipanga kufuta aibu yao kwanza

Ila nao mwisho wa siku Watashindwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…